Ukimya wa Tanzania na JWTZ Kule Congo DRC si wa Kawaida – Kuna Kitu Kinachezwa?

Ukimya wa Tanzania na JWTZ Kule Congo DRC si wa Kawaida – Kuna Kitu Kinachezwa?

Acha Tshesekedi na akili zake za kikabila amalize vita mwenyewe kama ataweza, kwanini uingilie tribalism war na I hope M23 washinde
 
JWTZ ikachukue kandarasi Hilo ipige Pesa
Hizo ndizo Kazi zenyewe.

Ndani ya JWTZ kiundwe kikosi kingine cha kushughulikia mambo ya Nje ya mipaka ya Nchi.

Vijana waajiriwe wakapige Kazi. Hela iletwe nchini.
Hayo Mengine ya sifa za kijinga tuachane nayo
Kazi ya kuchukua kandarasa anaijua Kagame tu na Ruto
 
Kwa anayefuatilia kinachoendelea DRC, hasa katika mkoa wa Goma, atakuwa anajiuliza: Liko wapi lile jeshi jasiri la JWTZ ambalo mwaka 2012-2013 liliwafurusha waasi wa M23 na kuwafanya wasambaratike kabisa?


Kwa mshangao mkubwa, baada ya uchaguzi wa DRC na kuingia madarakani kwa Félix Tshisekedi, waasi wale wale wa M23 wameibuka tena kwa nguvu mpya, wakiwa na uwezo wa kuteka Goma na sasa wakielekea Bukavu. Inaonekana lengo lao ni kuimega DRC, lakini kosa ni la nani?


  • Je, ni Tshisekedi mwenyewe, ambaye kwa sera zake ameshindwa kuimarisha ulinzi wa nchi yake?
  • Au ni MONUSCO, ambalo lilifuta vikosi vya kulinda amani kuwa chini ya Chapter 6 badala ya Chapter 7, hivyo kulifanya JWTZ na walinda amani wengine kuwa wasio na mamlaka ya kupambana na waasi moja kwa moja?

Kwa Nini Tanzania Inaonekana Inampiga Tshisekedi Darubini?


Ukiangalia historia, Tanzania imekuwa mshirika wa karibu wa marais wawili wa DRC:


  • Laurent-Désiré Kabila, ambaye alikombolewa kwa msaada wa Tanzania.
  • Joseph Kabila, ambaye pia alifaidika na uhusiano wa karibu kati ya Tanzania na DRC.

Lakini kwa Tshisekedi, hali inaonekana tofauti. Serikali ya Tanzania inaonekana kumsaidia kwa "machale machale"—yaani, si kwa nguvu kama ilivyokuwa kwa Kabila na Kabila. Kwa nini?


  • Je, ni kwa sababu hakuwa sehemu ya mfumo wa ushawishi wa Tanzania?
  • Au ni kwa sababu alipotwaa madaraka, alikimbilia kushirikiana zaidi na Kenya badala ya Tanzania?
  • Au alidhani waasi wa M23 wangebakia kule kule Goma, bila kujua kuwa nguvu zao zinatoka Kigali na Kampala?

Tanzania inajua kinachoendelea. Watu wetu wa intelligentsia wamekusanya taarifa zote. Lakini inaonekana Tanzania imeamua kuwapotezea kwa sasa—kwa sababu nzuri tu.


Je, JWTZ Itaendelea Kukaushia au Itaingilia Kati?


Historia inaonesha kuwa Tanzania si nchi inayopenda kuona mataifa jirani yanameguka vipande vipande. Tuliwaunga mkono sana Wacongo bila masharti, tukiwapa muda wa kujijenga. Lakini wao wakaleta dharau.


Sasa swali kubwa ni: Tshisekedi atajinasua vipi?


  • Atapiga magoti kwa Tanzania na kuomba msaada?
  • Atazidi kung’ang’ania kwa Kenya na wengine, huku waasi wakiendelea kuikata DRC vipande vipande?

Muda utaamua. Lakini kwa sasa, JWTZ linaendelea na "hamsini zake", likiwa linajua vizuri kwanini halijarudi vitani kama ilivyofanya mwaka 2012-2013. Sababu tunayo, tena inajitosheleza!
Suala la JWTZ kuwatandika M23 zilikuwa ni propaganda za CCM ambazo hazikuwa na uhalisia wowote
 
Wee nae lioga lioga km sio mwanaume?!!
Nyie ndo wale wezi wakivamia ndani mnajificha uvunguni..!!
Ahah hivi ushawai fika sehemu yenye vurugu ata siku moja ukaona kasheshe lake mkuu acha tu nisha shuudia mtu anakufa hivi niishie hapo
Tu
 
Wapo tu km walinda amani yaani wao hawashabikii upande wowote.
Wapo pamoja na Malawi, Tanzaia na South Africa.

Na commanding power ni South Africa.

Jana askari 13 wa South Africa wamekufa.

Kwa Tanzania, mpaka sasa hakuna taarifa yoyote.
 
JWTZ ikachukue kandarasi Hilo ipige Pesa
Hizo ndizo Kazi zenyewe.

Ndani ya JWTZ kiundwe kikosi kingine cha kushughulikia mambo ya Nje ya mipaka ya Nchi.

Vijana waajiriwe wakapige Kazi. Hela iletwe nchini.
Hayo Mengine ya sifa za kijinga tuachane nayo
Ushauri wa ovyo kutika kwa layman
 
Kwa anayefuatilia kinachoendelea DRC, hasa katika mkoa wa Goma, atakuwa anajiuliza: Liko wapi lile jeshi jasiri la JWTZ ambalo mwaka 2012-2013 liliwafurusha waasi wa M23 na kuwafanya wasambaratike kabisa?


Kwa mshangao mkubwa, baada ya uchaguzi wa DRC na kuingia madarakani kwa Félix Tshisekedi, waasi wale wale wa M23 wameibuka tena kwa nguvu mpya, wakiwa na uwezo wa kuteka Goma na sasa wakielekea Bukavu. Inaonekana lengo lao ni kuimega DRC, lakini kosa ni la nani?


  • Je, ni Tshisekedi mwenyewe, ambaye kwa sera zake ameshindwa kuimarisha ulinzi wa nchi yake?
  • Au ni MONUSCO, ambalo lilifuta vikosi vya kulinda amani kuwa chini ya Chapter 6 badala ya Chapter 7, hivyo kulifanya JWTZ na walinda amani wengine kuwa wasio na mamlaka ya kupambana na waasi moja kwa moja?

Kwa Nini Tanzania Inaonekana Inampiga Tshisekedi Darubini?


Ukiangalia historia, Tanzania imekuwa mshirika wa karibu wa marais wawili wa DRC:


  • Laurent-Désiré Kabila, ambaye alikombolewa kwa msaada wa Tanzania.
  • Joseph Kabila, ambaye pia alifaidika na uhusiano wa karibu kati ya Tanzania na DRC.

Lakini kwa Tshisekedi, hali inaonekana tofauti. Serikali ya Tanzania inaonekana kumsaidia kwa "machale machale"—yaani, si kwa nguvu kama ilivyokuwa kwa Kabila na Kabila. Kwa nini?


  • Je, ni kwa sababu hakuwa sehemu ya mfumo wa ushawishi wa Tanzania?
  • Au ni kwa sababu alipotwaa madaraka, alikimbilia kushirikiana zaidi na Kenya badala ya Tanzania?
  • Au alidhani waasi wa M23 wangebakia kule kule Goma, bila kujua kuwa nguvu zao zinatoka Kigali na Kampala?

Tanzania inajua kinachoendelea. Watu wetu wa intelligentsia wamekusanya taarifa zote. Lakini inaonekana Tanzania imeamua kuwapotezea kwa sasa—kwa sababu nzuri tu.


Je, JWTZ Itaendelea Kukaushia au Itaingilia Kati?


Historia inaonesha kuwa Tanzania si nchi inayopenda kuona mataifa jirani yanameguka vipande vipande. Tuliwaunga mkono sana Wacongo bila masharti, tukiwapa muda wa kujijenga. Lakini wao wakaleta dharau.


Sasa swali kubwa ni: Tshisekedi atajinasua vipi?


  • Atapiga magoti kwa Tanzania na kuomba msaada?
  • Atazidi kung’ang’ania kwa Kenya na wengine, huku waasi wakiendelea kuikata DRC vipande vipande?

