Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva kwenye Nyumba yenye Watoto watukutu basi kuna mawili

Kwamba TISS wenyewe hawapelekewi moto?
 
Kwamba TISS wenyewe hawapelekewi moto?
Ushaambiwa na wakulungwa wa mtaa kaja kwa ajili ya misheni maalum, so wana maana yao kulileta zigo kama lile,,, ukijitia wewe kibor##o dinda unaweza ukamsaidia ushahidi kwenye hiyo misheni yake, simaanishi kwamba TSS hawapigwi mshipa,,, ni kama alivyosema mleta uzi, ukimuona demu wa makamo yupo yupo tu mtaani kabla ya kumtokea fikiri kwanza ikiwezekana uliza wandewa wa kitaa ,,,,
 
We ndio hujui,sisi tulikuwa tunakula yale ya ndani,unapanda unakula hukohuko juu,mengine unang'atia mtini baada ya siku kadhaa linaiva
Miembe mingine inanyoka unapanda unakutana na nyoka mwenye makengeza hakuna rangi utaacha kuona
 
Ukiona hivo kuna jambo! Gusa uone! Unaota unapelekewa ....
 
Mimi wakati naishi Mwanza,,nilibaatika kupata demu pale mtaa wa Rufiji,,yule demu alikuwa kaunta wa bar,, alikuwa chombo kweli Sasa tatizo akinywa bia moja tu lazima godoro muanike
 
Yaan siku hizi hakuna maadili kabisa. Mpk raia mnajua huyu ni TISS na yuko kwa mission maalum? Si tatizo hili?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Yaan siku hizi hakuna maadili kabisa. Mpk raia mnajua huyu ni TISS na yuko kwa mission maalum? Si tatizo hili?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo raia kumtambua mtu kuwa TISS ndo kukosa maadili? Hebu nijuze, apo asiyekuwa na maadili ni nani raia au huyo TISS? Na kama raia kosa lake hapa liko wapi mpaka ionekane hana maadili
 
Kitendo cha kutoolewa au kuoa hadi makamo yasogee lazima kuwepo sababu!

Rai yangu ni lazima kuwepo tafakari ya kina watu wanaoingia kwenye hayo mahusiano!
hakuna time limit ya kuoa au kuolewa....hatuoi wala kuolewa muda ukifika, instead tunaoa na kuolewa kwa the right person...kuoa na kuolewa sio mchezo wa bahati nasibu
 
Mzee ujumbe wako ni mkubwa Sana
Umezungumza jambo la msingi Sana
Uwezekano wa mwenye muembe kuwa mchawi ni mkubwa
 
Mimi wakati naishi Mwanza,,nilibaatika kupata demu pale mtaa wa Rufiji,,yule demu alikuwa kaunta wa bar,, alikuwa chombo kweli Sasa tatizo akinywa bia moja tu lazima godoro muanike
Umeona Sasa ndo ukaelewa kwann ulimkuta single
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…