Ukiondoa ushabiki, basi shambulio la Israel la simu za mkononi nchini Lebanon ni shambulio lililofeli na la aibu sana

Ukiondoa ushabiki, basi shambulio la Israel la simu za mkononi nchini Lebanon ni shambulio lililofeli na la aibu sana

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine.
Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio yake basi haraka huamua kujisifu ili kuongeza kitisho kama ilivofanya siku alipokufa Ismail Haniye na Alshukr.Lakini kwa hili shambulio la Lebanon japo limeonekana ni shambulio kubwa sana na la kisayansi lakini wenyewe wameamua kukaa kimya kutokana na aibu iliyowapata
Mashirika kadhaa ya kimataifa yametoa lawama wazi wazi wakilaumu shambulio hilo na wengine kusema ni sahambulio la kigaidi kwani limeuwa na kuumiza watu kadhaa wasiohusika.
Aibu zaidi ya shambulio hilo na kuonesha kufeli kinyume na kutaka kuonesha mafanikio makubwa ni kwamba watu waliokufa pamoja na wanachama wa Hizbullah hawajafika 100 na kwamba Hizbullah bado imeonekana kuwa na uwezo wa kurusha makombora mazito ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa ikiwemo kukata umeme baadhi ya maeneo hasa ya kaskazini.
Kwa ujumla ujumbe unaoweza kupatikana kupitia shambulio hilo ni kuwa Israel imeanza kuchoka na kukata tamaa kupambana na maadui zake kwa njia za kawaida achilia mbali kuheshimu matamko ya kimataifa kuhusu vita.
Wako wanaojiuliza jee Israel imeishiwa na mbinu na silaha za kawaida kuendeleza vita na watu ambao imekuwa ikiwakandamiza kwa miaka mingi ?.
Aibu ninayoizungumzia hata UN wameiona

UN warns of escalating violence in the Middle East as ‘communications tools become weapons’

 
Una maanisha waliouwawa ni wachache hawazidi watu 100, alafu waliokufa pia sio hezbullah na kikubwa zaidi ni kuwa Israel imefeli na hao wavaa kobazi wanazidi kuipiga Israel na kuharibu miundombinu. Hizi ni story za msikitini mkiwa mmeshiba kitimoto na ndizi mnazokula kwa kijificha. Ninachojua Gaza imechakazwa vibaya mno imekuwa kifusi na mbinu ilizotumia Israel kupiga Gaza ndani ya majengo soon itaanza kufundishwa kwenye majeshi mbalimbali ulimwenguni. Hiyo herzibullah kamanda wao aliyekuwa anatafutwa tangu 1983 ameuliwa na wayahudi akiwa kwenye maficho. Kingine Israel inaweza kumuua hayatollah muda wowote ikiamua.
 
Una maanisha waliouwawa ni wachache hawazidi watu 100, alafu waliokufa pia sio hezbullah na kikubwa zaidi ni kuwa Israel imefeli na hao wavaa kobazi wanazidi kuipiga Israel na kuharibu miundombinu. Hizi ni story za msikitini mkiwa mmeshiba kitimoto na ndizi mnazokula kwa kijificha. Ninachojua Gaza imechakazwa vibaya mno imekuwa kifusi na mbinu ilizotumia Israel kupiga Gaza ndani ya majengo soon itaanza kufundishwa kwenye majeshi mbalimbali ulimwenguni. Hiyo herzibullah kamanda wao aliyekuwa anatafutwa tangu 1983 ameuliwa na wayahudi akiwa kwenye maficho. Kingine Israel inaweza kumuua hayatollah muda wowote ikiamua.
Mbona kampeni za kuua mmoja mmoja hazijafanya kazi miaka yote hiyo.
Aliyeuliwa ni babu na keshafundisha wajukuu kwa maelfu.Na halafu uhakika wa yeye ndiye aliyehusika 1983 haupo.
Walishindwa nini kumkamata na kumpeleka mahakamani.Au wameamua tu waseme ili wasikike.
 
Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine.
Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio yake basi haraka huamua kujisifu ili kuongeza kitisho kama ilivofanya siku alipokufa Ismail Haniye na Alshukr.Lakini kwa hili shambulio la Lebanon japo limeonekana ni shambulio kubwa sana na la kisayansi lakini wenyewe wameamua kukaa kimya kutokana na aibu iliyowapata
Mashirika kadhaa ya kimataifa yametoa lawama wazi wazi wakilaumu shambulio hilo na wengine kusema ni sahambulio la kigaidi kwani limeuwa na kuumiza watu kadhaa wasiohusika.
Aibu zaidi ya shambulio hilo na kuonesha kufeli kinyume na kutaka kuonesha mafanikio makubwa ni kwamba watu waliokufa pamoja na wanachama wa Hizbullah hawajafika 100 na kwamba Hizbullah bado imeonekana kuwa na uwezo wa kurusha makombora mazito ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa ikiwemo kukata umeme baadhi ya maeneo hasa ya kaskazini.
Kwa ujumla ujumbe unaoweza kupatikana kupitia shambulio hilo ni kuwa Israel imeanza kuchoka na kukata tamaa kupambana na maadui zake kwa njia za kawaida achilia mbali kuheshimu matamko ya kimataifa kuhusu vita.
Wako wanaojiuliza jee Israel imeishiwa na mbinu na silaha za kawaida kuendeleza vita na watu ambao imekuwa ikiwakandamiza kwa miaka mingi ?.
Aibu ninayoizungumzia hata UN wameiona

UN warns of escalating violence in the Middle East as ‘communications tools become weapons’

Ili hoja yako ikae vizuri ulipaswa kutulezea, je Israel alitaka watu wengi wafe kwa hio milipuko au alitaka kuharibu mfumo wa mawasiliano wa Hezbollah? je milipuko hio ililenga kuwafanya Hezbollah washindwe kurusha hayo makombora? na inakuwaje karibu dunia nzima wanaona mbinu hii ni mpya na hatari sana kutokana na ufundi wa hali ya juu uliotumika kuratibu zoezi hili?
 
Shambulio lililenga kuwapanikisha, na Sijui kwann Israel wamelifanya hivi Sasa.

Maana lilitayarishwa Kwa ajili ya Vita kamili ,.mpoteane ili Kichapo kitembee vizuri.

Ila palipo na Jambo Kuna sababu.

Israel ana jambo lake taaamu lojolojooooo linalowasubiria!! 🤣🤣🤣🤣


Ukishindwa waheshim Waisrael kupitia Opereshen Entebe, basi kumbuka tu Six days war , kumbuka namna walivyorudi Israel , angalia wanavyoua wabaya wao siku Hadi siku.

Duniani hapa, hata hao US hawasomi Kwa Israel.
 
Ili hoja yako ikae vizuri ulipaswa kutulezea, je Israel alitaka watu wengi wafe kwa hio milipuko au alitaka kuharibu mfumo wa mawasiliano wa Hezbollah? je milipuko hio ililenga kuwafanya Hezbollah washindwe kurusha hayo makombora? na inakuwaje karibu dunia nzima wanaona mbinu hii ni mpya na hatari sana kutokana na ufundi wa hali ya juu uliotumika kuratibu zoezi hili?
Walitaka hizbullah wote waliokuwa wanazitumia wafe lakini hawakufa wote isipokuwa wachache sana na wakafa na wasiohusika ikiwemo watoto
Walitaka Hizbullah washindwe kurusha makombora wanayoyaogopa na jioni yake wakaendelea kuyavurumisha.
 
Walitaka hizbullah wote waliokuwa wanazitumia wafe lakini hawakufa wote isipokuwa wachache sana na wakafa na wasiohusika ikiwemo watoto
Walitaka Hizbullah washindwe kurusha makombora wanayoyaogopa na jioni yake wakaendelea kuyavurumisha.
Tuwekee ushahidi wa hili kwa sababu ni kama unajibu kwa hisia kuliko facts.
 
Walitaka hizbullah wote waliokuwa wanazitumia wafe lakini hawakufa wote isipokuwa wachache sana na wakafa na wasiohusika ikiwemo watoto
Walitaka Hizbullah washindwe kurusha makombora wanayoyaogopa na jioni yake wakaendelea kuyavurumisha.
Haya unasema wewe, kwa hizo pagers na walkie talkies zilikuwa zinatumiwa na makamanda wa Hezbollah kuwasiliana.

Wao wakiona njia hiyo ni salama kuepuka mawasiliano yao kudukuliwa na kuingiliwa na shirika la ujasusi wa la Mossad.

Mossad alitengeneza kampuni hewa ambazo zilitengeneza hivyo vifaa vya mawasialiano. Na walihakikisha vinawafikia makamanda wa Hezbollah na sio raia wa kawaida. Order zilizolipuka ni za miezi mitano iliyopita na hizo kampuni zilizotengeneza hazipi tena. Hakuna trace.

Hapo bado kuna mashaka pia ya simu na laptop walizonazo hao Hezbollah. Kwa hiyo wamewashambulia na kushambulia njia za mawasiliano huku wakishambulia mfulululizo kwa ndege.

Wakiwasiliana kwa simu hapo ndio rahisi na itawa allocate zaidi, sijui watatumia njia gani wakati tayari mashambulizi yanaendelea.
 
Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine.
Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio yake basi haraka huamua kujisifu ili kuongeza kitisho kama ilivofanya siku alipokufa Ismail Haniye na Alshukr.Lakini kwa hili shambulio la Lebanon japo limeonekana ni shambulio kubwa sana na la kisayansi lakini wenyewe wameamua kukaa kimya kutokana na aibu iliyowapata
Mashirika kadhaa ya kimataifa yametoa lawama wazi wazi wakilaumu shambulio hilo na wengine kusema ni sahambulio la kigaidi kwani limeuwa na kuumiza watu kadhaa wasiohusika.
Aibu zaidi ya shambulio hilo na kuonesha kufeli kinyume na kutaka kuonesha mafanikio makubwa ni kwamba watu waliokufa pamoja na wanachama wa Hizbullah hawajafika 100 na kwamba Hizbullah bado imeonekana kuwa na uwezo wa kurusha makombora mazito ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa ikiwemo kukata umeme baadhi ya maeneo hasa ya kaskazini.
Kwa ujumla ujumbe unaoweza kupatikana kupitia shambulio hilo ni kuwa Israel imeanza kuchoka na kukata tamaa kupambana na maadui zake kwa njia za kawaida achilia mbali kuheshimu matamko ya kimataifa kuhusu vita.
Wako wanaojiuliza jee Israel imeishiwa na mbinu na silaha za kawaida kuendeleza vita na watu ambao imekuwa ikiwakandamiza kwa miaka mingi ?.
Aibu ninayoizungumzia hata UN wameiona

UN warns of escalating violence in the Middle East as ‘communications tools become weapons’


View: https://youtu.be/PWlIlrISX_M
 
Haya unasema wewe, kwa hizo pagers na walkie talkies zilikuwa zinatumiwa na makamanda wa Hezbollah kuwasiliana.

Wao wakiona njia hiyo ni salama kuepuka mawasiliano yao kudukuliwa na kuingiliwa na shirika la ujasusi wa la Mossad.

Mossad alitengeneza kampuni hewa ambazo zilitengeneza hivyo vifaa vya mawasialiano. Na walihakikisha vinawafikia makamanda wa Hezbollah na sio raia wa kawaida. Order zilizolipuka ni za miezi mitano iliyopita na hizo kampuni zilizotengeneza hazipi tena. Hakuna trace.

Hapo bado kuna mashaka pia ya simu na laptop walizonazo hao Hezbollah. Kwa hiyo wamewashambulia na kushambulia njia za mawasiliano huku wakishambulia mfulululizo kwa ndege?

Wakiwasiliana kwa simu hapo ndio rahisi na itawa allocate zaidi, sijui watatumia njia gani wakati tayari mashambulizi yanaendelea.
Naamini israel imeshaona kwamba imetumia nguvu kubwa kwa mafanikio madogo.Utaalamu wa kufungua na kusoma mifumo ya kielektronic wanao sana Hizbullah na mshirika wao Iran na ikibida wanaweza kuvuka mipaka mpaka Urusi na Korea kaskazini.Tangu shambulio hili lifanyike uidhani wamelala tu.
 
Hii nayo ni aina ya Uchawi. Waisrael wakishambuliwa watu wanashangilia na kufurahia. Waisrael wakijibu wanaonekana wamefanya mashambulizi ya aibu na wakorofi wameua watoto na wanawake.

Juzi Houthi wamerusha kombora lilioharibu miundombinu na kujeruhi wayahudi kila mtu alishangilia na kuwasifia houthi wala UN hawakuonya.

Vita itaisha siku watu wachawi na wanafiki kama wewe na UN wakiacha unafiki. Tofauti na hapo hakuna amani itakayopatikana huko mashariki ya kati na raia wasiyo na hatia wataendelea kutaabika.
Watu wa mashariki ya kati hasa wapalestina hakuna taabu ambayo hawajaipitia,Hofu iko kwa mayahudi ambao wanaanza kuonja ladha ya ukimbizi kwa kuwa wakimbizi wa ndani mbali na maelfu wanaokimbilia nje.
Malalamiko ya kuwa wakimbizi na ombaomba kutoka kwa raia zake ndizo zinazoifanya Israel ianze kufanya mashambulizi ya kukata tamaa na ukichaa,
 
Watu wa mashariki ya kati hasa wapalestina hakuna taabu ambayo hawajaipitia,Hofu iko kwa mayahudi ambao wanaanza kuonja ladha ya ukimbizi kwa kuwa wakimbizi wa ndani mbali na maelfu wanaokimbilia nje.
Malalamiko ya kuwa wakimbizi na ombaomba kutoka kwa raia zake ndizo zinazoifanya Israel ianze kufanya mashambulizi ya kukata tamaa na ukichaa,
Hakuna mtu anaezoea mateso, unaongea hivyo kwa sababu wewe unaangalia kwenye TV tu. Kama mateso yanazoeleka fanya mpango ubadirishane na raia mmoja wewe uende gaza yeye aje Tanzania.

