DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mkuu, Umalaya haurithishwi bana. Umalaya ni tabia. Ukiona mwanamke ni malaya kama mama yake huyo kajifunza tu umalaya na kujifunza si lazima kutoke kwa mama.
Kuna watoto wengi wa kike mama zao ni malaya na wamelelewa na bibi zao, au baba zao au mama wa kambo na wana tabia nzuri kabisa.
Huko jamii zenu hakuna watoto kama hawa?
Nimejifunza kitu hapaAttitude ni Mtazamo
Attitude inapelekea Hulka.
Hulka inabadilika kutokana na kubadilika kwa Attitude.
Silika haibadiliki.
Silika ni tabia zilizokaa na kufanywa kwa Muda mrefu zikahifadhiwa kwenye Vinasaba.
Zingatia, mambo yote unayoyafanya yanakuwa Recoded kwenye Vinasaba.
Nimejifunza kitu hapa
OK, basi tuvitenganishe. Tuseme hamu si tamaa na nyege ni hamu, ikizidi ndo inakuwa tamaa.Hamu na tamaa ni vitu viwili tofauti Mkuu.
Sawa, umetamani usichokiweza sababu huna hamu.Tamaa ni Jambo linalotokea kwenye Akili ya Mtu kutaka Jambo Fulani.
Kwa mfano, umekaa zako barabarani akapita mdada mzuri mwenye msambwanda, unaweza kumtamani hata kama hauna Nyege/Hamu ya Ngono.
Sawa, hata njaa inaleta hamu ya kupata chakula. Ndo maana mgonjwa anaweza kuwa na njaa ila asiwe na hamu ya kula.Nyege haihusu Akili Bali ni tukio la Kimwili linalotokana na michakato ya Mwili.
Nyege ni kama Njaa, kiu n.k
Sawa.Sio KWELI
Mtu anatoka kwenye tendo la ndoa sasa hivi Akitokea Nje bado anatamani misabwanda. Hiyo inaitwa tamaa.
OK.U
Maamuzi ya Mtu huamuliwa na akili na saikolojia yake
Umalaya ni maamuzi, maamuzi hayarithishwi yanafundishwa. Hamu ya kufanya ngono ndo inarithishwa ila si maamuzi ya kufanya ngono na nani.Unajua maana ya Malaya wanawake wengi ni Malaya Ila wana-play innocent
Tabia za umalaya ni za kurithi
Mkuu, Umalaya haurithishwi bana. Umalaya ni tabia. Ukiona mwanamke ni malaya kama mama yake huyo kajifunza tu umalaya na kujifunza si lazima kutoke kwa mama.
Kuna watoto wengi wa kike mama zao ni malaya na wamelelewa na bibi zao, au baba zao au mama wa kambo na wana tabia nzuri kabisa.
Huko jamii zenu hakuna watoto kama hawa?
OK, basi tuvitenganishe. Tuseme hamu si tamaa na nyege ni hamu, ikizidi ndo inakuwa tamaa.
Sawa, umetamani usichokiweza sababu huna hamu.
Sawa, hata njaa inaleta hamu ya kupata chakula. Ndo maana mgonjwa anaweza kuwa na njaa ila asiwe na hamu ya kula.
Sawa.
OK.
Tumekubaliana kuwa tamaa ni hamu iliyopitiliza, ila tunarudi palepale kuwa iwe tamaa, iwe hamu au nyege bado inahitaji maamuzi na maanuzi hayarithishwi, sawa sawa? Tupo pamoja hapa?
Hawajarithi, wamefundishwa tabia za wazazi wao. Hata wangekuwa watoto wa malaika kisha ukawapeleka walelewe na malaya huenda wakafundishwa umalaya.Ni kweli wapo watoto baadhi wamelelewa na Bibi Zao na Wachache hawana Tabia za Mama zao. Hao ni exceptional lakini asilimia kubwa hurithi tabia za Wazazi wao.
Ndo maana hii kitu dunia inapinga. Wewe kutokea jamii ya wasiotahiriwa haimaanishi una govi.Popote pale watu wenye Akili lazima wazingatie asili yako ndipo wakujue wewe ni mtu WA Aina gani.
