Ukiolewa usikubali kupewa masharti, kumpikia, kumfulia na kusafisha nyumba. Wewe siyo house girl

Ukiolewa usikubali kupewa masharti, kumpikia, kumfulia na kusafisha nyumba. Wewe siyo house girl

FF5C7BFC-9032-4F58-8E01-DEF06938633B.jpeg
 
 
Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.

Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.

Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.

Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.

Acheni utumwa.

Ni ushauri tu kama hutaki acha.
Upungufu wa uboho mwilini
 
Nimesoma huu Uzi mbele ya watu wazee adi wameshtuka Sana. #Tunaangamia. Alaf unakuta wew n mama wa watu unamuhudumia mumeo vizur tu, sema ndo kuchangamshana tu huku JF
 
Alaf unakuta wew n mama wa watu unamuhudumia mumeo vizur tu, sema ndo kuchangamshana tu huku JF
Niko serious mm @, sexless kungwi la kitaa. Zama zimebadikika nanyi badilikeni.

Nimechoka kusuluhisha migogoro ya ndoa.
 
Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.

Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.

Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.

Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.

Acheni utumwa.

Ni ushauri tu kama hutaki acha.
Duh, wewe landa hujui nini maana ya msaidizi. Mke ni personal helper wa mumewe. Atamsaidia kwa kila kitu mumewe ili maisha yake yaende smooth. Vile ulivyoona huwezi kuvifanya ndo key activities zinazoleta maana ya usaidizi. Umetaja vifungu vya bibilia, ngoja nikupe maneno kuntu.
Mwanzo 3:16 SRUVDC

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa uchungu utazaa watoto; hata hivyo, hamu yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.

Unajua maananya kutawaliwa lakini.
 
Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.

Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.

Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.

Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.

Acheni utumwa.

Ni ushauri tu kama hutaki acha.
Tafouti ya nyie na wazungu ni kwamba wazungu wanasaidiana Kila kitu Hadi bill Sasa nyie Hadi familia zenu Yani baba na kaka zenu wanasubili tuwaoe ili nao wotoke kimaisha maana wamechoka kusota uswahilini Sasa kwanini msiwe mabeki tatu na mkizubaa hata baba zenu tutawageuza mashamba boi
 
Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.

Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.

Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.

Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.

Acheni utumwa.

Ni ushauri tu kama hutaki acha.
yani we kwel ni sexless
 
Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.

Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.

Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.

Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.

Acheni utumwa.

Ni ushauri tu kama hutaki acha.
50/50
 
Nimesoma huu Uzi mbele ya watu wazee adi wameshtuka Sana. #Tunaangamia. Alaf unakuta wew n mama wa watu unamuhudumia mumeo vizur tu, sema ndo kuchangamshana tu huku JF
Ni mke wangu Sexless huyu tumezinguana kidogo nashangaa amekuja kuleta nyuzi huku. 😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom