Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva kwenye Nyumba yenye Watoto watukutu basi kuna mawili

Pia kuna uwezekano hayo maembe ni kwa ajili ya mandondocha tu (uchawi wa mze mwenye mwembe wake Mshana Jr ), ukitungua hizo embe mkono wako haurudi tena chini.
 
We unaonekana una una roho mbaya sana,,, nyie ndo wale tukiwapiga vikumbo njiani bahati mbaya tu mnaanza unanijua mm nani,,,, hebu niambie hicho kiburi changu kwenye post zangu hapo kiko wapi?
[emoji706]

I find out hujielewi. Umesema TISS amekuja kwaajili ya mission kitaa kwenu. Umejuaje? Huoni hatari katika mission kwa huyo afisa na mission yenyewe? Huoni mission kuharibika let it ilikua positive ktk jamii? Una miaka mingapi? Very slow at learning. Una miaka mingapi? Jifunze kujiongeza

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Umetumia maneno rahisi kwenye fumbo kubwa!!..Hebu nisome comments
 
Wee paramia kama kuna manyigu utakutanaga nayo huko huko kama utajiachiia uanguke ufe sawa au kama utayakwepa sawa ila la umuhimu uyafikie utajuaga huko huko mtini nini cha kufanya
 
Hebu niquot huo mstari niliosema TISS kaja kwetu nione,, nimesema hivi,, niliporudi kutoka ughaibuni pale mtaani kwetu nikakuatana na demu mkali wa makamo, nilipotaka kutupa karata yangu, wandewa wa mtaani wakaniambia achana nae kwani huyo ni TISS na yupo hapa kwa misheni maalum, so mm kwa kuwa sikuwepo hapo mtaani kwa miaka mingi sikutaka kuwapinga hao wandewa wa mtaani, sasa iweje uanze kunisimanga,,, we mdwanzi tu na nyie ndo mtaani mtu akipakana na nyie hata karatasi likipeperuka kwenye uwanja wako basi nongwa na mikwara kisa mpo kwenye system
 
Are u a boy or a man? U are very stuppid. Mku*duo. Maana una attack na kucatch feelings tu. Hujui hata kusoma kwa vituo na kuelewa. Aliyekuattack wewe nani na kwa kipi. Si umeanza wewe? Makalio yako chips 2 wewe. Nakuambia maadili hakuna kiasi cha afisa kuwa ktk mission na raia wanajua we unaongea nn? Uko vzr tuendelee? Umejawa na umama. Unajaa kama nn. Povu linakutoka kama shangingi la mwananyamala. Hayo mengine yanatoka wapi. Na kweli nikapakana na fala kama wewe unakula risasi ya tako. Huna akili

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Yale yale niliyoyasema we mdwanzi tu,,, yani watu kama nyie uku uswahilini tunawatamani sana nyie,,, style zenu ndo hizo kutishia watu bastora, kisa tu una undugu na mkubwa fulani serikalini, afu mnajifanyaga mmesoma sana, endelea kutukana hakuna tusi jipya,,,
 
Kwa hiyo raia kumtambua mtu kuwa TISS ndo kukosa maadili? Hebu nijuze, apo asiyekuwa na maadili ni nani raia au huyo TISS? Na kama raia kosa lake hapa liko wapi mpaka ionekane hana maadili
TISS mbona tuko nao sana tu, tunasoma nao na tunafanya nao kazi, wanajulikana wale
 
[emoji817][emoji3581]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…