Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

Familia nyingi za kichaga watoto wameharibika kwasababu ya ujeuri wa kutisha wa mama zao...
Wanakua confused na baba anabidi asiwe na option adivorce na kumuachia mama watoto
Hapo vita ya kugombania mali huanza...
Nakushauri usithubutu kuoa mchaga kabisa.....mtakua wanaume wawili ndani na akikushindwa ubabe,uchawi,Hila basi atakuwekea sumu na utakufa tu...hapo familia yote huaribika akiwemo na yeye mwenyewe
 
i hope wazima wana Jamii forum

Hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

Familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


Wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
Japo Mimi ni mchagga ila cjapenda ujumbe wako. Mwanamke mwema hutoka kwa Bwana aisee. Ukitaka kuoa we muombe Mungu hakika utampata yule wako. Hata kama unahisi una maisha ya dhambi we muombe Mungu tu utapewa haki ya kumuamini.
 
Sema na ww kama sio mchaga kumpata mwanamke wakichaga lazima uwe na kitu, ukiwa boyaboya huwezi oa mchaga!
Mbona huwa mnafanya mambo kuwa magumu hivi.? Mambo sio magumu kiasi hicho.
 
Mwanaume kuamini kwamba mwanamke ndiye atakae kupa heshima mtaani na sehemu nyingine unazokuwa ni hulka za "umama", usiitafute heshima kwa bidii zako kisha uje kupewa na mwanamke.?


We oa kwasababu unampenda anakupenda, saidianeni, tengenezeni familia na future nzuri kama mtaishi pamoja kwa muda mrefu.


Heshima haupewi, inatafutwa.
 
Itabidi wachagga wawaachie wahaya misifa yao ya kijinga kumbe
Nyinyi sifa zenu ni za kijinga na ushamba ndani yake...

Mhaya hujisifia ukweli na kitu alichonacho ndo maana wanachukiwa..
Ni tamaduni tu maana wahaya wana hadi ngoma fulani mtu anaingia kati anajigamba hadi makofi anapigiwa...ila sio uongo
 
Subiri wafike miaka 50 na kuendelea ndio utawajua,maana hapa watoto wameshakua wakubwa,hapa mnakuwa mmebakia wenyewe na vimali vyenu mlivyochuma ujanani...
 
Huku mjini vijana wengi 20s hadi 30s mashoga ni wachagga...kiongozi mkuu ni noeli Mushi na wenzao wakina kinyaia, saydavito yule mdogo wale Tunda nk nk list ni ndefu sana....sijui vijana wa kichaga wamekumbwa na nini siku hiz...ni madhara ya kulelewa na masingle mother wale wanaochwa moshi au ni nini haswa? Na mbaya zaidi wachagga wanaioverlook ili tatizo kwa sababu ya EGO lakini ushoga ukichaingia katika koo unaanza kucirculate humo humo...

Kama huamini tembelea mbezi beach...au piga stori vzr na vijana laini laini wauza simu makumbusho...utapata story zote na nakwambia utakuja kugundua jamii ya kichaga hasa ya vijana ndo imeharibika zaidi....

Baadhi ya vijana wa kichaga siku hiz
View attachment 2788739View attachment 2788740View attachment 2788741View attachment 2788742
UNAJUA SIKU HIZI MTU AKIMCHUKIA TU MTU FLANI KISA AMEONA LABDA ANAJIPENDA KWA KUVAA VIZURI AU ANA SURA NZURI PENGINE KASIFIWA NA DEMU WAKE AU KAMGONGEA DEMU WAKE BASI, JAMAA ANAANZA KUMTAFUTIA KASHFA KWAMBA NI SHOGA.
UKIFUATILIA VIZURI HIZI LIST AU MAJINA YA MASHOGA ASILIMIA KUBWA UTAKUTA TU NI BIFU TU NA KUAMUA KUCHAFUANA KAMA ILE LIST YA DUDUBAYA.
 
My friend, umegeneralise sana. Ukiwa nje ya KILIMANJARO unaona wachaga wote ni sawa lakini ndani ya mkoa wao wachaga wametofautiana sana. Wametofautiana tabia, mfumo wa maisha, uchumi, mpaka lugha zao. Hayo unayoyasema utayapata kwa baadhi ya wanawake wa kichaga wanaotoka marangu (heshima kwenye ndoa), kiuchumi utapata (Rombian na Chames girls).
Wachaga wapo kiukanda usikutane nao huko mujini ukaona wote nisawa. Unaweza usipate unachokitaka ukajuta.
HIYO ULIYOSEMA WANAWAKE WA MARANGU WANA HESHIMA KWENYE NDOA EBU RUDIA KUFANYA UTAFITI VIZURI, MAANA WACHAGA TULIOPO MOSHI SEHEMU AMBAYO TUNAJUA MWANAUME UKIOA HAUTAKUA NA SAUTI NI MARANGU.
KAMA WEWE ULIOA HUKO UKABAHATIKA KUMPATA MWENYE HESHIMA KWENYE NDOA BASI MSHUKURU SANA MUNGU. BORA HATA UNGENITAJIA WANAWAKE WA ROMBO.
 
UNAJUA SIKU HIZI MTU AKIMCHUKIA TU MTU FLANI KISA AMEONA LABDA ANAJIPENDA KWA KUVAA VIZURI AU ANA SURA NZURI PENGINE KASIFIWA NA DEMU WAKE AU KAMGONGEA DEMU WAKE BASI, JAMAA ANAANZA KUMTAFUTIA KASHFA KWAMBA NI SHOGA.
UKIFUATILIA VIZURI HIZI LIST AU MAJINA YA MASHOGA ASILIMIA KUBWA UTAKUTA TU NI BIFU TU NA KUAMUA KUCHAFUANA KAMA ILE LIST YA DUDUBAYA.
Mkuu unatetea kuvaa hiv?

Mtu hawezi from no where akakuita tu mchele

Wew unaweza kuvaa hiv kama mwanaume?
Screenshot_20231023-141008.jpg
Screenshot_20231023-140925.jpg
 
i hope wazima wana Jamii forum

Hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

Familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


Wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
Muongo
 
Back
Top Bottom