Ukiona mpaka navaa Condom tafsiri yake sina imani na afya yako

Mkuu kuna vitu siwezi, kupima kwa macho siwezi. Kama ni uhuni kuishi na kinga ndan acha tu niwe muhuni ila kuuza mechi hapana. Mambo ni mengi mno kwenye hii generation yetu ambayo unajuana na mtu leo, unaanza mahusiano na kuyamaliza leo leo.
🀣🀣🀣 liongo wewe
 
Me nawapenda wanaume wanaokumbuka kutumia condom,

Kwanza nisivyopenda kumwagiwa mishahawa kwenye mwili wangu alooo condom lazima utavaa
 
Mie first half tu ningekuwa nishakamatika mkuu [emoji3] hongera kwa kushinda majaribu
 
Kuna siku sitaisahau nilikutana na manzi ugenini nikatongoza akakubali ,nilikuwa na tabia lazima ninunue Ndomu paketi 2 kwa Imejensi Kuna shida nilishakutana nayo ya kuishiwa usiku wa manane alafu demu alikuwa fundi ukiigusa imoo wazungu haoo tatu zikaisha alafu kila mmoja anaitaka mechi Kama ndio tumevuana siyo kutoka njee kuanza kusachi kwenye mabafu na vyoo vya nnje tukaambulia moja tu ,
Ilipo isha Demu ananiambia Bwana wewe gemu iendelee kavu nikakataa kabisa hakuamini akafanya awezavyo ila hakutengua mgomo .
Asubuhi na mapema tukawahi kila mmoja vibaruani
Hivyo tangu siku hiyo huwa nachukua 2 nikiwa na shuhuli

Tueudi kwenye tukio ,nikachukua Room Kama kawaida mechi ikaanza freshi tu ndomu ya kwanza tukatupa ya pili niliwekewa kila mkao kila aina ya hamasa nimwage wapi,Asee wote tumelowa chapa chapa mpaka mashuka nayo yakaanza kulowa kila akigeuka imo ndani tu akaanza kutafuta sababu,oooh Mtoto hajala ,Mara analia ,naomba niende narudi Sasa hivi nikamwone
Bwana wee akachoropoka katikati ya gemu nguo alienda kuvalia Nje.
Aliniambia kwenye simu wewe nenda siji unataka kuniua siku nyingine .

Nifanyeje Sasa kiunyongee nikatafuta manzi nyingine nimalizie sikupata nikaondoka bila kushiba .

Kama wiki akanitafuta ,nikatimba nikachukua room sehemu nyingine ile nimepiga Kama tako 10 akaleta mkono alivuta tu Ile ndomu kwa nguvu ikavuka/akanivua bila maongezi wee pale pale gemu iliahirishwa nikampa torati yangu Kama anataka tukapime na nihakikishe nipo peke yangu na pia Sina kipato cha kumuudumia hiyo ikawa mwanzo mwisho.Alinibembeleza nile pipi bila ganda Lakini wapi
 
Pole Sana nusu albino, Sasa hapo mtoto Ange toka mweusi.
πŸ‘‰Lazima tunge jua tuπŸ˜„πŸ€£
 
Unakula pipi katika Ganda lake huu ni upuuzi hospital zipo kwaajiri ya nini
 
Nani mwingine anataka chai β˜•οΈ nimwambie jirani yangu ammiminie πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Nani mwingine anataka chai β˜•οΈ nimwambie jirani yangu ammiminie πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Jirani unataka kusema nilikula?
πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…