Ukiona mpaka navaa Condom tafsiri yake sina imani na afya yako

Ukiona mpaka navaa Condom tafsiri yake sina imani na afya yako

Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa 🍑lote huku akishika 🍆, nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba
Daah kuna baadhi ya wanawake wanakuwa na ushetani kuliko hata shetani mwenyewe.

kuna manzi mmoja alikuwaga jirani yangu, tukazoena akaanza kuonesha kama kunielewa ila mimi sikumuelewa kabisa. basi mazoea yakazidi akawa anakuja ghetto, ananisimulia mambo yake then anaondoka...nilikuwa simfanyi chochote.

alikuwa single maza watoto wawili(mapacha)Stori aliyonipa kuhusu mtu aliyezaa naye ndo iliongezea kutokumkubali kabisa yaani.....basi kuna muda anarudi usiku amelewa, ananigongea ghetto kwangu anaforce nikala kwenye ghetto lake nikawa nakaza kidume.....alikuwa anachukia sana..

ataninunia maybe siku mbili akiona na mimi kimya ataanza kunitext, nimekumiss, blah blah kibao...kwakuwa tulikuwa jirani tu basi anakuja ghetto, akifika kama nipo nimejilaza kitandani, ananirukia then anaanza romance...nikawa nagoma na mwambia acha upuuzi wewe....alikuwa anaumia sana.

kilichokuwa kinanipa wasiwasi ni ile lifestyle yake, kwa uzuri alikuwa mzuri watu wengi kitaa walikuwa wanatamani kumpata na alikuwa anawakazia...alikuwa anapenda kuniambia jinsi anyowakatalia..hii kitu ndo ilikuwa inanikera huwa sipendi wanawake wanaopenda kuniaminisha ni waaminifu.

baada ya mitego yake mingi, niliishinda sikumla yule manzi hatimaye nikahama pale, nikahamia sehemu nyingine...comnunication nikakata kabisa, akawa ananicheki analakamika nimemsusa....nilim-skip denied....

kama miezi minne hivi nakuja kuona anaposti picha za mwanaye amejifungua, daaah nikabaki najiuliza kumbe muda wote huu alikuwa na mimba alitaka anibebeshe zigo la mavi....na mpaka leo hajajulikana ni mimba ya na nani, amekuwa single, singular maza....
 
Sitasahau nililala na manzi after one week akanipea taarifa ana mimba nami nkasema isiwe kesi nkarekodi tar aliyonipa taarifa kwa note book yangu.nkaanza kuihesabia mimba miezi huku Huduma natoa.bwanaa inafika miezi mitatu naona mwenzangu tumbo kubwa Kama la yule baba anaetrend mtandaoni ana wrestle na wanyama nabaki na maswali mbona tumbo linakua kwa Kasi ya 5g.mara miezi sita naona mtoto kageuza kichwa chini miguu juu nkasema ohooooóo hapa nmepigwa kweli baba baada ya siku mbili mtu akjifungua.akanitumia taarifa nmejifungua nkasema mbona mapema mtoto njiti nini kwenda kucheki mtoto kazaliwa akiwa kamili.nlichoka vibaya mno mimba miezi sita ujifungue Toto likiwa na kilo 4.5.ila wanawake mtafika mbinguni mmetepeta sana
 
Daah kuna baadhi ya wanawake wanakuwa na ushetani kuliko hata shetani mwenyewe.

kuna manzi mmoja alikuwaga jirani yangu, tukazoena akaanza kuonesha kama kunielewa ila mimi sikumuelewa kabisa. basi mazoea yakazidi akawa anakuja ghetto, ananisimulia mambo yake then anaondoka...nilikuwa simfanyi chochote.

alikuwa single maza watoto wawili(mapacha)Stori aliyonipa kuhusu mtu aliyezaa naye ndo iliongezea kutokumkubali kabisa yaani.....basi kuna muda anarudi usiku amelewa, ananigongea ghetto kwangu anaforce nikala kwenye ghetto lake nikawa nakaza kidume.....alikuwa anachukia sana..

ataninunia maybe siku mbili akiona na mimi kimya ataanza kunitext, nimekumiss, blah blah kibao...kwakuwa tulikuwa jirani tu basi anakuja ghetto, akifika kama nipo nimejilaza kitandani, ananirukia then anaanza romance...nikawa nagoma na mwambia acha upuuzi wewe....alikuwa anaumia sana.

kilichokuwa kinanipa wasiwasi ni ile lifestyle yake, kwa uzuri alikuwa mzuri watu wengi kitaa walikuwa wanatamani kumpata na alikuwa anawakazia...alikuwa anapenda kuniambia jinsi anyowakatalia..hii kitu ndo ilikuwa inanikera huwa sipendi wanawake wanaopenda kuniaminisha ni waaminifu.

baada ya mitego yake mingi, niliishinda sikumla yule manzi hatimaye nikahama pale, nikahamia sehemu nyingine...comnunication nikakata kabisa, akawa ananicheki analakamika nimemsusa....nilim-skip denied....

kama miezi minne hivi nakuja kuona anaposti picha za mwanaye amejifungua, daaah nikabaki najiuliza kumbe muda wote huu alikuwa na mimba alitaka anibebeshe zigo la mavi....na mpaka leo hajajulikana ni mimba ya na nani, amekuwa single, singular maza....
Hiyo kitaalamu inaitwa double impact 😂
Alitaka akupe jukumu la ubaba, tamaa usipozishinda kifuatacho ni majuto, tuwe makini kuna vitu sio vya kuendekeza hata kama kuchomoka ni ngumu. Kichwa cha chini kikishatuna huwa hakitaki kuelewa chochote ila kukishinda ni muhimu zaidi.
 
Sitasahau nililala na manzi after one week akanipea taarifa ana mimba nami nkasema isiwe kesi nkarekodi tar aliyonipa taarifa kwa note book yangu.nkaanza kuihesabia mimba miezi huku Huduma natoa.bwanaa inafika miezi mitatu naona mwenzangu tumbo kubwa Kama la yule baba anaetrend mtandaoni ana wrestle na wanyama nabaki na maswali mbona tumbo linakua kwa Kasi ya 5g.mara miezi sita naona mtoto kageuza kichwa chini miguu juu nkasema ohooooóo hapa nmepigwa kweli baba baada ya siku mbili mtu akjifungua.akanitumia taarifa nmejifungua nkasema mbona mapema mtoto njiti nini kwenda kucheki mtoto kazaliwa akiwa kamili.nlichoka vibaya mno mimba miezi sita ujifungue Toto likiwa na kilo 4.5.ila wanawake mtafika mbinguni mmetepeta sana
😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 mwanaume ukipata mtoto hajafanana na wewe chochote inabidi ujiulize sana (hata kama miezi imebalance)
 
Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom

Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue Condom na alivoona sitaki kuvua akaniuliza "huniamini" ???

Mpaka navaa Condom tafsiri yake ni kwamba sikuamini sababu sijui umekutana na wangapi na pia tunajiepusha na mimba zisizotarajiwa plus magonjwa ya zinaa.

Mwanamke ukikutana na mwanaume ambae anatumia kinga shukuru Mungu mana anajari afya yako na yake na sio kumlazimisha avue kisha yanafuata majuto.

Je wewe kijana mwenzangu ushawahi kukutana na mwanamke ambae anakuomba uvue kinga ili upige kavukavu na je uliuepuka vipi mtego huo ?
Wengi wa hivyo wanakuwa ni wale wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi hivyo wanafanya hivyo makusudi wakuambukize.
 
Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom

Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue Condom na alivoona sitaki kuvua akaniuliza "huniamini" ???

Mpaka navaa Condom tafsiri yake ni kwamba sikuamini sababu sijui umekutana na wangapi na pia tunajiepusha na mimba zisizotarajiwa plus magonjwa ya zinaa.

Mwanamke ukikutana na mwanaume ambae anatumia kinga shukuru Mungu mana anajari afya yako na yake na sio kumlazimisha avue kisha yanafuata majuto.

