Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva kwenye Nyumba yenye Watoto watukutu basi kuna mawili

Huwezi kufananisha maembe na binadamu kwasababu binadamu anamipango yake na maamuzi yake ya kuamua mambo,mwingine haoi wala kuolewa bila kuaccomplish mambo fulani.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Binafsi ziwezi kuamini sana hivyo! Kuna wengine wanaweza kuingia kichwa kichwa lakini wakakuta mambo ni super.Siyo kila ambaye hajaoa au kuolewa ana matatizo.
 

aliyekwambia kuoa au kuolewa ni maamuzi binafsi ndiye anakufanya uonekane una tatizo mpaka huoni au kuolewa.

maana usingekuwa mbinafsi ungeshabebwa au kubeba.
 
aliyekwambia kuoa au kuolewa ni maamuzi binafsi ndiye anakufanya uonekane una tatizo mpaka huoni au kuolewa.

maana usingekuwa mbinafsi ungeshabebwa au kubeba.
Unachekesha
 
Kabisa mkuu kama alikuja kikazi inawezekana huko alikotokea ni mke Wa NTU,kongole kwa aliyekusanua hiyo ndo rafiki Wa kweli,thou wana hapa watakwambia alikuonea wvu usilambe zigo.
 
mbona nina miaka 26 na nipo single wazee sio kwamba sigongi hapana ila sina demu ile kusem huyu ni mchumba na maisha yanasonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…