Muda utaamua. Lakini kwa sasa, JWTZ linaendelea na "hamsini zake", likiwa linajua vizuri kwanini halijarudi vitani kama ilivyofanya mwaka 2012-2013. Sababu tunayo, tena inajitosheleza!
Sasa naanza kuelewa kwanini Asante 🙏🙏
 
Si ulisema ulikuwa jeshini wewe au ulikuwa unatupanga??

Au ulikimbia mgambo halafu mnakuja humu kujimwambafai?? Sasa mjeshi gani anaogopa vurugu??!!
Siogopi vurugu ila na huruma humanity nieelewe
 
Sio kila Jambo tuwaige wazungu.
Mengine tunaweza kujiongeza wenyewe.

Kwa nchi yetu ulinzi na Usalama ni huduma ambayo wananchi lazima wapewe lakini ulinzi na Usalama ni biashara inayolipa kama tukiiuza kwa nchi zingine.

Serikali na vyombo vya kijeshi vinaweza kuundw Kitengo kingine cha kijeshi ambacho kitapewa mafunzo ya kijeshi na kitahusika zaidi na mission za Nje ya Nchi.
Hapa wachukuliwe wale watu ambao wanapenda Michezo Hatari, Dili Hatari na wapiganaji wa Kulipwa lakini Kwa maslahi yao na maslahi ya Nchi.

Kisha Kazi ianze.
Kuliko vijana wawe Panya road au mateja huko mtaani na barabarani na Wana hobby ya mambo kama hayo ni Bora wapelekwe huko

Lakini lazima wapewe mafunzo ya kimedani wawe na uwezo.
Sio waende kuuza roho Zao huko
Inabidi hili wazo lifanyiwe kazi nawewe upewe japo ya soda kwa wazo murua
 
Kwa anayefuatilia kinachoendelea DRC, hasa katika mkoa wa Goma, atakuwa anajiuliza: Liko wapi lile jeshi jasiri la JWTZ ambalo mwaka 2012-2013 liliwafurusha waasi wa M23 na kuwafanya wasambaratike kabisa?


Kwa mshangao mkubwa, baada ya uchaguzi wa DRC na kuingia madarakani kwa Félix Tshisekedi, waasi wale wale wa M23 wameibuka tena kwa nguvu mpya, wakiwa na uwezo wa kuteka Goma na sasa wakielekea Bukavu. Inaonekana lengo lao ni kuimega DRC, lakini kosa ni la nani?


  • Je, ni Tshisekedi mwenyewe, ambaye kwa sera zake ameshindwa kuimarisha ulinzi wa nchi yake?
  • Au ni MONUSCO, ambalo lilifuta vikosi vya kulinda amani kuwa chini ya Chapter 6 badala ya Chapter 7, hivyo kulifanya JWTZ na walinda amani wengine kuwa wasio na mamlaka ya kupambana na waasi moja kwa moja?

Kwa Nini Tanzania Inaonekana Inampiga Tshisekedi Darubini?


Ukiangalia historia, Tanzania imekuwa mshirika wa karibu wa marais wawili wa DRC:


  • Laurent-Désiré Kabila, ambaye alikombolewa kwa msaada wa Tanzania.
  • Joseph Kabila, ambaye pia alifaidika na uhusiano wa karibu kati ya Tanzania na DRC.

Lakini kwa Tshisekedi, hali inaonekana tofauti. Serikali ya Tanzania inaonekana kumsaidia kwa "machale machale"—yaani, si kwa nguvu kama ilivyokuwa kwa Kabila na Kabila. Kwa nini?


  • Je, ni kwa sababu hakuwa sehemu ya mfumo wa ushawishi wa Tanzania?
  • Au ni kwa sababu alipotwaa madaraka, alikimbilia kushirikiana zaidi na Kenya badala ya Tanzania?
  • Au alidhani waasi wa M23 wangebakia kule kule Goma, bila kujua kuwa nguvu zao zinatoka Kigali na Kampala?

Tanzania inajua kinachoendelea. Watu wetu wa intelligentsia wamekusanya taarifa zote. Lakini inaonekana Tanzania imeamua kuwapotezea kwa sasa—kwa sababu nzuri tu.


