Ukiona hauwezi kurudia round ya pili ujue tatizo ni hili

uko njema mkuu ila nenda taratibu utaua vitoto vya watu upewe mada kesi bure😆
 
Yaani wewe umemaliza hao wengine naona ni gusa waa gusa tena waa ndyo mwanamke anaweza enda round zote hizo round ya pili ni story nyingine kumwaga ni issue sana sasa wenzangu wanaenda round mpaka saba.
 
hapa hatuongelei majobless wala watumwa wa ngono mkuu ni watu hawahawa wa kawaida tena wenye mishe zao kibao.

kumbuka hapa unahitaji right mentality na mwenza sahihi tu.
Unajua hilo tendo linahitaji afya ya mwili. Umeenda Job saa 1 asubuhi na umerudi saa 12 jioni. Hapo kumbuka ukifika kuna kuangalia tv, uoge na unatakiwa upate usingizi wa kutosha ili kesho asubuhi uamke tena ukapambane.
Hizo bao 6 au 7 unazifikisha wapi? Ukijitahidi sana ni 2 na 3 inategemea na mwanamke mwenyewe anavyojituma kitandani.
Hapo ulipo, fanya kama unamgonga mwanamke, hutoboi dk 5. Umechoka, mawazo ya hela. Utafikisha 6 au 7 na ukizingatia chakula ni ugali wa sembe na dagaa?
Ushakutana na mwanamke anakutengea K, wewe ndiyo ushughulike, yeye ametulia. Utafikisha 6 au 7 kama hauna kazi, huyo demu hamjakutana muda na wewe una muda haujapiga demu.
 
Raundi 6 kwani nalipwa?
 
uko njema mkuu ila nenda taratibu utaua vitoto vya watu upewe mada kesi bure😆
Kifupi huwa naogopa mahusiano maana nikipiga mara 2 tatu nang'ang'aniwa Hadi kutishiwa kurogwa nikiacha mahusiano so naishi kijanja mmoja alizimia kumbe alikuwa na pumu staki kukumbukia hili
 
unazijua dk 30 keli wewe kwa round ya kwanza?

JF bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…