"Kifo ni kifo tu"Ni dhambi kubwa kuzushia kifo watu
Lakini pia kifo kikija, hakina namna nyingine zaidi ya kujulikana kwa kila mtu, maana hakifichiki, kikikuondoa, macho ya kila mtu yatashuhudia kuwa wewe haupo tena katika hali ya uzima, na kwamba wewe ni mfu, na watu wasipoweka wazi hilo, bado mfu ataoza tu!
Walio/wanaoSOMA vyuo wana kitu wanaita kusap yaani unaweza kuona wenzako wanatunukiwa kwenye mahafari wewe umebaki hapo.Wengine hatujakuelewa.
CHATU WALA WATU WAFE TU HIVYOHIVYO KWA KUFUATANA TUENDELEE KUBUBUJIKWA KWA FURAHA NA AKINA MWAASHAMBWA HUKU.Nyingine wanavujishaga makusudi
Ila kuna moja nzito na I verify kwanza hapa
Nzito mno!
Nilitaka nichape Uzi Ila nikagundua kuna code ziko wazi sana nikauweka pending (Draft)
Ila nikiwaza CHATU kufa wakifuatana si vema sana!
Britanicca
Rudia kusoma ulichoandika!!Tanzania hatajawai pata rais mpenda haki kama samia na rais mskivu kama samia ,
ASINGELI UZA BANDARI NA NGORONGORO NISINGELI KUBISHIA.Tanzania hatajawai pata rais mpenda haki kama samia na rais mskivu kama samia ,
M hh!!Samia Suluhu Hassan goes down as the most incompetent and insecure President in Tanzania’s history.
Hakuna Siri kwrnye safari z raisSafari nzima ya mheshimiwa ya huko nje ya nchi tangu iko kwenye mipango ya awali kabisa ilivuja.
Jambo la hatari sana, yaani mpaka usafiri watakaotumia, mpaka orodha ya akina nani watakwenda.
Kauza bandari?As
ASINGELI UZA BANDARI NA NGORONGORO NISINGELI KUBISHIA.
Hakika.Wale tuliombiwa kutekwa na kuuawa kwao ni "Drama" naamini hawakuwa Binadamu wale.
Satifa siyo binadamu? Mzee Kibao siyo binadamu? Mimi huwa nina ubinadamu sana na sipendi watu wengine wapate majanga ila kama wao hawathamini uhai wa wengine mh...Siyo vyema hivyo mkuu,huyo ni binadamu kama wewe
Haa!Safari akiwemo Babu Tale hakunaga Siri hapo 🐼
.Kauza bandari?
MkuuNyingine wanavujishaga makusudi
Ila kuna moja nzito na I verify kwanza hapa
Nzito mno!
Nilitaka nichape Uzi Ila nikagundua kuna code ziko wazi sana nikauweka pending (Draft)
Ila nikiwaza CHATU kufa wakifuatana si vema sana!
Britanicca
Mafua, kidogo na Homa za majira ya hali ya hewa, that is very common to any human being, anaendelea vizuri sana.Kwani huyo mama yuko wapi kwa sasa?
Si juzi Mzee mwenzao was kutabasam alisema!!?Naamini sana Wazee na Wakongwe wa CCM hawawezi kubali Tena kuongozwa na "?????' ni swala la mda tu kutaanza kuchangamka
Umeelewa hoja? incompetent and insecure!!Tanzania hatajawai pata rais mpenda haki kama samia na rais mskivu kama samia ,
Kwani safari za waheshimiwa ni siri!? basi mi sikujua hilo!!Safari nzima ya mheshimiwa ya huko nje ya nchi tangu iko kwenye mipango ya awali kabisa ilivuja.
Jambo la hatari sana, yaani mpaka usafiri watakaotumia, mpaka orodha ya akina nani watakwenda.