Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

Wana u special gani? Naona saiz mnakuja kwa kasi kuwapigia promo.dada zenu baada ya kuwa mmeona hawana soko.

Tuko nao mtaani huku wengine ni bar maids, na wengine ni beki tatu wengine si single mothers baada ya kuwa wamekosa waume

Mchaga anaona bora awe bar maids kuliko beki3 hapa umetupiga mkuu hakuna mchaga bek3
 
haya mambo sijawahi kuyaelewa, yaani kwasababu wewe umeoa mchaga na ndoa yako imetulia basi wanawake wote wa kichaga ni wazuri....

ni ukabila tu

nilishangaa sana siku moja niko na babamkubwa akaniambia eti nisije kuoa wambulu eti kisa ni 'malaya'.... tusipende kujumuisha mambo kulingana na uzoefu binafsi, dunia haina mpangilio.... sio kivile
Kaoe mbulu baba, oa tu
 
hebu kaeni kikao cha pamoja mkubaliane kwamba kwani nyinyi hasa mnataka nini kwa mwanamke? au mnamtaka nani?

ili wasio na vigezo wafanye ishu zingine
𝐈𝐥𝐚 𝐚𝐢𝐬𝐞 𝐦𝐢𝐥𝐮𝐳𝐢 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐡𝐮𝐦𝐩𝐨𝐭𝐞𝐳𝐚 𝐦𝐛𝐰𝐚. 𝐊𝐢𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐠𝐞𝐳𝐨, 𝐤𝐰𝐚 𝐡𝐢𝐲𝐨 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐰𝐚𝐤𝐞 𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐤𝐚𝐛𝐢𝐥𝐚 𝐦𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚𝐬𝐢𝐨𝐥𝐞𝐰𝐞?
 
haya mambo sijawahi kuyaelewa, yaani kwasababu wewe umeoa mchaga na ndoa yako imetulia basi wanawake wote wa kichaga ni wazuri....

ni ukabila tu

nilishangaa sana siku moja niko na babamkubwa akaniambia eti nisije kuoa wambulu eti kisa ni 'malaya'.... tusipende kujumuisha mambo kulingana na uzoefu binafsi, dunia haina mpangilio.... sio kivile
𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐚𝐢𝐧𝐭𝐚𝐢𝐧 𝐬𝐭𝐚𝐭𝐮𝐬 𝐪𝐮𝐨 𝐡𝐚𝐰𝐚𝐣𝐮𝐢 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐛𝐚𝐝𝐢𝐥𝐢𝐤𝐨 𝐦𝐟. 𝐖𝐚𝐧𝐚𝐯𝐨 𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐰𝐚𝐜𝐡𝐚𝐠𝐚 𝐧𝐢 𝐦𝐚𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐰𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐚𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢? 𝐦𝐚𝐬𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐩𝐨 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐦𝐛𝐨𝐧𝐚.....
 
𝐔𝐤𝐢𝐢𝐧𝐠𝐢𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐦𝐚𝐫𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐮𝐚 𝐮𝐦𝐚𝐥𝐚𝐲𝐚 𝐧𝐢 𝐧𝐧
 
Huku mjini vijana wengi 20s hadi 30s mashoga ni wachagga...kiongozi mkuu ni noeli Mushi na wenzao wakina kinyaia...
Kama huamini tembelea mbezi beach...
𝐇𝐚𝐩𝐨 𝐮𝐧𝐚𝐤𝐨𝐬𝐞𝐚 𝐦𝐤𝐮𝐮 𝐦𝐚𝐬𝐡𝐨𝐠𝐚 𝐰𝐚𝐩𝐨 𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐤𝐨𝐧𝐚
 
𝐇𝐚𝐩𝐨 𝐮𝐧𝐚𝐤𝐨𝐬𝐞𝐚 𝐦𝐤𝐮𝐮 𝐦𝐚𝐬𝐡𝐨𝐠𝐚 𝐰𝐚𝐩𝐨 𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐤𝐨𝐧𝐚
Ndo narudi katika point yangu....jamii yote ni ile ile wala hakuna the best wala iliomake it...jamii zote zina uzuri na ubaya wake...
Ishu ni kutafuta mnayeendana naye na kuvumiliana...

Lakin kuhusu ushoga...Something has to be done kwa vijana wa kichaga...kile kizazi cha wapambani, watafutaji wa kichaga kinaisha kinakuja kizazi cha ovyo kilaini laini...There is no generation wealth siku hiz...ndo maana wahindi na waarabu watazidi kutupiga gap kiuchumi....

Kama unataka kuniamini tembelea mbezi beach na makumbusho...piga story na vijana wauza simu wale watakupatia story zote...
 
i hope wazima wana jamii forum

hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
My friend, umegeneralise sana. Ukiwa nje ya KILIMANJARO unaona wachaga wote ni sawa lakini ndani ya mkoa wao wachaga wametofautiana sana. Wametofautiana tabia, mfumo wa maisha, uchumi, mpaka lugha zao. Hayo unayoyasema utayapata kwa baadhi ya wanawake wa kichaga wanaotoka marangu (heshima kwenye ndoa), kiuchumi utapata (Rombian na Chames girls).
Wachaga wapo kiukanda usikutane nao huko mujini ukaona wote nisawa. Unaweza usipate unachokitaka ukajuta.
 
Back
Top Bottom