Kurubuniwa siyo kununuliwa manka.Wewe huoni? wewe ushahidi wa kununua wapinzani unao?
Mkuu you are beating a dead horse!Kiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
eeeehhTz tumepoteza dira, hatuendi tulikotamani na tunaongozwa na wasioona faida ktk kujitegemea kwetu kama nchi huru. Wanadhani kuwategemea weupe na kuwatetemekea ndo kutatupa maendeleo na kujitegemea.
Mwl. Nyerere aliandika ktk development&freedom akimaanisha hivi vitu haviachani. Hauwezi ukajiita umeendelea na wakati huna Uhuru wa ndani ya nchi yenu.
Leo wenye mawazo ya kujitegemea wanauwawa na imekuja siasa kali ya kuwaondoa ili kutawaliwa kurudi mezani. Wanawaaminisha eti wanaweza kuwasaidia kuendelea na kusahau kuwa Uhuru kamwe hawatakaa wawape
Kwa sasa ni rahisi mgonjwa wa ukimwi akaishi +50 na akafikisha 100 kuliko kiongozi anayesimamia nchi yake na kujitegemea kuishi japo kwa miaka 10.
Nilishawahi kusema mtu kama Nyerere, JPM, na hata hawa akina Bashiru dunia ya leo si sehemu salama kwao kuishi. Ni sawa ilivyo bahari huwa si sehemu ya kukaa uchafu na badala yake itautema tu. Sasa hawa wema pia dunia si sehemu salama kwao, naturally itakutema tu. Dunia ni sehemu ya maovu na waovu kustawi, ni mahala ambako mabaya yana nguvu sana na kulindwa na ndo maana wezi wa kuku wanaozea jera na wauza sembe wanatamba mitaani. Uharamia ni mkubwa na ukijifanya kuuzuia utaishia kupotea kwa corona ya kisasa.
Machoni hatupendi ubaya na maovu japo rohoni tunahusudu ktk maovu na waovu, wenye wema kwao mbinguni na duniani ni kwetu sie wazee wa mishemishe
Huyo Mrundi Bashiru ndiye alikuwa anaandaliwa na Mwendazake kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2025. Yaani kweli hicho kiazi ndiyo cha kuwa Rais wa Tanzania? Alipoona yeye amepata kuwa Rais kwa sababu ya misuguanao ya JK na Lowassa mwaka 2015, akaona ngoja atuletee Mrundi mwingine.Kiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Naona vibarua wote pale CCM mmeshalipwa posho zenu ndiyo maana unawaza pombe mda wote,Hivi mama Merinyo pale mwenge kisiwani bado yupo kuna jamaa anahitaji mbege dumu 4 za lita 5!
Hahahaaaa...... Dodoma fuso 8 zimeingia na mapipa ya mbege original!Naona vibarua wote pale CCM mmeshalipwa posho zenu ndiyo maana unawaza pombe mda wote,
Nafurahi kuona vibarua wote mmelipwa posho ya March hakuna deni tena, ngoja mzigo ukate na uchelewe kulipwa tena posho ya April hatutaacha kuona rangi yako.Hahahaaaa...... Dodoma fuso 8 zimeingia na mapipa ya mbege original!
Akishakuwa Katibu mkuu familia yako itanufaikaje?nampigia upatu mhe Nape atafaa sana kwa sasa kuwa katibu mkuu wa CCM na ana nguvu ya ushawishi
Hahahaaaa...... Kesho CCM inazaliwa upya wabunge 20 wa Chadema kuhudhuria mkutano mkuu!Nafurahi kuona vibarua wote mmelipwa posho ya March hakuna deni tena, ngoja mzigo ukate na uchelewe kulipwa tena posho ya April hatutaacha kuona rangi yako.
kwani wewe chama cha familia hukijui kilianza na Mtei na sasa Mbowe aliyerithi kutoka kwa baba mkwe wake?Akishakuwa Katibu mkuu familia yako itanufaikaje?
CHADEMA wametoa wapi wabunge? si mlishinda kwa kishindoHahahaaaa...... Kesho CCM inazaliwa upya wabunge 20 wa Chadema kuhudhuria mkutano mkuu!
Ndiyo maana wachaga wana maendeleo, CCM majina ya akina Mwinyi, Kikwete n.k yameisha humo?kwani wewe chama cha familia hukijui kilianza na Mtei na sasa Mbowe aliyerithi kutoka kwa baba mkwe wake?
CCM sio chama cha familia, ukanda wala ukabila
Asante kumpigia kampeni za uteuzi kurudishwa chamani ukatibu mkuu sawa nitafikiriaKiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Yani ccm ya hapa kazi tu imejaa wagonjwa wa akili kma mwendazake,kaokota watu vijiweni kawapa vyeo ccmHafai hasa kwa nafasi ya KM sababu he is too robot, hajui chama na hajui kinafanyaje kazi from the grassroot, Yeye na mwendazake wamepitisha vijipolicy vya ajabu vimepelekea maumivu na ufukara hata kwa watumishi wa chama, Mfano ni makusanyo kuhamia acc moja ya makao makuu. Huyo polepole ndio hamna kitu anajisifia viongozi wa wilaya na mikoa kuwa na toyota hardtop hajui hata mafuta wanapata vipi, bure kabisa waondolewe wote wapewe wana CCM chama chao.
Fungu la kununua mavxPesa kutoka fungu gani bwashee!