mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Nashukuru KWA kutueleza wapinzan walinunuliwa,ubarikiwe SanaKiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Hilo la kuwapa wapinzani nafas kweny uongoz limetuuma sana uvccm, wakat nia tunayo, uwezo tunao, ari tunayo. Hivi wanatuchukuliaje sisi uvccm lkn?Kiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Vipi hapo kaburini ,ULINZI UNAENDELEAJE?MAREHEMU HAJAONESHA DALILI YA KUFUFUKA?Wabunge wa chadema waliamua kuondoka sababu walichoshwa natabia za kijinga za kupinga kilakitu.
Waliona dhamira ya kweli ya shujaawetu Hayati Magu wakaamua wenyewe kuunga juhudi mkono bila kushawishiwa na mtu yoyote.
Mkuu, matendo na styl ya uongozi wa Magu ni kichaatu ndio ataweza kupinga kila alichokuwa anafanya.
Tulihitaji rais aina ya Magu ili kurudisha nchi kwenye mstari.
Ujamaa ni utu!Kwa iyo wewe ujamaa ndo unaona sifa ya Mtu kusifiwa nayo kwenye karne hii ya 21?? Wapi ujamaa umefanikiwa kwenye karne hii ya 21?
Binadamu hakosi kasoro bwashee!Umeshasema ubovu wake halafu tena unamsifia ni kiongozi makini, upo kama wale wabunge wa CCM wanatoa mapungufu mengi mwishowe wanaunga mkono hoja.
Umeshasema ubovu wake halafu tena unamsifia ni kiongozi makini, upo kama wale wabunge wa CCM wanatoa mapungufu mengi mwishowe wanaunga mkono hoja.
Nashukuru KWA kutueleza wapinzan walinunuliwa,ubarikiwe Sana
Nilishawahi kusema mtu kama Nyerere, JPM, na hata hawa akina Bashiru dunia ya leo si sehemu salama kwao kuishi. Ni sawa ilivyo bahari huwa si sehemu ya kukaa uchafu na badala yake itautema tu. Sasa hawa wema pia dunia si sehemu salama kwao, naturally itakutema tu. Dunia ni sehemu ya maovu na waovu kustawi, ni mahala ambako mabaya yana nguvu sana na kulindwa na ndo maana wezi wa kuku wanaozea jera na wauza sembe wanatamba mitaani. Uharamia ni mkubwa na ukijifanya kuuzuia utaishia kupotea kwa corona ya kisasa.Kinana na Nape walifanya kazi kubwa chama kiliheshimika na siyo huyu mpuuzi anayefanya biashara ya utumwa.
Hao wema wako wamelifanya nini cha ajabu? kupoteza watu na kufunga watu ndiyo wema?Nilishawahi kusema mtu kama Nyerere, JPM, na hata hawa akina Bashiru dunia ya leo si sehemu salama kwao kuishi. Ni sawa ilivyo bahari huwa si sehemu ya kukaa uchafu na badala yake itautema tu. Sasa hawa wema pia dunia si sehemu salama kwao, naturally itakutema tu. Dunia ni sehemu ya maovu na waovu kustawi, ni mahala ambako mabaya yana nguvu sana na kulindwa na ndo maana wezi wa kuku wanaozea jera na wauza sembe wanatamba mitaani. Uharamia ni mkubwa na ukijifanya kuuzuia utaishia kupotea kwa corona ya kisasa.
Machoni hatupendi ubaya na maovu japo rohoni tunahusudu ktk maovu na waovu, wenye wema kwao mbinguni na duniani ni kwetu sie wazee wa mishemishe
Bwashee una ushahidi!Hao wema wako wamelifanya nini cha ajabu? kupoteza watu na kufunga watu ndiyo wema?
Wewe huoni? wewe ushahidi wa kununua wapinzani unao?Bwashee una ushahidi!
Ujamaa ni laanaKiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Wewe hata nyumbu wenzako wanakushangaa.Vipi hapo kaburini ,ULINZI UNAENDELEAJE?MAREHEMU HAJAONESHA DALILI YA KUFUFUKA?
Labda anazungumzia wale wasomali kweny viroba ufukweni mkuu 🤣🤣Bwashee una ushahidi!
CCM hawamtaki kisa eti hakuwa mwanachama kindakindani na hajakulia huko, na alikuwa CUF. Ila jamaa ukimsikiliza anaonekana ni Mzalendo Sana, sema ndo hivo majizi ya CCM hayamtakiKiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Hawakuwa Wasomali.Labda anazungumzia wale wasomali kweny viroba ufukweni mkuu 🤣🤣
Yaana ccm iww na Mali au vitega uchumi alafu isijue Kama Ina Mali.?Kiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Kam ni mrubuni basi hafai kuwa kiongozi wa nchi kwa ngazi yoyote.Kiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Hawakuwa Wasomali.