Ukiona unatumia pesa nyingi kuhonga ujue haupendwi

Ukiona unatumia pesa nyingi kuhonga ujue haupendwi

Lazima kuwe na mchujo mkuu

Kama hapendi viboba, basi atapenda wavuta bangi au labda mapastor au wantonly lips

Akiachia free huko chini pata waka moto
Kweli ulichoongea ila kumbuka mwanamke akikupenda kweli hata hela yako anakuwa na nidhamu nayo,hawezi kutumia hovyo au kukuomba hovyo.
Ushahidi upo na ni kutoka kwa wanawake wenyewe.
 
Mnaatabika na mapenzi sana, wakati ukinunua hii mkataba.. no stress wala nini
images (1).jpeg

dronedrake
 
Mara tuambiwe tutafute pesa..mara tuambiwe ukiona unahonga sana ujue hupendwi..tushike lipi sasa wazeh

Mara tuambiwe tutafute pesa..mara tuambiwe ukiona unahonga sana ujue hupendwi..tushike lipi sasa wazee
Tafuta pesa kwa ajili yako sio kwa ajili ya mapenzi,
Kaka nakuonya hat siku moja usijaribu kutumia pesa kumpata msichana utalia. Labd kama wa kupiga na kusepa tu.
 
Sure, i never met a woman who looks after my money… Them all showed me that i’m important than papers, Naweza kusema wote wananiigizia kutokujali ninazo au sina ila ukweli ni kwamba kwangu hawanioneshi. So brother kama unasema pisi huzioni ukiwa apeche hiyo ni wewe mzee.
 
Mi sio kama sitoi pesa ila ni vile sina....
Ila nikiwa nazo walah tamwaga sana aiseee.

Maisha haya ni kufosi tuu... kila kitu hapa tz ni kufosi tuu sio mahusiano sio kazi...
Kila kitu.. hata chooni ukijikuta lelemama ukati gogo, ni lazima ufosi ili litoke kule lilipo
 
Kweli ulichoongea ila kumbuka mwanamke akikupenda kweli hata hela yako anakuwa na nidhamu nayo,hawezi kutumia hovyo au kukuomba hovyo.
Ushahidi upo na ni kutoka kwa wanawake wenyewe.
Mimi nitakushauri tu usikariri maisha.

Kwasababu kuna ke wanachukulia hela kiuzito sana, ukizikosa upendo unaisha

Sijui nikuelezee vipi.... ni kama me akigundua mke hazai anavyokuwa
 
Sure, i never met a woman who looks after my money… Them all showed me that i’m important than papers, Naweza kusema wote wananiigizia kutokujali ninazo au sina ila ukweli ni kwamba kwangu hawanioneshi. So brother kama unasema pisi huzioni ukiwa apeche hiyo ni wewe mzee.
Naam naam
 
Back
Top Bottom