Wayahudi wanajari uhai ndo maaana walipoana hezbollah wameanza kurusha maroketi wakawahamisha raia na kuwaweka kwenye hotel ambapo wanalala na kula bure sema raia wanamiss makazi yao ndo maana wanalalamika.

Kwa taarifa yako hakuna wayahudi wanaokimbia nchi bali wayahudi wengi wamerudi nchini kwao (Israel) tangu vita ianze kuliko kipindi chochote kile hivi karibuni. Uzuri unafahamika kwa uongo na propaganda.

Huwa nakushauri nikipata nafasi waacheni watu wa gaza waishi kwa amani kama mnataka kupambania dini andaeni jeshi ambalo litawavamia wayahudi kutoka nchi nyingine na siyo kutumia raia wa gaza.
 
Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine.
Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio yake basi haraka huamua kujisifu ili kuongeza kitisho kama ilivofanya siku alipokufa Ismail Haniye na Alshukr.Lakini kwa hili shambulio la Lebanon japo limeonekana ni shambulio kubwa sana na la kisayansi lakini wenyewe wameamua kukaa kimya kutokana na aibu iliyowapata
Mashirika kadhaa ya kimataifa yametoa lawama wazi wazi wakilaumu shambulio hilo na wengine kusema ni sahambulio la kigaidi kwani limeuwa na kuumiza watu kadhaa wasiohusika.
Aibu zaidi ya shambulio hilo na kuonesha kufeli kinyume na kutaka kuonesha mafanikio makubwa ni kwamba watu waliokufa pamoja na wanachama wa Hizbullah hawajafika 100 na kwamba Hizbullah bado imeonekana kuwa na uwezo wa kurusha makombora mazito ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa ikiwemo kukata umeme baadhi ya maeneo hasa ya kaskazini.
Kwa ujumla ujumbe unaoweza kupatikana kupitia shambulio hilo ni kuwa Israel imeanza kuchoka na kukata tamaa kupambana na maadui zake kwa njia za kawaida achilia mbali kuheshimu matamko ya kimataifa kuhusu vita.
Wako wanaojiuliza jee Israel imeishiwa na mbinu na silaha za kawaida kuendeleza vita na watu ambao imekuwa ikiwakandamiza kwa miaka mingi ?.
Aibu ninayoizungumzia hata UN wameiona

UN warns of escalating violence in the Middle East as ‘communications tools become weapons’

Screenshot_20240921-180817~2.png
 
Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine.
Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio yake basi haraka huamua kujisifu ili kuongeza kitisho kama ilivofanya siku alipokufa Ismail Haniye na Alshukr.Lakini kwa hili shambulio la Lebanon japo limeonekana ni shambulio kubwa sana na la kisayansi lakini wenyewe wameamua kukaa kimya kutokana na aibu iliyowapata
Mashirika kadhaa ya kimataifa yametoa lawama wazi wazi wakilaumu shambulio hilo na wengine kusema ni sahambulio la kigaidi kwani limeuwa na kuumiza watu kadhaa wasiohusika.
Aibu zaidi ya shambulio hilo na kuonesha kufeli kinyume na kutaka kuonesha mafanikio makubwa ni kwamba watu waliokufa pamoja na wanachama wa Hizbullah hawajafika 100 na kwamba Hizbullah bado imeonekana kuwa na uwezo wa kurusha makombora mazito ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa ikiwemo kukata umeme baadhi ya maeneo hasa ya kaskazini.
Kwa ujumla ujumbe unaoweza kupatikana kupitia shambulio hilo ni kuwa Israel imeanza kuchoka na kukata tamaa kupambana na maadui zake kwa njia za kawaida achilia mbali kuheshimu matamko ya kimataifa kuhusu vita.
Wako wanaojiuliza jee Israel imeishiwa na mbinu na silaha za kawaida kuendeleza vita na watu ambao imekuwa ikiwakandamiza kwa miaka mingi ?.
Aibu ninayoizungumzia hata UN wameiona

UN warns of escalating violence in the Middle East as ‘communications tools become weapons’

Kwahiyo TAIFA LA ISRAEL UNALIFANANISHA NA TAIFA LIPI KWA TECHNOLOJIA HAPA DUNIAN acha ujinga
 
Back
Top Bottom