Ukiona mwanamke anakutreat vibaya, ujue wewe ndo umeruhusu akutendee hayo.. Hata ivo usiogope kumuacha mara moja ..... Huo ndio ukweli

Tusimamie Asili
 
Jamaa Sijui wamekuaje yaan !!
 
Ukiona mwanaume anashadadia msimamo wa "kataa ndoa" ujuwe hana uwezo wa kuishi na mwanamke. Perfect!
Anaekataa ndoa pia anapinga maagizo yaliyoandikwa kwenye vitabu vya dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…