Nilishawahi kusema mtu kama Nyerere, JPM, na hata hawa akina Bashiru dunia ya leo si sehemu salama kwao kuishi. Ni sawa ilivyo bahari huwa si sehemu ya kukaa uchafu na badala yake itautema tu. Sasa hawa wema pia dunia si sehemu salama kwao, naturally itakutema tu. Dunia ni sehemu ya maovu na waovu kustawi, ni mahala ambako mabaya yana nguvu sana na kulindwa na ndo maana wezi wa kuku wanaozea jera na wauza sembe wanatamba mitaani. Uharamia ni mkubwa na ukijifanya kuuzuia utaishia kupotea kwa corona ya kisasa.
Machoni hatupendi ubaya na maovu japo rohoni tunahusudu ktk maovu na waovu, wenye wema kwao mbinguni na duniani ni kwetu sie wazee wa mishemishe