Ukipigwa marufuku kula nyama kwa miaka miwili halafu ukaamua kuinyonya, kulamba na kunywa mchuzi wake utakuwa hauna kosa?

Hii nidharau kwa kamati ya maadili ya TFF. Yanga ndio wanapaswa kuadhibiwa kwa kuendelea kumpa huyu mwendawazimu jukwaa la kuidharau TFF. Kutojihusisha na maswala ya soka maanake akae mbali na soka au mpira wa miguu. Sasa hapo ni kitu gani Manara na Yanga hawaelewi?
 
utopolo ni Mali ya GSM wamejipenyeza mpaka wamekuwa Marais wa timu.
Msemaji wao ndo huyo mpungufu wa AKILI.
TFF mkimuacha manara na utopolo nyie mtakuwa maboga
 
Kwahiyo hapo yanga wanastahili adhabu na manara anastahili adhabu nyingine
 
utopolo ni Mali ya GSM wamejipenyeza mpaka wamekuwa Marais wa timu.
Msemaji wao ndo huyo mpungufu wa AKILI.
TFF mkimuacha manara na utopolo nyie mtakuwa maboga
Wao tiiefuefu ndio maboga Wana mwonea wivu Nara boy Kwa kuwa ameihama Kambi yao🏃
 
Utamgusa kwa lipi? Utamvua uenyekiti wa kitu gani? Utamfukiza uanachama wa chama gani? Kwa Jurisdiction ipi ta TFF? Mtamvua uraia? Mtapeleka gerezani, kwa sheria ipi?
 
Yeye alieleza kuwa yuko pale kama MC hivyo analipwa, je, ni kweli Haji hufanya kazi za MC kama alivyosema? Na huko Tabata ni kweli amekwenda kama MC na yuko? Kama hujishughulisha na umc siku zote haina shida ila kama hajihusishi atawajibishwa.
 
Utamgusa kwa lipi? Utamvua uenyekiti wa kitu gani? Utamfukiza uanachama wa chama gani? Kwa Jurisdiction ipi ta TFF? Mtamvua uraia? Mtapeleka gerezani, kwa sheria ipi?
Timu iliyo muita inapigwa faini na kupewa onyo Kali, ikiwezekana asilimia ya mapato wanayafyeka
 
Unao uhakika wa ukisemacho?
 
Huyu jamaa ana psychological disorder ya hali ya juu sana, bad enough inasikitisha uongozi wa Yanga unalea hii takataka. Nimeishi Yanga miaka mingi sana hiki kituko sijawai ona.
Hajapata pesa ya kwenda Simba day😁
 
🤣🤣🤣🤣🤣kichwa kinachekesha kweli
 
Mnataka aishi vipi?

Mmemfungia kwenye soka, hamtaki hata afanye kazi zingine?

Kaenda pale kama MC,thats all.
Akili hizi bwana, kweli kila mtu ana zake.
Halafu Sasa naamini kwa asilimia 200 kuwa kweli Utopoloni hakuna mwenye akili isipokuwa wale aliowataja mwenye Haji. Mwandiko wako unadhijirisha weupe. Yaani pamoja na viongozi wote huko hakuna aliyeliona hili kosa!!? Senzo ana haki ya kupumzika na aibu ya watu wasiolewa.
Hapa mkiadhibiwa museme mnaonewa!

Yaani Haji kaenda kwa machongo naye amevunja lake. 😀😀🤔🤔
 
Ila Eng Hersi mjanja sana. Hii mbinu ni Babu kubwa. Amemsakizia Haji ili akutane na ban ya maisha kama njia ya kummwe-evacuate Haji bila kujitambua. Amempiga sindano ya ganzi aondoke bila maumivu, naye amejaa tayari. Akili kubwa kwa akili ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…