Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yaishe bana naona kama wewe ni agent wa Lucifer.tunajichagulia.. hii dunia sio ya kuendeshwa na mapenzi mkuu.. vitendea kazi vipo.. ukinua mda wote unajipigia tuView attachment 3045026
Unamjua nin?au ulimpa mbin za,kul hel zangu😫😫😫Aisha Komwe😂
😅😅😅Hamna mkuu n vile tu siku hz tunauziwa bila kujua,ss c Bora kuliko kusumbuka na mtu km umemwelewe c akutangazie dau ulipie huduma upate utakacho km unamudu bei..Dah mbona kwa ukali kaka
min -me dawa hii hapa, UTI na Mizinga utaisikia kwa jiraniMnaatabika na mapenzi sana, wakati ukinunua hii mkataba.. no stress wala nini
View attachment 3045012
dronedrake
Hio buku inaudogo gani ?. 😃
Watu wanyetuke au sio
Watu wanyetuke au sio
Rudisha muamala
Ili iweje? 😹😹😹Rudisha muamala
Si umemtumia hela afu anakujibu jeuriIli iweje? 😹😹😹
Ukweli ndio Wanawake wakora hawafai kabisaSina haja ya salamu ila nataka tu kuwakumbusha ndugu zangu wa kiume ukiona unatumia nguvu kubwa ya kifedha kuendesha mahusiano jua tu huyo mwanamke hakupendi.
Mahusiano sio magumu wala sio ghali kiasi hicho iwapo utapata mtu sahihi.
Naishia hapa naomba kuwasilisha.
Mimi ndo nilimjibu akawatumia rafiki zake wakanifowadia 🤣🤣🤣Si umemtumia hela afu anakujibu jeuri
Sasa unatumiwa nauli unajibu jeuri, kwanini?Mimi ndo nilimjibu akawatumia rafiki zake wakanifowadia 🤣🤣🤣
Wakora maana yake nini?Ukweli ndio Wanawake wakora hawafai kabisa
Shika Namba 1 hilo la Pili ni exceptionalMara tuambiwe tutafute pesa..mara tuambiwe ukiona unahonga sana ujue hupendwi..tushike lipi sasa wazee