Mnafiq mkubwa huyu hafai kabisa!Kiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Binafsi namkubali Bashiru sana, nafatilia mikutano huko Dodoma simuoni kwakweli..!! Hali hii inanitisha sana kias nawaza pale CCM akitoka Bashiru akatoka Mangula si ndiyo basi tena?CCM hawamtaki kisa eti hakuwa mwanachama kindakindani na hajakulia huko, na alikuwa CUF. Ila jamaa ukimsikiliza anaonekana ni Mzalendo Sana, sema ndo hivo majizi ya CCM hayamtaki
Hana Umakini wowote angekuwa Makini asingefanya biashara ya Kijinga ya kununua Wabunge wa upinzaniKiukweli chini ya uongozi wa katibu mkuu Dkt. Bashiru, CCM imepata mafanikio makubwa sana tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Sasa mali za chama zinajulikana bayana na miradi yote ya CCM inajulikana tofauti kabisa na ilivyokuwa kwa watangulizi wake kuanzia Dkt. Gama hadi kanali Kinana.
Tatizo moja la uongozi wa Bashiru ni ule utaratibu wa kuwarubuni wapinzani na kuja kuwapa vyeo serikalini wakati UVCCM kuna hazina ya kutosha ya wasomi.
Itoshe tu kusema Dr Bashiru bado anafaa kuongoza CCM labda kama vyombo vimemmulika pahala.
Kazi Iendelee!
Hivi haya maneno yapo kwenye kamusi ya matusi? : MurundiHuyo Mrundi Bashiru ndiye alikuwa anaandaliwa na Mwendazake kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2025. Yaani kweli hicho kiazi ndiyo cha kuwa Rais wa Tanzania? Alipoona yeye amepata kuwa Rais kwa sababu ya misuguanao ya JK na Lowassa mwaka 2015, akaona ngoja atuletee Mrundi mwingine.
Ila Mungu anajuwa kuchukua hatua. Kwanza kapeleka Jehanam roho ya Mwendazake, huyu naye Bashiru anasubiria ripoti yake ya uchotaji fedha za BOT akiwa mbunge wa viti maalum
Sasa unalaumu aliye nunua? Je! Mpinzani aliye nunuliwa?Hana Umakini wowote angekuwa Makini asingefanya biashara ya Kijinga ya kununua Wabunge wa upinzani
Utu upi? Umefanikiwa wapi?Ujamaa ni utu!