Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
Muheshim mmeo/boyfriend wako acha mbambamba,,kwa mfano unakuwa na mazoea ya kiboya na ex wako Kwa kigezo Cha "We are just friends" na jamaa ako akawa anakuchekea tu hapo ni mawili
1. Hakuchukulii serious kihivyoo(Hakupendi)
2.Unadate na shoga yako
Itifaki lazma zizingatiwe,,sawa tumekutana ukubwani lakin tunavyokubali kuwa wapenzi nawekeza nguvu, muda,akili,pesa na Kila kitu kwako kwahiyo nikicheza naweza ishia kubomoa vitu nilivyovijenga tangu nazaliwa mpaka leo hii umenikuta hivi ukubwani
N.B mipaka izingatiwe sio mtu anakuomba tigo afu anakutishia ukikataa mtaachana, huyo chizi achana naye
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Hakuchukulii serious kihivyoo(Hakupendi)
2.Unadate na shoga yako
Itifaki lazma zizingatiwe,,sawa tumekutana ukubwani lakin tunavyokubali kuwa wapenzi nawekeza nguvu, muda,akili,pesa na Kila kitu kwako kwahiyo nikicheza naweza ishia kubomoa vitu nilivyovijenga tangu nazaliwa mpaka leo hii umenikuta hivi ukubwani
N.B mipaka izingatiwe sio mtu anakuomba tigo afu anakutishia ukikataa mtaachana, huyo chizi achana naye
Sent using Jamii Forums mobile app