Ukiona mpaka navaa Condom tafsiri yake sina imani na afya yako

Ukiona mpaka navaa Condom tafsiri yake sina imani na afya yako

Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa 🍑lote huku akishika 🍆, nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba
Me nawapenda wanaume wanaokumbuka kutumia condom,

Kwanza nisivyopenda kumwagiwa mishahawa kwenye mwili wangu alooo condom lazima utavaa
 
Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa [emoji527]lote huku akishika [emoji533], nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba
Mie first half tu ningekuwa nishakamatika mkuu [emoji3] hongera kwa kushinda majaribu
 
Kuna siku sitaisahau nilikutana na manzi ugenini nikatongoza akakubali ,nilikuwa na tabia lazima ninunue Ndomu paketi 2 kwa Imejensi Kuna shida nilishakutana nayo ya kuishiwa usiku wa manane alafu demu alikuwa fundi ukiigusa imoo wazungu haoo tatu zikaisha alafu kila mmoja anaitaka mechi Kama ndio tumevuana siyo kutoka njee kuanza kusachi kwenye mabafu na vyoo vya nnje tukaambulia moja tu ,
Ilipo isha Demu ananiambia Bwana wewe gemu iendelee kavu nikakataa kabisa hakuamini akafanya awezavyo ila hakutengua mgomo .
Asubuhi na mapema tukawahi kila mmoja vibaruani
Hivyo tangu siku hiyo huwa nachukua 2 nikiwa na shuhuli

Tueudi kwenye tukio ,nikachukua Room Kama kawaida mechi ikaanza freshi tu ndomu ya kwanza tukatupa ya pili niliwekewa kila mkao kila aina ya hamasa nimwage wapi,Asee wote tumelowa chapa chapa mpaka mashuka nayo yakaanza kulowa kila akigeuka imo ndani tu akaanza kutafuta sababu,oooh Mtoto hajala ,Mara analia ,naomba niende narudi Sasa hivi nikamwone
Bwana wee akachoropoka katikati ya gemu nguo alienda kuvalia Nje.
Aliniambia kwenye simu wewe nenda siji unataka kuniua siku nyingine .

Nifanyeje Sasa kiunyongee nikatafuta manzi nyingine nimalizie sikupata nikaondoka bila kushiba .

Kama wiki akanitafuta ,nikatimba nikachukua room sehemu nyingine ile nimepiga Kama tako 10 akaleta mkono alivuta tu Ile ndomu kwa nguvu ikavuka/akanivua bila maongezi wee pale pale gemu iliahirishwa nikampa torati yangu Kama anataka tukapime na nihakikishe nipo peke yangu na pia Sina kipato cha kumuudumia hiyo ikawa mwanzo mwisho.Alinibembeleza nile pipi bila ganda Lakini wapi
 
Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa 🍑lote huku akishika 🍆, nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba
Pole Sana nusu albino, Sasa hapo mtoto Ange toka mweusi.
👉Lazima tunge jua tu😄🤣
 
Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom

Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue Condom na alivoona sitaki kuvua akaniuliza "huniamini" ???

Mpaka navaa Condom tafsiri yake ni kwamba sikuamini sababu sijui umekutana na wangapi na pia tunajiepusha na mimba zisizotarajiwa plus magonjwa ya zinaa.

Mwanamke ukikutana na mwanaume ambae anatumia kinga shukuru Mungu mana anajari afya yako na yake na sio kumlazimisha avue kisha yanafuata majuto.

Je wewe kijana mwenzangu ushawahi kukutana na mwanamke ambae anakuomba uvue kinga ili upige kavukavu na je uliuepuka vipi mtego huo ?
Unakula pipi katika Ganda lake huu ni upuuzi hospital zipo kwaajiri ya nini
 
Ukiweza kujicontrol ni njema sana, niligombana na pisi tukapotezeana kama wiki 2, ghafla akanicheki anakuja gheto tumalize tofauti zetu na amenimisi sana, nikamkubalia kidume nikashangilia sana kupata uhakika wa kufunga goli.
Alifika mida ya saa 4 usiku tukaongea yakaisha, akaanza kusema leo anataka pipi bila maganda afeel joto la pipi ya nyama vizuri, Mr machale machale yakanicheza mbona leo imekuwa ghafla alafu kabla alikuwa hataki kavu kabisa?
Wasiwasi ndio akili nikagoma kupiga kavu na yeye akagoma kula pipi na ganda, masaa yakayoyoma nikalala, sijui aliamka saa ngapi bidada yule akazihamisha silaha nilipokuwa nimezihifadhi(alienda kuzificha chooni zote).

Kunakaribia kukucha saa 11 nkasogezewa 🍑lote huku akishika 🍆, nikamwambia ngoja nivae silaha, akakubali haraka akiwa anajua fika alichokifanya. Nikazikosa nikamuuliza akasema hajagusa chochote. Akaniambia kwani uniamini si tufanye hivi hivi kuna shida gani? (hii siku nilishinda vita na kichwa cha chini). Nikamkatalia katu katu akaanza kulia kuwa simuamini na simjali, kweli sikujali licha ya kulia karibia lisaa lizima huku akinibembeleza. Mpaka kunakucha inafika saa mbili kasoro hakikufanyika chochote.

Baada ya kuondoka akakata mawasiliano, nakuja kukutana na room mate wake nikamuulizia akaniambia mbona na chuo kaacha muda baada ya kupata mimba. Alipojua kuwa nimejua ana mimba akanitafuta nikamuuliza vimaswali vya kimtego nikaunganisha dots nikabaini kipindi kile ule ulikuwa ni mtego, ningejaa ningebebeshwa jukumu.

Kinga ni bora kuliko tiba
Nani mwingine anataka chai ☕️ nimwambie jirani yangu ammiminie 🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Back
Top Bottom