Je, JWTZ Itaendelea Kukaushia au Itaingilia Kati?


Historia inaonesha kuwa Tanzania si nchi inayopenda kuona mataifa jirani yanameguka vipande vipande. Tuliwaunga mkono sana Wacongo bila masharti, tukiwapa muda wa kujijenga. Lakini wao wakaleta dharau.


Sasa swali kubwa ni: Tshisekedi atajinasua vipi?


  • Atapiga magoti kwa Tanzania na kuomba msaada?
  • Atazidi kung’ang’ania kwa Kenya na wengine, huku waasi wakiendelea kuikata DRC vipande vipande?

Muda utaamua. Lakini kwa sasa, JWTZ linaendelea na "hamsini zake", likiwa linajua vizuri kwanini halijarudi vitani kama ilivyofanya mwaka 2012-2013. Sababu tunayo, tena inajitosheleza!
JW ya 70s na 80s siyo sawa na hii ya 2000s.
Wale wa 70/80 walikuwa wameiva hasa, hawakuweka pesa mbele wao ilikuwa kazi kazi
 
Hii point kabisa ya kuinakili kwa dunia ya sasa tulipaswa kufanya hii kitu ni sehemu ya kuongez ajira pia kukuza income ya nchi wakati huohuo unalinda maslahi yako.

Ni kweli kabisa. Zile sifa zama za ukombozi kwa sasa hazina nafasi. Sasa ni nipe nikupe. Au mupe umupe akupe
 
Kwa anayefuatilia kinachoendelea DRC, hasa katika mkoa wa Goma, atakuwa anajiuliza: Liko wapi lile jeshi jasiri la JWTZ ambalo mwaka 2012-2013 liliwafurusha waasi wa M23 na kuwafanya wasambaratike kabisa?


Kwa mshangao mkubwa, baada ya uchaguzi wa DRC na kuingia madarakani kwa Félix Tshisekedi, waasi wale wale wa M23 wameibuka tena kwa nguvu mpya, wakiwa na uwezo wa kuteka Goma na sasa wakielekea Bukavu. Inaonekana lengo lao ni kuimega DRC, lakini kosa ni la nani?


  • Je, ni Tshisekedi mwenyewe, ambaye kwa sera zake ameshindwa kuimarisha ulinzi wa nchi yake?
  • Au ni MONUSCO, ambalo lilifuta vikosi vya kulinda amani kuwa chini ya Chapter 6 badala ya Chapter 7, hivyo kulifanya JWTZ na walinda amani wengine kuwa wasio na mamlaka ya kupambana na waasi moja kwa moja?

Kwa Nini Tanzania Inaonekana Inampiga Tshisekedi Darubini?


Ukiangalia historia, Tanzania imekuwa mshirika wa karibu wa marais wawili wa DRC:


  • Laurent-Désiré Kabila, ambaye alikombolewa kwa msaada wa Tanzania.
  • Joseph Kabila, ambaye pia alifaidika na uhusiano wa karibu kati ya Tanzania na DRC.

Lakini kwa Tshisekedi, hali inaonekana tofauti. Serikali ya Tanzania inaonekana kumsaidia kwa "machale machale"—yaani, si kwa nguvu kama ilivyokuwa kwa Kabila na Kabila. Kwa nini?


  • Je, ni kwa sababu hakuwa sehemu ya mfumo wa ushawishi wa Tanzania?
  • Au ni kwa sababu alipotwaa madaraka, alikimbilia kushirikiana zaidi na Kenya badala ya Tanzania?
  • Au alidhani waasi wa M23 wangebakia kule kule Goma, bila kujua kuwa nguvu zao zinatoka Kigali na Kampala?

Tanzania inajua kinachoendelea. Watu wetu wa intelligentsia wamekusanya taarifa zote. Lakini inaonekana Tanzania imeamua kuwapotezea kwa sasa—kwa sababu nzuri tu.


Je, JWTZ Itaendelea Kukaushia au Itaingilia Kati?


Historia inaonesha kuwa Tanzania si nchi inayopenda kuona mataifa jirani yanameguka vipande vipande. Tuliwaunga mkono sana Wacongo bila masharti, tukiwapa muda wa kujijenga. Lakini wao wakaleta dharau.


