Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.Mimi kwa vyovyote vile sipendi sheria ya goli la ugenini.Hii sheria niyakiduanzi.
Chache hizo walau 5 na kuendeleaMchezaji anapojiangusha kupoteza muda refa asimruhusu kurudi uwanjani mpaka baada ya dk mbili
Ishaondolewa tayari[emoji4]Mimi kwa vyovyote vile sipendi sheria ya goli la ugenini.Hii sheria niyakiduanzi.
Mimi ningeomba waongeze kila anaekuwa bingwa wa ligi kwenye nchi yake. Atanzia round ya pili kwenye ligi ya mabingwa CAF champions league.Habari wanamichezo,
Ikatokewa umepewa nafasi ya kuongeza Sheria moja mpya kwenye mpira wa miguu ungeongeza ipi?