Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

i hope wazima wana Jamii forum

Hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

Familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


Wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute[emoji16]
Wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute[emoji16]

[emoji1787][emoji23]
 
Wote nimepita nao kidogo mchaga Ila wanawake wa kikinga wana uvivu fulani kwenye kupambana wanategemea zaidi wanaume, wanawake wa kichaga ni wapambanaji haswa wanapiga mishe mpaka usiku usiku wa manane
Umeanza vizuri ila hapa[emoji116]

wanawake wa kichaga ni wapambanaji haswa wanapiga mishe mpaka usiku usiku wa manane[emoji23][emoji1787]
 
i hope wazima wana Jamii forum

Hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

Familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


Wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
Chagga Babies.... Tupo hapa. Umewasilisha mada vizuri mno🤣😅🤭😂📌

Kila Mwenye masikio atakuwa amesikia😂🤭😅🤣📌
 
haya mambo sijawahi kuyaelewa, yaani kwasababu wewe umeoa mchaga na ndoa yako imetulia basi wanawake wote wa kichaga ni wazuri....

ni ukabila tu

nilishangaa sana siku moja niko na babamkubwa akaniambia eti nisije kuoa wambulu eti kisa ni 'malaya'.... tusipende kujumuisha mambo kulingana na uzoefu binafsi, dunia haina mpangilio.... sio kivile
Rafiki yng hpo ukimpinga baba mkubwa juu ya ushauri wake huo, utakuja kulia nakuahd

Mm kuna dada ni mmbulu nimejuana nae ht mwezi hatuna tumekutana majuz tu send moja hp Daresalaam nishamuomba gemu tyr wala hakusita kwa kipingamz chochote hp muda wwte tu napanga nikamle kbl hajarud kwao hv karbuni

Mwenye asili kamwe haachi asili, hii falsafa Mwanzoni nilikua naipinga sn nilipokua bdo sijajitambua, Ila kwa Utu uzima huu nilioufikia huniambii kitu
 
Umeanza vizuri ila hapa[emoji116]

wanawake wa kichaga ni wapambanaji haswa wanapiga mishe mpaka usiku usiku wa manane[emoji23][emoji1787]
Hio nimeandika kwa experience wewe hujui ukilala kuna watu hawalali wanapiga kazi,
 
i hope wazima wana Jamii forum

Hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga.

Familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri kiuchumi utakapo muoa mwanamke wa kichaga yale mambo ya ndugu wa mwanamke kujaa kwako hayatakuwepo..kila mtu yupo na familia yake kutembeleana ni mwisho wa mwaka mwezi 12

Bro ukitaka kuheshimika mtaani muoe mwanamke kichaga mtaa mzima utatembea kifua mbele utapokea sifa za kila aina.Usiseme sijakwambia

Ukiwa fala uwezi kuoa mwanamke wa kichaga utampa nini au unataka kuleta laana za umasikini kwenye ukoo wao....
Acheni kuoa hao wacheza baikoko wapenda starehe mwanamke ana ata malengo


Wanawake wa kichaga muwe na uck mwema nyie wengine lolote liwakute😁
Kaka yangu kaoa sijui mchaga wa wapi.golikipa hatari.mvivu huyooo sijapata ona
 
Ndugu yako wa kiume akioa Mchaga mjue support toka kwake inaishia hapohapo [emoji108]

Kama alikuwa akisomesha wadogo zake au wapwa zake akishaoa ujue ndio mwisho wa msaada.

Hata wazazi kufika nyumbani kwa Mtoto wao itakuwa majaliwa [emoji108]

Jamaa ni makauzu hujapata kuona.

Mama mkwe atatiwa ila mara Mchawi mara mchafu Yaani ilimradi asikae kwa raha ilimradi akomeshwe kuzoea kwenda kukaa mwa mwanae.
 
Back
Top Bottom