Ok ahsanteUlikua haujui? Sasa umejua ogopa kukutana wakora wanasumbua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok ahsanteUlikua haujui? Sasa umejua ogopa kukutana wakora wanasumbua sana
Yule jamaa wa tra aliyekamatwa na b7 ndani kwake m2 sio pesaKamba hii.....
Kasome komenti yako niliyo reply na hiki ulicho kiandika?Yule jamaa wa tra aliyekamatwa na b7 ndani kwake m2 sio pesa
ishu ya kuhonga by nature wanaume tumeumbiwa na kiuhalisia mwanamke hapashwi kunipenda zaid tyu aniheshimu hyo inatosha,ko wew ukiona mwanamke hakuombi hela shituka pia make sio asili yao kutokuomba hela hata kama anazo zakutoshaSina haja ya salamu ila nataka tu kuwakumbusha ndugu zangu wa kiume ukiona unatumia nguvu kubwa ya kifedha kuendesha mahusiano jua tu huyo mwanamke hakupendi.
Mahusiano sio magumu wala sio ghali kiasi hicho iwapo utapata mtu sahihi.
Naishia hapa naomba kuwasilisha.
Km anakupa papuchii, bas anakupendaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ety nini [emoji2962][emoji2962]
Unatak uniambie Aisha hanipendi [emoji3061][emoji3061]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81]
Tobaaaaah!!! Nini hikii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tunajichagulia.. hii dunia sio ya kuendeshwa na mapenzi mkuu.. vitendea kazi vipo.. ukinua mda wote unajipigia tuView attachment 3045026
huoni vitobo hivyo eeh! hiyo ni pusi poketi mkuu.. huoni shape ya hayo matunduTobaaaaah!!! Nini hikii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ya tangawiziChai kivipi
Ajawi nipa,ety anasema tusubir ndoa🥴🥴🥴Km anakupa papuchii, bas anakupendaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usizunguke sana mkuu..sema hivi Una muonekano mbayaSina haja ya salamu ila nataka tu kuwakumbusha ndugu zangu wa kiume ukiona unatumia nguvu kubwa ya kifedha kuendesha mahusiano jua tu huyo mwanamke hakupendi.
Mahusiano sio magumu wala sio ghali kiasi hicho iwapo utapata mtu sahihi.
Naishia hapa naomba kuwasilisha.
Mimi mwenyew na Aisha wangu penzi letu limeshikiliwa na Tigo pesa tu.Ety nini 🤯🤯
Unatak uniambie Aisha hanipendi 🥴🥴
Kwahiy Tigo pesa ikizingua tu....umeshaachwaMimi mwenyew na Aisha wangu penzi letu limeshikiliwa na Tigo pesa tu.
Hahhaa kabsa huyu Aisha amekaa kimaslahi zaidi na pia hanifatilii fatilii sana na mi ndo napenda hivyo.Kwahiy Tigo pesa ikizingua tu....umeshaachwa
Gugo mkuuChudai ni wakina nani?
Ingekuwa hivyo Basi watu wasingekuwa wanalalamika kukosa wanawakeMuonekano mbaya upo machoni kwako sio kwa mwenzako