Haya ni mambo ya kizamani na ni ya kuyapinga. Na tukiyaendekeza hata wewe sijui mtibeli unaweza taja ukoo wako kwenye jamii fulani ukakataliwa kwa tabia isiyo yako.Haina haja ya kumfuatilia mtu Mmoja kujua Tabia yake. Unafuatilia Ukoo au Jamii yao unapata kujua mtu Fulani atakuwa wa namna gani.
Hiyo ndio maana ya Vinasaba
Mwanamke Kahaba Hana tofauti kubwa na mwanamke mchawi. Wote wanaweza kufanya lolote na kumdhuru yeyote Yule.UKIOA MALAYA/MDANGAJI KUZAA MABINTI MALAYA HAKUEPUKIKI NI UHAKIKA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Hakuna sababu hata Moja ya maana ya mwanamke kuwa Kahaba. Kuwa Kahaba ni uchaguzi wa Mtu na hakutokani na hali ngumu ya Maisha.
Uchaguzi wa Mtu hutokea ndani Kabisa ya nafsi ya Mtu na Wala sio Nje.
Ukienda sites na kwenye madanguro ukiwasililiza wanawake ambao wanafanya ukahaba hoja zao nyingi wanakuambia ati Sababu kubwa ni Hali ngumu ya Maisha. Jambo ambalo sio kweli Kabisa. Hali ngumu ya Maisha haiwezi kumfanya mtu akajivua UTU wake kwa kiwango cha kuwa Kahaba na Kulala na kila mwanaume hovyohovyo.
Kujigeuza Jalala au dampo la kutupia uchafu wa kila mwanaume ni uamuzi wa juu kabisa wa mwanamke kujitendea uovu.
Mwanamke Kahaba Hana tofauti kubwa na mwanamke mchawi. Wote wanaweza kufanya lolote na kumdhuru yeyote Yule.
Kama mtu kajigeuza dampo la Kulala na mwanaume yeyote Yule unafikiri ni kitu gani kingine hakiwezi?
Sasa kuna wale Nice Guy, wanaume dhaifu ambao kwa Sababu ya kuongozwa na hisia na kutotumia vizuri Akili Zao hufikiri kuwa mwanamke Kahaba anaweza kubadili.
Wengine hudanganywa na wanawake wakiambiwa kuwa Makahaba wanaweza kubadilika.
Huo ni Uongo!
Ukitaka kujua Kahaba yeyote habadiliki nenda kamuulize, kwa nini yeye ni Kahaba au kaamua kuwa Kahaba?
Msikilize.
Muulize tena, nini kifanyike aache ukahaba?
Asilimia 99% watakuambia, akipata mwanaume anayeweza kumhudumia vizuri na kumtunza anaweza kuacha ukahaba.
Wakati Fulani nilifanya utafiti mdogo kwa kutembelea Makahaba kwenye Sites Zao. Wengi wao nilipowauliza walijibu Majibu yanayofanana na Hilo.
Nilipowauliza, imetokea wamepata huyo mwanaume mwenye uwezo wa kuwahudumia na kuwatunza lakini baada ya miaka kumi au kumi na tano akafilisika nini kitatokea?
Wengi wao walipata kigugumizi.
Ni kwamba Makahaba ni materialists in nature. Hawana mapenzi ya KWELI. Wapo after Money.
Kuamua kuoa Mwanamke Kahaba ni uamuzi Mgumu Kabisa kwa Wanaume ambao hawakufunzwa vyema.
Fuatilia popote pale.
Ukiona binti yeyote ni Msumbufu, kiruka Njia na anakimbizana na wanaume kwenye magheto. Shida imeenzia mbali kwa Mama yake.
Ukiona Mkeo anatabia ya Umalaya Umalaya, Kulala hovyo na wanaume. Unakutakuta meseji.
Usikimbilie kupiga simu ukweni.
Ninakuhakikishia asilimia 90% ukiona Mkeo ni Malaya ujue shida imeanzia Mbali.
Mama alivyo ndivyo Binti yake alivyo kwa asilimia kubwa.
Sisi Watibeli ukishagundua mwanamke anaumalaya hatunaga Muda WA kujadili na ukweni kwa Sababu kwa Kiasi kikubwa tunajua kuna uhusiano wa karibu wa Tabia za wake zetu na huko kwao. Sisi tunafukuza.
