Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Wakora ni vibarango km mapunye hivi yanaotaga kwenye Mwili yakikupata mpaka yatoke unatumia Dawa nyingi sanaWakora maana yake nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakora ni vibarango km mapunye hivi yanaotaga kwenye Mwili yakikupata mpaka yatoke unatumia Dawa nyingi sanaWakora maana yake nini?
Zwabaki na mku zao tu, nyeto na hizo pocket pussy zaokoa sana.. kwanza tamu kinoma
Zinapatikana WAP na shngpwabaki na mku zao tu, nyeto na hizo pocket pussy zaokoa sana.. kwanza tamu kinoma
MhWakora ni vibarango km mapunye hivi yanaotaga kwenye Mwili yakikupata mpaka yatoke unatumia Dawa nyingi sana
SwadaktaSina haja ya salamu ila nataka tu kuwakumbusha ndugu zangu wa kiume ukiona unatumia nguvu kubwa ya kifedha kuendesha mahusiano jua tu huyo mwanamke hakupendi.
Mahusiano sio magumu wala sio ghali kiasi hicho iwapo utapata mtu sahihi.
Naishia hapa naomba kuwasilisha.
Haina mjadala hiyo mkuu ,nikuwasaka chudai chap tu😁
- Mkojo mzito wenye harufu kali na damu
- Maumivu au muwasho unapokwenda haja ndogo
- Haja ya kwenda haja ndogo kila mara
- Maumivu ya misuli na tumbo
Kwahiyo gf wako huwa humpatii hata 50 mbovu akiwa anahitaji msaada?Ni jukumu la baba kumpa pesa binti yake ambaye hajaolewa
Usijipe umuhimu kwenye majukumu yasiyokuhusu
Ukiwa simp you'll learn the hard way
Sio kuhonga, ukiona unatumia pesa mingi ili ipate ushawishi ujue tu hukubalikiSina haja ya salamu ila nataka tu kuwakumbusha ndugu zangu wa kiume ukiona unatumia nguvu kubwa ya kifedha kuendesha mahusiano jua tu huyo mwanamke hakupendi.
Mahusiano sio magumu wala sio ghali kiasi hicho iwapo utapata mtu sahihi.
Naishia hapa naomba kuwasilisha.
Simpagi hela, hela zangu hazipangiwi matumizi na mwanamke. Ni katika matukio 2 tu ndio pesa yangu naamua tutumie na GFKwahiyo gf wako huwa humpatii hata 50 mbovu akiwa anahitaji msaada?
Unavyojitanua humu utadhani kweli vile😂Simpagi hela, hela zangu hazipangiwi matumizi na mwanamke. Ni katika matukio 2 tu ndio pesa yangu naamua tutumie na GF
●Tunaspend hela tukiwa outing pamoja
●Na inapohusu mchakato mzima wa kula tunda
Baada ya hapo sitaki anitafute tena mimi siyo mume wake wa ndoa sio jukumu langu kumhudumia
Ulikua haujui? Sasa umejua ogopa kukutana wakora wanasumbua sana
Hupendwi/Haupendwi/HaupendeziSio kuhonga, ukiona unatumia pesa mingi ili ipate ushawishi ujue tuhukubaliki
Unakubalije kuhonga kizembe mkuu?Mara tuambiwe tutafute pesa..mara tuambiwe ukiona unahonga sana ujue hupendwi..tushike lipi sasa wazee
Unavyojitanua humu utadhani kweli vile😂
kuna Gono BRT huko mtaani , noma sanaHaina mjadala hiyo mkuu ,nikuwasaka chudai chap tu😁
Same path....Sure, i never met a woman who looks after my money… Them all showed me that i’m important than papers, Naweza kusema wote wananiigizia kutokujali ninazo au sina ila ukweli ni kwamba kwangu hawanioneshi. So brother kama unasema pisi huzioni ukiwa apeche hiyo ni wewe mzee.
Hii imekaa vizuri mkuu, aje mspend wote, mambo ya kulea mtoto wa watu ni kupoteza rasilimali zako bure. It's a give and take...View attachment 3045190
Sina utaratibu wa kumtumia mwanamke pesa hata alie vipi kuhusu shida zake
Aje tuspend naye mixer mjegeje ikiwezekana hapo sawa baada ya hapo achape mwendo
Mke wa ndoa tu ndiye atakayekula pesa yangu
Kamba hii.....Maisha haya hatufanani Kuna mtu kutoa million 2 kwake ni kama elfu 20 lakini kitu kingine mwanamke akishagundua unamaisha ya kueleweka uchumi mzuri huwa wanapunguza vizinga
Chudai ni wakina nani?Haina mjadala hiyo mkuu ,nikuwasaka chudai chap tu😁