Ukiona hauwezi kurudia round ya pili ujue tatizo ni hili

Ukiona hauwezi kurudia round ya pili ujue tatizo ni hili

Sijawahi maliza sex zaidi ya dakika 9. Yani ndani ya dakika 9 huwa napiga style zaidi ya hizo 9 na hakuna demu aliyewahi kunilalamikia.

Huwa wakati wa kutomb nalia kama mbwa inanisaidia nifike dk 9. Nisipolia dk 3 tu chali
Shekh yani nisingekuona humu, ningejua tu dhambi hazijapata mwenyewe
 
mkuu tunaongelea nguvu iliyopo (potential capabilities) ndani ya mwanadamu, ishu ya unaitumiaje ni mambo yako binafsi sasa
Ni sawa. Hiyo nguvu inategemea na shughuli na afya yako kipindi hicho.
Kwa mfano mtu aliyetoka kubeba zege, anaweza kupiga 6 au 7?
Kama una mapumziko 6 au 7 unaenda chap
 
Wataalam wanasema round ya kwanza inaamuliwa na MWANAMUME ila round zingine zooote zinazofuata zinaamuliwa na MWANAMKE.

Kwahiyo ukiona unaenda vizuri round ya kwanza lakini baada ya hapo hauwezi kuendelea au unakinai tendo basi ujue tatizo lipo kwa huyo baby wako.

Kama baby wako amenyooka vizuri utashangaa tu wewe mwenyewe umeshafika round ya 5 au 6 huko na bado mnara unasoma.

Take it or leave it📌📌📌🔨🔨🔨
umeongea ukweli kabisa hii ni asilimia 100 ya ukweli
 
Ukisoma michango ya Wachangiaji humu utaona ni jinsi gani vijana wa siku hizi hawawezi kuipiga/kuichapa Mbususu vile inavyotakiwa... Bao 6 ni chache sana... niishie hapo maana wataibuka watu wa kusema (Lipia Tangazo).


Nirudi kwa mtoa mada:
Aisee ni kweli kuna Pisi hata lile moja tu unajilazimisha sana..(kuna mmoja nilikuwa napiga huku picha navuta ya mwingine kwa kuw nilizima taa basi haikuwa changamoto sana).

Bao zingine haikusimama kabisa.. alivyoondoka tu, chuma ikasimama kama kawaida. Ila huyu baada ya mechi mbili tatu nikamzoea na Viwango vyangu vikawa vile vile...


Pia matumizi ya Dawa mbalimbali za kutibu magonjwa huw zinaathiri utendaji kazi, Stress na mazingira ya ulaji wa hiyo mbususu mbaya zaidi usipokuw financially well huwez piga show kali otherwise ni kawaida yako kutokuwa na pesa.
 
Ukisoma michango ya Wachangiaji humu utaona ni jinsi gani vijana wa siku hizi hawawezi kuipiga/kuichapa Mbususu vile inavyotakiwa... Bao 6 ni chache sana... niishie hapo maana wataibuka watu wa kusema (Lipia Tangazo).


Nirudi kwa mtoa mada:
Aisee ni kweli kuna Pisi hata lile moja tu unajilazimisha sana..(kuna mmoja nilikuwa napiga huku picha navuta ya mwingine kwa kuw nilizima taa basi haikuwa changamoto sana).

Bao zingine haikusimama kabisa.. alivyoondoka tu, chuma ikasimama kama kawaida. Ila huyu baada ya mechi mbili tatu nikamzoea na Viwango vyangu vikawa vile vile...


Pia matumizi ya Dawa mbalimbali za kutibu magonjwa huw zinaathiri utendaji kazi, Stress na mazingira ya ulaji wa hiyo mbususu mbaya zaidi usipokuw financially well huwez piga show kali otherwise ni kawaida yako kutokuwa na pesa.
umenyoosha maelezo kiongozi, tatizo la afrika watu wengi hawako na watu sahihi wanaishia kuvumuliana ivoivo kusuguana nyuchi uku wakigugumia maumivu.

wazungu hawawezi kuvumilia upuuzi huu, wao wako sana haya mambo. km haumridhishi kukupiga chini sio kesi
 
Round 6 duu story za chombezo hizo 😂😂, kipindi cha barehe nilikua nazipenda sana eti na mimi niige mizagamuo kama niliyokua nasoma kwenye machombezo.

Kuna story nilisoma, kuna part jamaa alitekwa akapigwa mno, alipigwa risasi mguuni na hakupewa chakula siku mbili. Akaletewa demu amzagamue eti jamaa alipiga mkuyati round 3 bila kumpumzika 😂😂.
 
Nadhani mimi ni mwanaume dhaifu, sijawahi kufika round 6, tena mnara ubaki unasoma. Mimi ni mgonjwa na sina mpango wa tiba

Ama inawezekana mimi ni mzima ila hizi story za kudhania za round 6 na zaidi zinacheza na saikolojia yangu
😀😀😀 story zingine fix tu., round 6 mademu wenyewe hawa wala chipsi na kuku wa kisasa hata mazoezi hawayajui.
 
Back
Top Bottom