Ukiona kijana tajiri ujue ni mwizi, aliachiwa pesa na baba yake au beti

Ukiona kijana tajiri ujue ni mwizi, aliachiwa pesa na baba yake au beti

Kkoo at 28 tayari una zaidi ya 250m kama ulipambana na kuheshimu wateja wako miaka mitatu tu nyuma (at age 25 )na kuwaletea vitu vizuri.
Na wapi wengi sana, Tanzania ina vijana wengi sana wana ukwasi bila wizi.
 
Aliyesema hivyo ni mpumbavu sana na maskini wa kifikra. Siasa za ujamaa na kujitegemea ziliharibu sana fikra za watu na kudhani utajiri ni dhambi. Hadi nyakati hizi kwenye kampeni za uchaguzi wagombea hufanya maigizo kwamba wao ni maskini tu kama wapiga kura. Wapiga kura nao kwa kutaka kampani ya umaskini huishia kuwapigia kura wagombea wa aina hii. Tanzania utakuta mtu kama Fred mwenye umri wa zaidi ya miaka 35 anaitwa tajiri kijana wakati dunia ya leo ina mamilionea wenye miaka chini ya 25. Fikra kama hizo ndo zimefanya nchi kuendelea kupoteza pesa kwenye miradi kama BBT kwa kudhani kuna utajiri wa vikundi badala ya kuwawezesha vijana ambao tayari wako kwenye kilimo. Umaskini ni fedheha, tuukatae. Utajiri sio dhambi wala uhalifu.

Wazee wetu wengi hawataki kabisa changamoto mpya toka kwa vijana. Mimi niliwahi kuwa mwalimu wa sekondari kwa miezi kadhaa kabla sijaenda chuo.. nakumbuka niliandaa matokeo ya wanafunzi wa kidato cha pili nikayaweka kwenye wastani na madaraja (division). Mkuu wa shule akaniambia hiyo haifai yabadilishe kwenye report form isome wastani tu. Mambo ya division hadi form four. Nikashangaa sana na ninakumbuka waalimu wazoefu walinicheka na kusema TULIKUAMBIA. Miaka kadhaa mbele NECTA wanatoa matokeo ya form II kwa division. Kama lile wazo lingechukuliwa tungekuwa mbali sana ila kwa sababu ndo kwanza nilikuwa mdogo wa umri miaka 20 kasoro nikapuuzwa.
Una Kila dalili za kuwa Mwizi
 
Ningumu aisee kwa mchi hii! yaan haiwezekani hao watajifariji hapo lakin haiwezekani
 
Kauli hii inayotrend imenifikirisha Sana wakati mwingine nikidhani nikweli!

Embu tutazame Jambo hili kwa Tanzania kijana kuwa tajiri labda mwenye Umri wa Under 30yrs amiliki angalau 100M Jambo hili linawezekana?

Je mifumo na mazingira yanawezesha?

Bila kutarajia vilivyotajwa kwenye kichwa Cha mada hii?
Kuna dogo yupo sehemu x aliwekwa na mzee wake ambapo kwa mwez mshahara tu analamba 10+m bado marupu rupu na ma bonus mengine na yupo under 30 je huyu kuwa na 100m ni ajabu?
 
Aliyesema hivyo ni mpumbavu sana na maskini wa kifikra. Siasa za ujamaa na kujitegemea ziliharibu sana fikra za watu na kudhani utajiri ni dhambi. Hadi nyakati hizi kwenye kampeni za uchaguzi wagombea hufanya maigizo kwamba wao ni maskini tu kama wapiga kura. Wapiga kura nao kwa kutaka kampani ya umaskini huishia kuwapigia kura wagombea wa aina hii. Tanzania utakuta mtu kama Fred mwenye umri wa zaidi ya miaka 35 anaitwa tajiri kijana wakati dunia ya leo ina mamilionea wenye miaka chini ya 25. Fikra kama hizo ndo zimefanya nchi kuendelea kupoteza pesa kwenye miradi kama BBT kwa kudhani kuna utajiri wa vikundi badala ya kuwawezesha vijana ambao tayari wako kwenye kilimo. Umaskini ni fedheha, tuukatae. Utajiri sio dhambi wala uhalifu.

Wazee wetu wengi hawataki kabisa changamoto mpya toka kwa vijana. Mimi niliwahi kuwa mwalimu wa sekondari kwa miezi kadhaa kabla sijaenda chuo.. nakumbuka niliandaa matokeo ya wanafunzi wa kidato cha pili nikayaweka kwenye wastani na madaraja (division). Mkuu wa shule akaniambia hiyo haifai yabadilishe kwenye report form isome wastani tu. Mambo ya division hadi form four. Nikashangaa sana na ninakumbuka waalimu wazoefu walinicheka na kusema TULIKUAMBIA. Miaka kadhaa mbele NECTA wanatoa matokeo ya form II kwa division. Kama lile wazo lingechukuliwa tungekuwa mbali sana ila kwa sababu ndo kwanza nilikuwa mdogo wa umri miaka 20 kasoro nikapuuzwa.
Swadakta!
 
Kauli hii inayotrend imenifikirisha Sana wakati mwingine nikidhani nikweli!

Embu tutazame Jambo hili kwa Tanzania kijana kuwa tajiri labda mwenye Umri wa Under 30yrs amiliki angalau 100M Jambo hili linawezekana? Je, mifumo na mazingira yanawezesha?

Bila kutarajia vilivyotajwa kwenye kichwa Cha mada hii?
Kwa umri huo, unawezaje kuwa na milioni 100!
May be baada ya shule ya msingi,
Ukaenda kufanya kazi! Yenye malipo mazuri,
 
Kauli hii inayotrend imenifikirisha Sana wakati mwingine nikidhani nikweli!

Embu tutazame Jambo hili kwa Tanzania kijana kuwa tajiri labda mwenye Umri wa Under 30yrs amiliki angalau 100M Jambo hili linawezekana? Je, mifumo na mazingira yanawezesha?

Bila kutarajia vilivyotajwa kwenye kichwa Cha mada hii?
Linawezekana kabisa. Vijana wa mbao, madini na biashara za kkoo under 30 hyo hela wanayo kabisa tena from the scratch.

Mimi at age 24 nilipiga biashara ya mbao nilinunua msitu nikaanza kuchana mbao ilinichukua miez kama saba tu kufikisha kitita cha 55 million. Mademu na marafiki wakanirudisha group zero
 
Kama mtajikita kwenye elimu ya kweli badala ya kukariri, kwa afrika linawezekana kabisa ila tatizo hakuna ubunifu wala vijana wa kuvumbua vitu
Unatoka chuo kikuu hujui lolote hata Veta afadhali

Majuu inawezekana kwa sasa maana kuna mitandao leo kuna vitoto vina hela na hawana elimu hivyo
Ila kwa afrika labda madini
 
Sio kweli, japo Mimi sina 100m lakini hayo mambo yanawezekana hasa kwa wale waliobahatika kukutana na watu wenye focus wakiwa kwenye 20s . Usipigie hesabu vijana wanaomaliza Chuo na degree zao. Hao hawawezi toboa kwenye 100m wakiwa under 30 huo ndo utakuwa wizi.
 
Back
Top Bottom