Watu wengi wamebebeshwa watoto sio wao kqa mtindo huu. Ukitanguliza nyege badala ya Akili imekuka kwako.
Jamaa wana target tarehe vizuri ukija kuzalisha unaona tarehe zinaendana kumbe alikuita baafa ya mshikaji mwingine kukojolea sema mshikaji unakuta haziivi vizuri au hana fyucha kivile.
Hii ndiyo inataka kunitokea sasa.........
Kama mwezi mmoja hivi umepita nilimlapatua mtoto mmoja hivi blak beauty ana tako kubwa sio sana linavutia haswa..... kwa wapenda vimodo mbinuko nadhani mtanielewa vyema sana.
Ana miaka 18 (hii aliniambia baada ya kumla) na nilimla kiulaini sana nilimkuta maeneo ya starehe mida mibovu kidogo ila hakanywi pombe kenyewe ni juice tu, na wala hatufahamiani.
nikavutiwa nako nikaongea nako kakaniachia namba na kesho yake usiku kakalala kwangu nikakamua asubuhi kakaondoka. Na hatukukutana tena zaidi ya kuongea kwenye simu
Jumaamosi hii iliyopita akanipigia eti kuna kitu anataka kuniambia na alikuwa anaogopa kuniambia siku zote.. nikamwambia ehe bibie tiririka.....
Bibie akaanza kutiririka kuwa baada ya kukutana siku ile zikapita kama siku nne hivi akaanza kujisikia tofauti kwenda kucheki hispitali wakampima na mimba akakutwa nayo na hii mimba eti ni yangu kichwa kukajiswitch kwenye Airplane mode gafla kisha mtandao ukarudi fresh.
Nikamwambia njoo nikakupige ultra sound akakubali na tukaenda. Mimi kichwani lengo nipime mimba inamuda gani maana tarehe ya siku niliyomla naijua na mpaka kufikia leo hii ni wiki nne kasoro hivyo akipiga ultrasound nitajua kama ni yangu ama la.
Majibu yanatoka namuuliza dokta mimba ina muda gani anasema hii mimba bado ni changa hivyo haiwezi kusoma umri akashauri turudi baada ya mwezi mmoja kuanzia leo.
Sasa dokta kasema hii mimba bado ni changa haiwezi kusoma umri kwenye ultra sound inamaana mimba ya wiki nne kasoro ni changa kiasi cha kutokusoma umri kwenye ultra sound ama hapa ndiyo naenda hivyo kupigwa ndoige msebenzo?