[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Huwezi kufananisha maembe na binadamu kwasababu binadamu anamipango yake na maamuzi yake ya kuamua mambo,mwingine haoi wala kuolewa bila kuaccomplish mambo fulani.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]View attachment 1983362
Ncha KaliKuna watu huingia kichwa kichwa wanakutana na kitu kizito
KabisaNcha Kali
Katika I'd nyingine
OohMarriage is the only war where one sleeps with the enemy
Ni mtizamo tuBinafsi ziwezi kuamini sana hivyo! Kuna wengine wanaweza kuingia kichwa kichwa lakini wakakuta mambo ni super.Siyo kila ambaye hajaoa au kuolewa ana matatizo.
Hizi ahadi hizi!Isije fika siku ya shughuli mkazima simu.Natania.Mimi nitagharamia nondo nne na matoroli mawili ya mchanga. Sanamu la mtoa mada lazima lisimame wallahi!
itakuwa mmiliki wa mwembe ni (MSHANA)Huenda Mzee mwenye muembe ni mkali sana au Mchawi[emoji23]
Watu wengi sana wameangamia kwa kuingia kichwa kichwa! Wewe unaona kabisa watu wamesimama nyomi pembeni kuna kiti kiko wazi!
Wewe unafika pasipo kutafakali unabandika makalio.....hakika kuna mawili! Either kiti kibovu au ni cha kiongozi/dereva! Jiandae kunyanyuliwa
Unachekeshaaliyekwambia kuoa au kuolewa ni maamuzi binafsi ndiye anakufanya uonekane una tatizo mpaka huoni au kuolewa.
maana usingekuwa mbinafsi ungeshabebwa au kubeba.
m nachangia nondo tatu za futi 18Mimi kama mimi, nachangia mifuko miwili ya cement kwenye ujenzi wa sanamu la mtoa mada!
Ohoooo!!!Kuna watu huingia kichwa kichwa wanakutana na kitu kizito
Mimi pia nimeshangaa sana Mkuu.Yaan siku hizi hakuna maadili kabisa. Mpk raia mnajua huyu ni TISS na yuko kwa mission maalum? Si tatizo hili?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu kama alikuja kikazi inawezekana huko alikotokea ni mke Wa NTU,kongole kwa aliyekusanua hiyo ndo rafiki Wa kweli,thou wana hapa watakwambia alikuonea wvu usilambe zigo.Ushaambiwa na wakulungwa wa mtaa kaja kwa ajili ya misheni maalum, so wana maana yao kulileta zigo kama lile,,, ukijitia wewe kibor##o dinda unaweza ukamsaidia ushahidi kwenye hiyo misheni yake, simaanishi kwamba TSS hawapigwi mshipa,,, ni kama alivyosema mleta uzi, ukimuona demu wa makamo yupo yupo tu mtaani kabla ya kumtokea fikiri kwanza ikiwezekana uliza wandewa wa kitaa ,,,,
Kuna wajinga hwajaona kama ni tatizo kama mission inafatiliwa na raia wako informed. ShangaaMimi pia nimeshangaa sana Mkuu.
Kuna wajinga hwajaona kama ni tatizo kama mission inafatiliwa na raia wako informed. Shangaa
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app