Hakuna lolote.. Angalia context ya kinachoongelewa hapa mimi na wewe pia wewe una uhakika upi kuwa kipindi wanafanya huo usajili hawakukubaliana haya ya kutumiana jumbe za kampeni hivyo sasa ni wakati wa utekelezaji wa makubaliano hayo?Kutoa namba si consent ya kutumiwa text messages za campaign. Text message za campaign zinahitaji consent iliyo explicit and unambiguous.
Sheria inataka si tu consent, bali pia mtu akitaka kujiondoa kwenye list ajiondoe muda wowote.
Sasa hizi text zina njia ya kujiondoa?
Soma sheria hapa.
In Tanzania, the "Personal Data Protection Act" (PDPA) governs information consent, requiring individuals to give clear and informed consent before their personal data can be processed, meaning that any collection or use of personal information must be done with the data subject's explicit agreement, and this consent can be withdrawn at any time; this act essentially mandates that consent cannot be considered a mere formality and must be freely given and unambiguous.
Tanzania’s Personal Information Protection Act: Overview, Key Takeaways, and Context - Future of Privacy Forum
On November 27 2022, the President of Tanzania signed the Personal Information Protection Act, 2022 (PIPA) after it garnered unanimous Parliamentary support following its September 2022 introduction during the 8th Parliamentary sitting. The Act’s passage makes the United Republic of Tanzania...fpf.org
Wanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
You have diluted sense of self due to aging factor, it's the right time to take care of your grand - childrensWanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
Mtu kukipa chama chake namba kama sehemu ya usajili wa kadi si consent ya kutumiwa text message za campaign.Muktadha wa kupeana namba na ujumbe wa hiyo text vinawiana kabisa sababu ni mtu na chama chake na wanataratibu zao kama chama, lakini bado maamuzi anayo yeye mwenyewe sababu atapiga kura mwenyewe. Ila hilo ruhusa na usumbufu hapana!
Tatizo lako hujui kusoma kwa ufahamu.Hakuna lolote.. Angalia context ya kinachoongelewa hapa mimi na wewe pia wewe una uhakika upi kuwa kipindi wanafanya huo usajili hawakukubaliana haya ya kutumiana jumbe za kampeni hivyo sasa ni wakati wa utekelezaji wa makubaliano hayo?
Sawa. Watanzania kesho wajitokeze kwenda kuwapigia kura wagombea ambao wanadhani ni sahihi kwa wao kuwaongoza. Case closed!Tatizo lako hujui kusoma kwa ufahamu.
Nimeandika mara kadhaa hoja ya unless kwenye usajili kunaombwa consent ya kutuma text message za campaign.
Mpaka nimeuliza kama kwenye usajili kuna sehemu wanaomba hii consent.
Umekosaje kuona kitu kilichoandikwa wazi kabisa?
Unajua kusoma kwa ufahamu?
Logical non sequitur. Hii wala haikuwa na contention yoyote.Sawa. Watanzania kesho wajitokeze kwenda kuwapigia kura wagombea ambao wanadhani ni sahihi kwa wao kuwaongoza. Case closed!
Kuna wa tanzania wengi tu waishi ulaya na America kama digidigi tu mkuu🤔Paschal siamini kama umeishi Ulaya mkuu yaani bora mtu aliyekulia Engusero asee anajitambua kidogo
Ulaya nayo kubwa mjue.Kuna wa tanzania wengi tu waishi ulaya na America kama digidigi tu mkuu🤔
Kabisa mkuu hilo nalijua 🤗Ulaya nayo kubwa mjue.
Hata Sarajevo nako ni Ulaya. Albania nako ni ulaya.
Mkuu si kuna nchi zilikuwa zanaitwa Sodoma na Gomola? MUNGU haziku muhusu?Kwa vile mamlaka zote ni kutoka kwa Mungu, kama ni kweli sio chama bali ni kusanyiko la shetani, ina maana ni Mungu, ameikabidhi Tanzania kwa shetani?.
P
Kuna vitu vya kishetani Mungu anaviona na kuviacha vitokee,hata Sodoma na Gomora,Mungu aliona akaacha, hata shetani alipomtempt Eva,Mungu aliona,tunda likachumwa,likamegwa,Adam akapelekewa akamega,yote hayo Mungu aliona na kuruhusu yatokee。Mkuu si kuna nchi zilikuwa zanaitwa Sodoma na Gomola? MUNGU haziku muhusu?
Mkuu, ki-uhalisia ni kwamba, waTZ wengi wana pigia kura chama na sio ubora ama sifa za mgombea.Kila mmoja atapiga kura kwa mgombea anayeona ana sifa zaidi ya wengine.
Wewe ni ccm. Vyama mmeondoa wagombea wao. Alafu mnajifanya hakuna vyama vingi. Mbona akili za kitahaira hizi. Alafu Leo wengi hawatapiga kula zile karatasi mlizoandika mjina yetu zimefutika watu wanaenda vituoni majina hayasomeki wanaondoka. Maana mmeweka utaratibu ukaangalie jina ukiliona ndiyo uende kupiga kula. Na yamefutika.Wanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
Wewe chagua chama chako. Lakini faraja pekee niliyonayo moyoni ni kwamba chama chako ipo siku kitakufa lakini Tanzania itabaki. Wapambe wa chama Cha matapeli mtapita lakini Tanzania itabaki. Nawaomba watanzania wenye akili timamu tuendelee kupambana kumuondoa mkoloni mweusi. Bado nchi yetu inatawaliwa na mkoloni mweusi.Wanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
Kama anavyoacha ushetani wenu wa ccm kuwauwa wapinzani. Mmekua mnapanga Leo kimbau tunauwa mnaenda kwenye Basi mnamshusha mnaenda kumuuwa mnatuopa maiti au siyo. Bila hofu mnaona Kama Mungu kafa vile. Alafu uchunguzi kimyaaaaaaaaa. Mashetani wakubwa nyinyiKuna vitu vya kishetani Mungu anaviona na kuviacha votokee,hata Sodoma na Gomora,Mungu aliona akaacha, hata shetani alipomtempt Eva,Mungu aliona,tunda likachumwa,likamegwa,Adam akapelekewa akamega,yote hayo Mungu aliona na kuruhusu yatokee。
P。