Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

i hope wazima wana jamii forum

hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
Huu ulikuwa ujinga na dhana potofu ya zamani baada ya ukoloni......siku hizi jamii ikishajuwa umeoa mchagga (demu) wanakucheka pembeni (nyuma ya pazia), washikaji waliokuzoea watakukalisha chini na kukuuliza umepetwa na matatizo gani kuoa Mchagga. Wanawake wa Kichagga na Kipare si wa kuoa mkuu, ondoa kabisa ujinga huu kichwani mwako. Yes. kuna baadhi yao wako tofauti lakini jamii bado tu haitakuelewa kuoa hawa watu. Mtaani tunawaita majinamizi ya talaka.
 
Pamoja me ni mchaga ila sijawahi elewa pisi za kichaga na ni ndoa chache unakuta wameoana wao kwa wao mana sisi tuna tunisha misuli tukikutana.

Hakuna anayemkubali mwenzake na vile men kwa mapenz ni 0 bc dah ...
Kuna wakinga mkuu na wahehe umesahau kwa list nawakubal sana.

Bravo [emoji3][emoji3][emoji3]
 
i hope wazima wana jamii forum

hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute[emoji16]
Mimi nikiona kuna nguvu kubwa ya kutangaza Jambo ndio wasiwasi unanizidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
i hope wazima wana Jamii forum

Hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

Familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


Wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
Tatizo wanaongea sana hadi mtaa wa pili! Mdomo mreeeeefu! Mwanaume kama unataka stress chukua hayo mamjamaa! Kama ukiomba Mungu akakupa hapo sawa! Lakini ukijichanganya hiyo mianamke ya kichaga ni majanga! Hayajui kumstahi mume! Yenyewe domo juu na kujifanya yanajua kila kitu! Mxiuuuh!
 
Lazima iende. Wachagga na wapare wanaoana vizuri, ila kwa siku hizi mchaga kwa mchaga ndio imekuwa Kimbembe.
Wadada wengi wa kichaga hawapendelei kuolewa na Wachagga wenzao.
Nazungumzia hawa Wachagga waliochangamana na jamii zingine
Watu hawajui tu ila tuliopo ndani ya hizi clans tunajua vzur ni sio sana kwamba wanapendelea kuoana wao kwa wao mana madada zetu jeuri nying sana.
 
Sema na ww kama sio mchaga kumpata mwanamke wakichaga lazima uwe na kitu, ukiwa boyaboya huwezi oa mchaga!
Sio kweli mm sio mchaga lkn toka nmeanza mahusiano hua nakutana na wachaga tu sijawahi kutana na mwanamke tofauti na mchaga halaf siwapendi wanawake wa kichaga lkn ndio nakutana nao kingine watu wasichokijua hawa wanawake ni malaya aisee na huko kwao moshi ukimwi ni mwingi sana kuliko watu wanavyofikiria

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom