Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
πππππππ Mambo mengin ya hapa ni kuyaangalia tu ila kuna watu wa kuandika tu wanakwaza sana, hapa tutasumbuna tu bora nikasome uzi wa vyakulaNasikia mmeuzwa huko nyinyiem ndio maana raia hawawapendi
ππππKwani mpaka sasa mechi ya wanajeshi na raia si kato katuwakilisha keshamuondoa zezeta mmoja duniani wananchi tuna jiweza hao wajinga gwanda tu zinawabeba ila wakija mmoja mmoja bila silaha tunawatafuna marinder
Hahaaa pole mwayaπππππππ Mambo mengin ya hapa ni kuyaangalia tu ila kuna watu wa kuandika tu wanakwaza sana, hapa tutasumbuna tu bora nikasome uzi wa vyakula
Nawaacha na majasiri wenzako, Halafu nahamia kule kula kimasihara dadeekiHahaaa pole mwaya
Kw kweli.. uleft uzi uende hata huko kwenye mapishi, ukale kwa macho
[emoji16][emoji16][emoji16]weekend hii hakuna haja yakuutesa ubongo nakukuta kwenye maikhara mkuuNawaacha na majasiri wenzako, Halafu nahamia kule kula kimasihara dadeeki
Kwani Jeshi la polisi wanasemaje?Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake
kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.
Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?
Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?
View attachment 2795689
View attachment 2795690
picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe
Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.
Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.
Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi
Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Media zilinyamazia Bandari,ndio itakuwa JWTZKufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake
kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.
Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?
Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?
View attachment 2795689
View attachment 2795690
picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe
Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.
Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.
Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi
Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Tanzania "vyombo vya habari" vinafanya kazi kwa masharti waliyopewa na Abbas na Nepi kwa manufaa ya Samia.Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.
Tunashukuru @JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi
Watunga sheria ndiyo wavunja sheriaVyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.
Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.
Tunashukuru @JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi
Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Hatimaye baada ya kumalizana na "MITUMBA" mitaani....Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake
kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.
Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?
Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?
View attachment 2795689
View attachment 2795690
picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe
Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.
Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.
Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi
Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Ugomvi wa mwendesha bajaji na mwanajeshi uliopelekea mwanajeshi kushindwa vita na kufa unawahusu nini raia ambao hawakuwepo kwenye huo ugomvi?Dereva bajaji kaua luteni wa jeshi???? Hv mnajua gharama ya kumtengeneza mwanajeshi Hadi afikie hicho cheo??? Basi km wanapigwa na mm nasema wapigwe tu maana hakuna namna
Hakuna Mtu aliye juu ya Sheria.Inamaana hapo Lugalo hakuna Mkuu wa Kambi?
Wanajeshi wanatokaje kambini kwenda kushambulia raia?
Mbona jeshi la polisi wameshamkamata mtuhumiwa? Hao wananchi wamekosa nini?
Jeshi kwa busara litoe statement angalau kuweka sawa haya mambo kwani chuki inaongezeka baina yake na wenye jeshi laoUgomvi wa mwendesha bajaji na mwanajeshi uliopelekea mwanajeshi kushindwa vita na kufa unawahusu nini raia ambao hawakuwepo kwenye huo ugomvi?
akinidharau juu yake mwenyw tu mkuuUnyonge kama huo,ndiyo wao wanautaka,ni upumbavu kabisa,mi sipendi kuonewa wala kuonea.Sasa mtaogopa hadi lini?
Na unasema wakikuchukulia demu wako,huoni huyo demu atakudharau maisha...?