Ukiona mpaka navaa Condom tafsiri yake sina imani na afya yako

Ukiona mpaka navaa Condom tafsiri yake sina imani na afya yako

Umetupiga kamba.!! Ww nakujua huna moyo huo. Kwanza umeutoa wapi? Umeanza lini kuwa hivo?? 🤣🤣🤣
Jirani trust me ni mimi nikiwa timamu hakuna kinachoshindikana. Yeye mwenyewe alikua anajiuliza ivi nliwezaje 😂
 
Mabaharia huwa tunatoboa kiaina ili ivae shinani,akishtuka tayari wazungu wapo kutalii ziwani,we huwa unaombwa? Duuh utakwepa hayo but kuna kuletewa nyumbani.
Sihimizi ngono uzembe,nakazia kwa kusema condomize,be faithful or abstain
 
Back
Top Bottom