Ukiona kijana tajiri ujue ni mwizi, aliachiwa pesa na baba yake au beti

Ukiona kijana tajiri ujue ni mwizi, aliachiwa pesa na baba yake au beti

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Kauli hii inayotrend imenifikirisha Sana wakati mwingine nikidhani nikweli!

Embu tutazame Jambo hili kwa Tanzania kijana kuwa tajiri labda mwenye Umri wa Under 30yrs amiliki angalau 100M Jambo hili linawezekana? Je, mifumo na mazingira yanawezesha?

Bila kutarajia vilivyotajwa kwenye kichwa Cha mada hii?
 
Back
Top Bottom