Sasa swali kubwa ni: Tshisekedi atajinasua vipi?


  • Atapiga magoti kwa Tanzania na kuomba msaada?
  • Atazidi kung’ang’ania kwa Kenya na wengine, huku waasi wakiendelea kuikata DRC vipande vipande?

Muda utaamua. Lakini kwa sasa, JWTZ linaendelea na "hamsini zake", likiwa linajua vizuri kwanini halijarudi vitani kama ilivyofanya mwaka 2012-2013. Sababu tunayo, tena inajitosheleza!
Hakuna kitu. Pumba tupu. JW zamani sio sasa.... Na Kwa Namna Tunavyomuogopa Kagame Kimbaumbau trust me JW hata pua hawezi kusogeza😁😁
 
Kwa anayefuatilia kinachoendelea DRC, hasa katika mkoa wa Goma, atakuwa anajiuliza: Liko wapi lile jeshi jasiri la JWTZ ambalo mwaka 2012-2013 liliwafurusha waasi wa M23 na kuwafanya wasambaratike kabisa?


Kwa mshangao mkubwa, baada ya uchaguzi wa DRC na kuingia madarakani kwa Félix Tshisekedi, waasi wale wale wa M23 wameibuka tena kwa nguvu mpya, wakiwa na uwezo wa kuteka Goma na sasa wakielekea Bukavu. Inaonekana lengo lao ni kuimega DRC, lakini kosa ni la nani?


  • Je, ni Tshisekedi mwenyewe, ambaye kwa sera zake ameshindwa kuimarisha ulinzi wa nchi yake?
  • Au ni MONUSCO, ambalo lilifuta vikosi vya kulinda amani kuwa chini ya Chapter 6 badala ya Chapter 7, hivyo kulifanya JWTZ na walinda amani wengine kuwa wasio na mamlaka ya kupambana na waasi moja kwa moja?

Kwa Nini Tanzania Inaonekana Inampiga Tshisekedi Darubini?


Ukiangalia historia, Tanzania imekuwa mshirika wa karibu wa marais wawili wa DRC:


  • Laurent-Désiré Kabila, ambaye alikombolewa kwa msaada wa Tanzania.
  • Joseph Kabila, ambaye pia alifaidika na uhusiano wa karibu kati ya Tanzania na DRC.

Lakini kwa Tshisekedi, hali inaonekana tofauti. Serikali ya Tanzania inaonekana kumsaidia kwa "machale machale"—yaani, si kwa nguvu kama ilivyokuwa kwa Kabila na Kabila. Kwa nini?


  • Je, ni kwa sababu hakuwa sehemu ya mfumo wa ushawishi wa Tanzania?
  • Au ni kwa sababu alipotwaa madaraka, alikimbilia kushirikiana zaidi na Kenya badala ya Tanzania?
  • Au alidhani waasi wa M23 wangebakia kule kule Goma, bila kujua kuwa nguvu zao zinatoka Kigali na Kampala?

Tanzania inajua kinachoendelea. Watu wetu wa intelligentsia wamekusanya taarifa zote. Lakini inaonekana Tanzania imeamua kuwapotezea kwa sasa—kwa sababu nzuri tu.


Je, JWTZ Itaendelea Kukaushia au Itaingilia Kati?


Historia inaonesha kuwa Tanzania si nchi inayopenda kuona mataifa jirani yanameguka vipande vipande. Tuliwaunga mkono sana Wacongo bila masharti, tukiwapa muda wa kujijenga. Lakini wao wakaleta dharau.


Sasa swali kubwa ni: Tshisekedi atajinasua vipi?


  • Atapiga magoti kwa Tanzania na kuomba msaada?
  • Atazidi kung’ang’ania kwa Kenya na wengine, huku waasi wakiendelea kuikata DRC vipande vipande?

Muda utaamua. Lakini kwa sasa, JWTZ linaendelea na "hamsini zake", likiwa linajua vizuri kwanini halijarudi vitani kama ilivyofanya mwaka 2012-2013. Sababu tunayo, tena inajitosheleza!
Ni mwaka wa uchaguzi, utulivu ni muhimu zaidi
 
Back
Top Bottom