Ukiona unatumia pesa nyingi kuhonga ujue haupendwi

50/50 kwenye mahusiano ya kimapenzi hakuna. Lazima mmoja ajishushe na ajitoe kwelikweli. Na wanaopenda mara nyingi wanaishia kuumia.
 
Dah mbona kwa ukali kaka
😅😅😅Hamna mkuu n vile tu siku hz tunauziwa bila kujua,ss c Bora kuliko kusumbuka na mtu km umemwelewe c akutangazie dau ulipie huduma upate utakacho km unamudu bei..
 
Ukweli ndio Wanawake wakora hawafai kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…