Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Kwangu naona vina umuhimu tumuulize mtoa madaHiyo 1 ina athari gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu naona vina umuhimu tumuulize mtoa madaHiyo 1 ina athari gani?
Ngoja nikarudie kuzisoma.1 na 4 ni muhimu kuzingatia zilizobaki utopolo
Kwisha kabisaUkikosea kuoa umekwisha
Aise Sasa nitaishijeee Kwa kupanga huku..Ongeza, ukikopa mkopo bank ili ujengee nyumba yako ya kwanza, umekwisha.
Ukiwa na akili kama za mtoa posti nawe umekwisha 🙌Kuna mambo madogo madogo na yamezoeleka lakini ni ishara mbaya.
Taa nyekundu imewaka mbele yako, jitafakari. Naandika haya kwa experience ya mambo niliyoyaona na kuyasikia katika jamii. Sometimes nimepata experience Mimi mwenyewe.
1. Ukijiunga kwenye kikundi cha kufa na kuzikana ili usaidiwe ukifiwa. Umekwisha
2. Ukikopa ili kulipa mkopo. Umekwisha
3. Ukifanya harusi kwa pesa ya mkopo umekwisha. Hiyo ndoa yako haitoboi, jiandae kwa msoto.
4. Una familia na huna akiba mahali popote. Umekwisha
ah sikukuelewa mwanzoNamaanisha Suluhisho ni nini?
Ukisema haipo unafeli,sema ipo kwa kiasi kidogoHukunielewa Sajenti Chotta ninachomaanisha ni wangapi wameuza nyumba za urithi pesa iliyopatikana ikazalisha zaidi ya...Hiyo kitu haipo ni. 1 kati ya 100
BHasi zama DMEh kabisa