Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Wana Yanga wamelala mapema leo! Ahahahahaha!!!Haya kesho twendeni tukapige kura then twende lupaso tukashangilie simba!
Aisee! Safari hii mwamko ni mdogo sana, ni kama wananchi hawajui kinachoendelea.Wananchi wenyewe hawana muda na uchaguzi.
Mwanzoni nilikuwa napata shida kuelewa nyuzi zako ila Pascal shikamoo.. hahaha!Wanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, lakini kwa vile chama kwa maana ya chama ni tuna chama kimoja tuu, then kesho, twendeni kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
Wanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, lakini kwa vile chama kwa maana ya chama ni tuna chama kimoja tuu, then kesho, twendeni kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
Wameyataka wenyewe!Wana Yanga wamelala mapema leo! Ahahahahaha!!!
Au labda hizo jumbe wanatumiwa wanachama tu wa CCMHizo namba zenu wanapata wapi?
Hata wanachama wa CCM kunatakiwa kuwe na process ya kukusanya namba na wanachama kukubali, si kila mwanachama wa CCM anataka kupata jumbe hizi.Au labda hizo jumbe wanatumiwa wanachama tu wa CCM
Siku hizi wanachama wa CCM wanaandikishwa kielektroniki na kupewa kadi maalumu zile kama za bank katika mchakato huo wa usajili huwa wanaandika namba zao.Hata wanachama wa CCM kunatakiwa kuwe na process ya kukusanya namba na wanachama kukubali, si kila mwanachama wa CCM anataka kupata jumbe hizi.
Sasa swali bado lipo palepale, rais anapata wapi hizi namba?
Anazipataje?
Kinachoendelea sasa JF ni husda na majungu zidi ya raisi wetu mpendwa. Yakiongozwa na genge la wahuni moderators wa JF.
No CCM hakitegemei dola kusalia madarakani kwasababu CCM ni dola!.Chama kimoja cha maana kinachotegemea hila kubaki madarakani!
Sawa.Siku hizi wanachama wa CCM wanaandikishwa kielektroniki na kupewa kadi maalumu zile kama za bank katika mchakato huo wa usajili huwa wanaandika namba zao.
Namba ni kwa ajili ya mawasiliano. Ukiacha namba yako ni dhahiri umekubali mawasiliano ya aina yoyote ile either kwa texts au calls. Namba yako ni namna ya wao kukufikia wewe.Sawa.
Kuandika namba maana yake si kukubali kutumiwa jumbe, unless kwenye kujiandikisha kielektroniki kuna sehemu unakubali kutumiwa jumbe.
Yani ni hivi, ukienda hospitali pia inawezekana ukawa unaandika namba, lakini unavyoandika namba pale haina maana kila kukiwa na kampeni ya hospitali wakutumie ujumbe, unless unavyoandika namba kuna sehemu unakubali specifically utumiwe ujumbe.
Huwa wanakubali kutumiwa jumbe hivyo?
EEEeeenHEEeeeeeh!Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia. Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake. Hana uwezo hata chembe. That says a lot ueledi wa civil services, It’s a shitty county (ndio uhalisia).www.jamiiforums.com
Cc: Kalamu
Kabisa, ngoja waone jinsi kesho kutakuwa na wapiga kura wachache. Tumechoka kujaza vituo kisha ccm wapore uchaguzi kujifanya wanakubalika.Wananchi wenyewe hawana muda na uchaguzi.
Rais yuko juu ya sheria.Sawa.
Kuandika namba maana yake si kukubali kutumiwa jumbe, unless kwenye kujiandikisha kielektroniki kuna sehemu unakubali kutumiwa jumbe.
Yani ni hivi, ukienda hospitali pia inawezekana ukawa unaandika namba, lakini unavyoandika namba pale haina maana kila kukiwa na kampeni ya hospitali wakutumie ujumbe, unless unavyoandika namba kuna sehemu unakubali specifically utumiwe ujumbe.
Huwa wanakubali kutumiwa jumbe hivyo?