Tabia ya Mkeo utaiona kwa mabinti zako kama Wazazi wake(wakwe zako hawapo).
Ndio maana zamani ilishauriwa watu waoe Wanawake wakiwa Bikra. Kwa Sababu sio rahisi kumkuta Binti wa Miaka 20 Akiwa Bikra kama hakuwa akijitunza.
Hii inaenda mbali zaidi, kama Mama WA Binti unayetaka kumuoa ni single Mother na waliachana na Mumewe. Jua kuna asilimia kubwa ya Binti zake nao kuwa kama Mama Yao.
Hii inamaanisha, kama Ulichukua mwanamke Akiwa single mother ukamuoa kunauwezekano Mkubwa Binti zako nao wakafuata Mkondo uleule.
Na Hilo litatokea Miaka kuanzia 15 Mpaka 25 inayofuata.
Utapigishana kelele na watoto bure wakati hawana kosa lolote. Kwa Sababu vya Kurithi vinazidi.
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Wanaume wasiokuwa na hela,dhaifu na wasiojiamini ndiyo hupenda kuchambua sana wanawake.π₯Ίπ€π₯Ίπ€Wewe una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki ?
Kwamba unamfuatilia kila sehemu au.
Hapa duniani hakuna mke wa mtu anaweza nikataa. Ni vile sitaki dhambi tu.
Wanaume wasiokuwa na hela,dhaifu na wasiojiamini ndiyo hupenda kuchambua sana wanawake.
Mtu anaona eti akiwa na aina fulani ya mke ndiyo atapata kitu/ vitu fulani.
Stupidity!
Ndiyo mana tumetanguliwa na watu weupe kwenye mambo mengi. Kama sio yote.
Hawajarithi, wamefundishwa tabia za wazazi wao. Hata wangekuwa watoto wa malaika kisha ukawapeleka walelewe na malaya huenda wakafundishwa umalaya.
Ndo maana hii kitu dunia inapinga. Wewe kutokea jamii ya wasiotahiriwa haimaanishi una govi.
Haya ni mambo ya kizamani na ni ya kuyapinga. Na tukiyaendekeza hata wewe sijui mtibeli unaweza taja ukoo wako kwenye jamii fulani ukakataliwa kwa tabia isiyo yako.
Wewe una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki ?
Kwamba unamfuatilia kila sehemu au.
π€π€Hapa duniani hakuna mke wa mtu anaweza nikataa. Ni vile sitaki dhambi tu.
Kwako pesa ni muhimu Sana sio? Sio kila mtu anaudhaifu kama wako mbele ya Pesa.Wanaume wasiokuwa na hela,dhaifu na wasiojiamini ndiyo hupenda kuchambua sana wanawake.
Mtu anaona eti akiwa na aina fulani ya mke ndiyo atapata kitu/ vitu fulani.
Stupidity!
Ndiyo mana tumetanguliwa na watu weupe kwenye mambo mengi. Kama sio yote.
Hamna tabia isiyoweza kubadilika.
Huyo mama mtu aliitoa wapi hiyo tabia?? Bila shaka kwenye hiyo chain kuna alieianza, huyo alieianza alibadilika kutoka kua mwema hadi kua malaya hata malaya anaweza kubadilika pia.
Hii sio kweli.Tabia(hulka) ya kujifunza ndio hubadilika kwa wakati mfupi.
Silika(Tabia uliyozaliwa nayo) haibadiliki itakuchukua Miaka yako yote kubadilika, yaani unaanza na wewe kisha mtoto ukimzaa naye akazane kuibadilisha Mpaka kizazi labda cha nne huko ndio itakuwa imebadilika
Huwezi kuita wanawake wengine malaya na wakati huna uhakika kama mke wako ana kucheat au la.Kwani wapi nimeandika uhakika wa mke wangu kuchepuka au kutochepuka?
Hoja yako ni ipi?
π€π€
Kwako pesa ni muhimu Sana sio? Sio kila mtu anaudhaifu kama wako mbele ya Pesa.
Hoja yako ni ipi.
Ndio inasubiriwa hapa.
Naona unarukia rukia matawi kama Ngedere. HUNA utulivu wa kiakili kujua nini uzungumze