Je wewe kijana mwenzangu ushawahi kukutana na mwanamke ambae anakuomba uvue kinga ili upige kavukavu na je uliuepuka vipi mtego huo ?
Hilo lilinishinda nilivuliwa kwa nguvu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Daah kuna baadhi ya wanawake wanakuwa na ushetani kuliko hata shetani mwenyewe.

kuna manzi mmoja alikuwaga jirani yangu, tukazoena akaanza kuonesha kama kunielewa ila mimi sikumuelewa kabisa. basi mazoea yakazidi akawa anakuja ghetto, ananisimulia mambo yake then anaondoka...nilikuwa simfanyi chochote.

alikuwa single maza watoto wawili(mapacha)Stori aliyonipa kuhusu mtu aliyezaa naye ndo iliongezea kutokumkubali kabisa yaani.....basi kuna muda anarudi usiku amelewa, ananigongea ghetto kwangu anaforce nikala kwenye ghetto lake nikawa nakaza kidume.....alikuwa anachukia sana..

ataninunia maybe siku mbili akiona na mimi kimya ataanza kunitext, nimekumiss, blah blah kibao...kwakuwa tulikuwa jirani tu basi anakuja ghetto, akifika kama nipo nimejilaza kitandani, ananirukia then anaanza romance...nikawa nagoma na mwambia acha upuuzi wewe....alikuwa anaumia sana.

kilichokuwa kinanipa wasiwasi ni ile lifestyle yake, kwa uzuri alikuwa mzuri watu wengi kitaa walikuwa wanatamani kumpata na alikuwa anawakazia...alikuwa anapenda kuniambia jinsi anyowakatalia..hii kitu ndo ilikuwa inanikera huwa sipendi wanawake wanaopenda kuniaminisha ni waaminifu.

baada ya mitego yake mingi, niliishinda sikumla yule manzi hatimaye nikahama pale, nikahamia sehemu nyingine...comnunication nikakata kabisa, akawa ananicheki analakamika nimemsusa....nilim-skip denied....

kama miezi minne hivi nakuja kuona anaposti picha za mwanaye amejifungua, daaah nikabaki najiuliza kumbe muda wote huu alikuwa na mimba alitaka anibebeshe zigo la mavi....na mpaka leo hajajulikana ni mimba ya na nani, amekuwa single, singular maza....
Jogoo anapanda mtungi kweli?
 
Sitasahau nililala na manzi after one week akanipea taarifa ana mimba nami nkasema isiwe kesi nkarekodi tar aliyonipa taarifa kwa note book yangu.nkaanza kuihesabia mimba miezi huku Huduma natoa.bwanaa inafika miezi mitatu naona mwenzangu tumbo kubwa Kama la yule baba anaetrend mtandaoni ana wrestle na wanyama nabaki na maswali mbona tumbo linakua kwa Kasi ya 5g.mara miezi sita naona mtoto kageuza kichwa chini miguu juu nkasema ohooooóo hapa nmepigwa kweli baba baada ya siku mbili mtu akjifungua.akanitumia taarifa nmejifungua nkasema mbona mapema mtoto njiti nini kwenda kucheki mtoto kazaliwa akiwa kamili.nlichoka vibaya mno mimba miezi sita ujifungue Toto likiwa na kilo 4.5.ila wanawake mtafika mbinguni mmetepeta sana
Kilo 4.5?

Umetupiga kamba hapa.
 
Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa 🍑lote huku akishika 🍆, nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba
Upewe maua 🌹 yako mkuu
 
Alivyo na bahati mbaya, katumia ndomu kaona siyo tamu kavua, baada ya siku mbili uti sugu kutumia vidonge likagoma,

Kanywa overdose kwa hasira tumbo likawaka moto, ulcers zikaja, baada ya kupigwa sindano double double kila wiki, ndani ya wiki 3 likapona,.

Ila ulcers zimegoma kupona hadi leo 😥😥😥
 
Mwanamke ukikutana na mwanaume ambae anatumia kinga shukuru Mungu mana anajari afya yako na yake na sio kumlazimisha avue kisha yanafuata majuto.
Condom haiwezi kukukinga na dhambi ya uzinzi, ukiamua kuwa mzinzi piga kavu tu ufaidi maana dhambi ipo palepale.

Kufanya ngono huku umevaa condom ni sawa na kupiga nyeto tu 😂
 
Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa 🍑lote huku akishika 🍆, nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba
CHAI 🤣🤣🤣
Mzigo ulipiga kavu usituchoshe
 
Jogoo anapanda mtungi kweli?


Mimi huwa ni selective sna linapokuja swala la mwanamke gani nilale naye.....so ikitokea sijavutiwa na huyo mwanamke hata iweje siwezi kumla...

sikuvutiwa naye yule manzi...ila usiombe nivutiwe na manzi yaani hata nikishika simu yake mashine inaamka🙌🙌

note:usiendekeze nyege mkuu magonjwa ni mengi.
 
Back
Top Bottom