Huenda Mzee mwenye muembe ni mkali sana au Mchawi[emoji23]Ukiona muembe umejaa maembe yaliyoiva na kuning'inia kiasi cha kuvutia kwenye nyumba ya watoto watukutuku au shule basi tambua kuna haya mawili;
1. Huenda Mzee mwenye muembe ni mkali sana au Mchawi
2. Maembe ni machungu balaa yasiyolika hata kwa chumvi!
Kwa mfano ule ule utumie pia unapoona Mrembo/Mkaka wa makamo Ambaye hajaolewa/oa Usikurupuke kuingia kichwa kichwa lipo jambo!
Vuta subira!
Tambua kwamba kama kwa jirani maembe kama hayo yanaliwa na chumvi yakiwa machanga! Iweje Hayo yakomae yakiwa mtini?
3. Au manyigu yamejenga humu mtini.Ukiona muembe umejaa maembe yaliyoiva na kuning'inia kiasi cha kuvutia kwenye nyumba ya watoto watukutuku au shule basi tambua kuna haya mawili;
1. Huenda Mzee mwenye muembe ni mkali sana au Mchawi
2. Maembe ni machungu balaa yasiyolika hata kwa chumvi!
Kwa mfano ule ule utumie pia unapoona Mrembo/Mkaka wa makamo Ambaye hajaolewa/oa Usikurupuke kuingia kichwa kichwa lipo jambo!
Vuta subira!
Tambua kwamba kama kwa jirani maembe kama hayo yanaliwa na chumvi yakiwa machanga! Iweje Hayo yakomae yakiwa mtini?
Tayari jiwe limejeruhi mtu gizani.Kwenye maembe sawa, lakini kwenye mahusiano umebugi step,
Siyo lazima mtu kuoa/kuolewa kwa sababu haya ni maamuzi binafsi.
Hakuna aliewai kuripotiwa kupata tatizo la akili kwa sababu hakuwa ameoa/ kuolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ukiwa naye ndo utajua kwann umemkuta single [emoji1][emoji1]Hiyo ni justification ya kukinga udhaifu!
Ndiyo maana tunakumbushwa kutafakali! Mfano!
Anaweza akawa anajipanga lakini huko mtaani akazalisha wanawake kibao! Then anakuja kuoa nyuma analea mitoto kibao!
Au anaweza akawa mwanadada anajipanga lakini katoa mimba kama 800!
Au anaweza kuwa anajipanga kumbe anangoma!
Au anaweza kuwa anajipanga kumbe ni mwezi mchanga (waruwaru) lakini huwezi kujua hadi awe mpenzi wako!
NDIYO MAANA NIKASEMA UKIONA KINANG'AA single KIICHUNGUZE KWANZA LAZIMA KUNA JAMBO!
Ndo maana yakeHa ha ukiwa naye ndo utajua kwann umemkuta single [emoji1][emoji1]
Hasa wale wanaoongozwa na mapenzi pasipo akili!Uzuri wa hii dunia..
Kuna binadamu hatokubaliana na kauli yako hata kidogo
Una point nzuri.Watu wengi sana wameangamia kwa kuingia kichwa kichwa! Wewe unaona kabisa watu wamesimama nyomi pembeni kuna kiti kiko wazi!
Wewe unafika pasipo kutafakali unabandika makalio.....hakika kuna mawili! Either kiti kibovu au ni cha kiongozi/dereva! Jiandae kunyanyuliwa
Hata mimi mkuu, kitu kizito kikanipitia kwa mkichwa..Mmoja WAPo mm
Next time tuwe makini.Hata mimi mkuu, kitu kizito kikanipitia kwa mkichwa..