Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

Nipe sifa zao wadada wa ugweno

1. Wanawake wote ni sawa, ila kinachowatofautisha ni Makuzi, mila na desturi.

2. Wanawake wa kipare hawako mbali na wanawake wa kichaga. Au jamii za Kilimanjaro na Arusha.

3. Wanapenda Haki sawa na hawapendi kuonewa. Jambo hili kwa kiafrika huonekana wanakiburi.

4. Wanachapa kazi kwa sababu hujiona wao na wanaume ni sawa tofauti ipo kwenye jinsia tuu.

5. Kusomesha watoto ni jambo ambalo hukazana nalo pasipo kumtegemea Mwanaume.
Ukiachana na Mwanamke wa kipare suala la matumizi anaweza asikuhusishe. Ila jiandae mtoto kuwa wa ukoo wa kiukeni.

6. Ndugu upande wa Mwanamke, mjomba wananguvu kwa sababu wapare hutumia ile falsafa ya Mtoto wa Dada ni mtoto wako kwani ndio wanauhakika naye. Kanuni hiyo pia hutumika kwa Wayahudi.

7. Wanatabia ya Bajeti Kali, jambo linalowafanya waonekane Wachoyo lakini ni kwa sababu kila pesa ipo kwenye mahesabu.
Sasa mgeni kuja pasipo taarifa huibua tafrani.

8. Kama ni mwanaume legelege wanaweza kukusumbua kwani wanajiamini ambapo hakupo mbali na jeuri na kiburi.
 
1. Wanawake wote ni sawa, ila kinachowatofautisha ni Makuzi, mila na desturi.

2. Wanawake wa kipare hawako mbali na wanawake wa kichaga. Au jamii za Kilimanjaro na Arusha.

3. Wanapenda Haki sawa na hawapendi kuonewa. Jambo hili kwa kiafrika huonekana wanakiburi.

4. Wanachapa kazi kwa sababu hujiona wao na wanaume ni sawa tofauti ipo kwenye jinsia tuu.

5. Kusomesha watoto ni jambo ambalo hukazana nalo pasipo kumtegemea Mwanaume.
Ukiachana na Mwanamke wa kipare suala la matumizi anaweza asikuhusishe. Ila jiandae mtoto kuwa wa ukoo wa kiukeni.

6. Ndugu upande wa Mwanamke, mjomba wananguvu kwa sababu wapare hutumia ile falsafa ya Mtoto wa Dada ni mtoto wako kwani ndio wanauhakika naye. Kanuni hiyo pia hutumika kwa Wayahudi.

7. Wanatabia ya Bajeti Kali, jambo linalowafanya waonekane Wachoyo lakini ni kwa sababu kila pesa ipo kwenye mahesabu.
Sasa mgeni kuja pasipo taarifa huibua tafrani.

8. Kama ni mwanaume legelege wanaweza kukusumbua kwani wanajiamini ambapo hakupo mbali na jeuri na kiburi.
Sasa combination ya mchaga na mpare ikoje ,
 
Pamoja me ni mchaga ila sijawahi elewa pisi za kichaga na ni ndoa chache unakuta wameoana wao kwa wao mana sisi tuna tunisha misuli tukikutana.

Hakuna anayemkubali mwenzake na vile men kwa mapenz ni 0 bc dah ...
Kuna wakinga mkuu na wahehe umesahau kwa list nawakubal sana.
Mchaga akioa mkinga mambo yake yanakua boom [emoji95]
 
Lazima iende. Wachagga na wapare wanaoana vizuri, ila kwa siku hizi mchaga kwa mchaga ndio imekuwa Kimbembe.
Wadada wengi wa kichaga hawapendelei kuolewa na Wachagga wenzao.
Nazungumzia hawa Wachagga waliochangamana na jamii zingine
Umegundua sababu ni nin?
 
i hope wazima wana jamii forum

hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
Huwajui wachaga wewe, usiombe hata kidogo mwanamke wa kichaga anahamishia ukoo wote, baadhi ndugu watakuja mchana tu au ukisafiri, nawapenda wachaga ila ni wabinafsi na wabaguzi sana, na hawana upendo kwa wasio wachaga akiolewa na kabila jingine ujue kafuata fursa tu sio upendo, mchaga utamuona mtu ukiwa unaanza na nae na mkiwa mnajitafuta.

Join the race to see how it tastes
 
Haya mambo hayana kanuni,ni Mungu tu kukupa,...wakati nakua nilisikia wanazungumza makabila 2 sio ya kuoa,vigezo
1.Kabila 1 malaya
2.Kabila 2 wanaua wanaume
Wakati nakua akili ikawa imejengeka hivyo...wakati wa kuoa umefika,..mchumba wa kwanza huyo waliyesema anaua wanaume,japo hatukufika malengo..wa pili ni huyo waliyesema kabila ni malaya sana,..cha ajabu binti mcha Mungu,msomi na katulia+upendo wa kutosha..nikajifunza tokea pale,...muombe Mungu akupe aliye mwema.
 
Haya mambo hayana kanuni,ni Mungu tu kukupa,...wakati nakua nilisikia wanazungumza makabila 2 sio ya kuoa,vigezo
1.Kabila 1 malaya
2.Kabila 2 wanaua wanaume
Wakati nakua akili ikawa imejengeka hivyo...wakati wa kuoa umefika,..mchumba wa kwanza huyo waliyesema anaua wanaume,japo hatukufika malengo..wa pili ni huyo waliyesema kabila ni malaya sana,..cha ajabu binti mcha Mungu,msomi na katulia+upendo wa kutosha..nikajifunza tokea pale,...muombe Mungu akupe aliye mwema.
Kwahiyo mtu akisali ndio anakuwa sio malaya


Bado una njia ndefu

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom