Ukiona kiongozi yeyote wa Afrika aliye karibu na Mabeberu tambua kuwa huyo yupo tayari kuwasaliti watu wake kama alivyofanya Mobutu Sese Seko

Ukiona kiongozi yeyote wa Afrika aliye karibu na Mabeberu tambua kuwa huyo yupo tayari kuwasaliti watu wake kama alivyofanya Mobutu Sese Seko

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Mobutu Sese seko aliwasahau kabisa waafrika wenzake wa Zaire sasa DRC.

Rasilimali za taifa lake akazitumia kwa ajili ya tumbo lake na mabeberu. Mbaya zaidi hata kifo cha Patrice Lumumba alishiriki ili mradi tu mabeberu wamtumie kuwanyonya waafrika wenzake.

Afrika ina bahati mbaya sana. Kila anapoibuka Kiongozi kama Patrice Lumumba lazima akina Mobutu Sese seko wanajitokeza na kufanya yao ili washirikiane na Mabeberu.

Ipo mifano mingi tu kwa Afrika. Watanzania tukodoe macho.
 
Nyie si ndio mlikuwa mnashangilia Magufuli alipowaita wazungu mabeberu saivi mnashangilia tena chigu Hangaya kuwapigia magoti? Ccm manafiki mpaka kichefu chefu.
"Nyie" kwanza niondoe kwenye hilo kundi la wajinga wenzio.
Siko upande wa mtu,chama, au itikadi yoyote
Na hakuna mahal nimeshangilia maguful kuwaita watu weupe mabeberu. Check your facts
 
Kwel akili za kifugaji ni za kifugaji maisha yote, ww una declare isolation na unaowaita mabeberu lkn hata shujaa wako alikua anawategemea kwa misaada na kweny budget ya NCHI!

U can't escape em maybe ukubali some strong consequences ambazo zitaturudisha Zimbabwe. Wazungu ni kuishi nao kwa akili na kuwanafiki ili uendelee kujijenga! Huez anzisha vita ya uchumi na mabeberu ukatoboa labda kwa mataifa yenye nguvu.
 
Kwel akili za kifugaji ni za kifugaji maisha yote, ww una declare isolation na unaowaita mabeberu lkn hata shujaa wako alikua anawategemea kwa misaada na kweny budget ya NCHI! U can't escape em maybe ukubali some strong consequences ambazo zitaturudisha Zimbabwe. Wazungu ni kuishi nao kwa akili na kuwanafiki ili uendelee kujijenga! Huez anzisha vita ya uchumi na mabeberu ukatoboa labda kwa mataifa yenye nguvu.
Madhara ya kukosa elimu.
 
Back
Top Bottom