Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana kuna jamaa aliandika humu kuwa ukijua mwanamke anataka nini ujue unakaribia kufa .wanawake wengi wa ssa ni mavuvuzelaKabisa aiseeee
HakikaUna hoja, hili nalo tukalitazame wanaume.....
Jamaa Sijui wamerogwa nananWanaume wametepeta kwa wanawake
Hizi love stories, tamthilia, na drama za Wakorea na Wafilipino zimetuharibia wanaume
Uishi Miaka mingi, uambukize na Vijana wako hii kituMimi binafsi bora mwanamke aniambie naishi kama wazee wa zamani, lakini nitaendelea kupambania misingi mpaka natoweka katika hii dunia.
Vijana Sijui wamekuaje MkuuUkiona mwanaume anakataa ndoa basi ujue hana akili ya kuishi na mwanamke. Au kwaharaka anaogopa kutawaliwa na mwanamke kwasababu mwanamke anauwezo mkubwa wa akili kumzidi.
Ebu watuache wenye akili tuishi nao
Nahisi ndio nature mkuuA woman should be under man's control ...Haijalishi itakuwaje
Misimamo ndio Uanaume MkuuMwanaume anatakiwa kuishi na mwanamke kwa misimamo thabiti.
Mwanaume hua hayumbishwi na mwanamke.
Mwanaume hawezi kukubali usawa 50/50 ndani ya nyumba.
Mwanaume anakua dictator aka bandidu.
Mkuu, skuizi nchi imekua na vijana wa hovyo kabisa.Vijana Sijui wamekuaje Mkuu
Tusimamie AsiliKiasili wanawake wanataka mwanaume dikteta, wao kutawaliwa ujisikia amani na salama zaidi, kuliko demekrasia. Shida huja kwenye malezi, dikteta ni mtu anaetumia nguvu nyingi akili kidogo. SAsa sababu ya malezi hili jambo huwa gumu umelelewa kwenye malezi ya maadili maadili ni matumizi ya akili kuliko nguvu, utaanzaje kumfanyia udikteta mwanamke hali ukupa malezi ya kidikteta.
Jamaa Sijui wamekuaje yaan !!Mungu awabariki wanaume wote ambao mna misimamo ya kiume, tunawapenda sana huu ndiyo ukhalisia..!!
Wanaume wengi mno nowadays hawana tena ile 'manhood' ndani yao, simping culture imewaharibu mno..!!
Carlos usiache kuwaambia ukweli tafadhali inaweza ikawashtua toka kwenye huo usingizi wa pono..!!
Nina hiyo kifaa yangu kwanza akiongea tu kwa mamlaka natii huku inani turn on..!!
Kuweni wanaume bhana, msikimbie nafasi zenu hebu, mnaboa..!!
Hamnaa kitu kama hiyoWanawake pasua kichwa...
Mlitazame aiseeNgoja tukalitazame jambo hili
😂Igwe mr tunda [emoji527]
Ndivo ilivyo Mkuu , waoga wanawaogopa wanawakeUkiona mwanaume anashadadia msimamo wa "kataa ndoa" ujuwe hana uwezo wa kuishi na mwanamke. Perfect!
Anaekataa ndoa pia anapinga maagizo yaliyoandikwa kwenye vitabu vya diniUkiona mwanaume anashadadia msimamo wa "kataa ndoa" ujuwe hana uwezo wa kuishi na mwanamke. Perfect!