Ukiona kiongozi yeyote wa Afrika aliye karibu na Mabeberu tambua kuwa huyo yupo tayari kuwasaliti watu wake kama alivyofanya Mobutu Sese Seko

Aliwanyang’anya mashamba wazungu baada ya Uingereza kukiuka makubaliano ya kuwa wangetoa compensation ya hayo mashamba ili serikalini ya Zimbabwe iweze kuyanunua na kuwagawia wazawa!
Unajua taarifa hizo?
1980 mpaka 2001 ni miaka mingapi!?
 
1980 mpaka 2001 ni miaka mingapi!?
Kumbe na wewe mjinga kama baba yako! Muda wote waingereza walikuwa wanasuasua kutimiza makubaliano kwani walidharau walifikiri kuwa serikali ya Zimbabwe ilikuwa haina options mpaka pale mashamba yalipotaifishwa !!
Umeelewa wewe mpumbavu.
 
Kumbe na wewe mjinga kama baba yako! Muda wote waingereza walikuwa wanasuasua kutimiza makubaliano kwani walidharau walifikiri kuwa serikali ya Zimbabwe ilikuwa haina options mpaka pale mashamba yalipotaifishwa !!
Umeelewa wewe mpumbavu.
Nimekuuliza 1980 alipopata Uhuru mpaka 2001 alipotaifisha mashamba ni muda gani!?..acha kuzunguka,muda wote huo alingoja nini kutaifisha,Kama si ukibaraka!?..alipoona mdc unakuja juu,akaja na gia ya kutaifisha mashamba,hayo makubaliano unayoyasema yapi na walikubaliana yaanze kutimizwa lini!?
 
Unajua kuwa Mwalimu alikuwa instrumental kwenye mazungumzo mpaka makubaliano ya Uhuru wa Zimbabwe na ardhi was one of the sticking points hata kidogo mazungumzo yavunkike ndipo mwalimu akaingilia kati na kuwashawishi kukubali kuwa compensation ya ardhi ingelipwa baadae. Uingereza ignored their commitment mpaka pale ZanuPf walipoamua kuchukua mashamba kama walivyowaahidi wananchi wakati wa independence!
Zimbabweans went to war to liberate their country because of their land! Suala la Mdc kuja juu kisiasa halibadirishi umuhimu wa wazimbabwe kurudishiwa ardhi yao! Mugabe mpaka anakufa was a sore to the western world unlike nyinyi compradors.
 
Magufuli au Jiwe ile pacemaker yake aliwekewa kwa mabeberu kule Uingereza mwaka 1984. Nyerere alifia kwa mabeberu pia Uingereza. Hawa mataahira wanaodanganywa ovyo na akina Polepole na jiwe lenyewe ebu wanyamaze. Kwa mabeberu ndiyo kunakotoka kila kitu hadi baiskeli za wasukuma...Paskali upo?
 
Kuwa sore hakumaanisha kuwa hakuwa kibaraka,walimvurugia uchumi,safari za uingereza kapiga nyingi tu kabla ya 2001
 
Kuwa sore hakumaanisha kuwa hakuwa kibaraka,walimvurugia uchumi,safari za uingereza kapiga nyingi tu kabla ya 2001
Huwezi kuwa a SORE to the westerners at the same time ukawa kibaraka , it’s a contradiction! You should know better.
Walimvurugia uchumi kwasababu he refused to be a boot licker! Alikuwa na msimamo thabiti!! Sio kama nyinyi opportunists.
 
Huwezi kuwa a SORE to the westerners at the same time ukawa kibaraka , it’s a contradiction! You should know better.
Walimvurugia uchumi kwasababu he refused to be a boot licker! Alikuwa n msimamo thabiti!!
He licked the boot for fucking long time bro
 
Hao vichaa dizaini ya kina Lumumba ni kuwafyeka mapema kabisa kabla hata hawajajulikana..
 
Sehemu kubwa Africa imelaaniwa
 
Urusi mwenyewe anajamba pamoja na kwamba ana nguvu
 
Ni uwendawazimu kufikiria kuwa eti mahusiano mazuri na mataifa mengine, hasa yaliyokutangulia kimaendeleo, eti wanakuibia. Ni ukichaa ambao umekosa hoja.

Mbona South Korea kwa kushirikiana na hao hao wa mataifa ya Magharibi, wamepiga hatua kubwa sana kimaendeleo?

Mbona Wachina baada ya kuruhusu uwekezaji wa hao mabeberu, uchumi wao uliokuwa taabani, ulibadilika?

Mbona Botswana na Namibia kuna uwekezaji mkubwa wa hao mabeberu, na nchi haipo hata kwenye kundi la nchi maskini kama zilivyo nchi nyingi za Afrika?

Ni rasilimali zipi tuluzo nazo sisi mbazo mataifa hayo ya Ulaya, hawana, ambazo zikikosekana Duniani, Dunia itapungukiwa na kuja kutupigia magoti?

Ni nchi gani iliyojitrnga na Dunia halafu ilipata maendeleo makubwa ukilinganisha na nchi zilizoamua kushirikiana na Ulimwengu?
 
Kukaa na aliyeendelea na kufanya naye kazi si dhambi - hawa ndiyo wale ukipata jirani ana Magari na nyumba nzuri UNAMNUNIA. Kanuni ni kwamba aliyekuzidi hanuniwi bali tafuta njia bora ya kushirikiana naye ili walau upate hata masalia masalia ukawagawie wanao.

Kwa mfano mimi nina jirani yangu mwanae anasoma Feza school - kwa hiyo nachofanya nahakikisha mwanangu (mid kayumba school) anakuwa rafiki yake na nimefanikiwa kwa hilo. najua nachokifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…