Ukishabikia Simba na Yanga lazima kichwani ziwe zimepungua na umasikini lazima uwe rafiki yako

Ukishabikia Simba na Yanga lazima kichwani ziwe zimepungua na umasikini lazima uwe rafiki yako

Mo dewji ni mshabiki WA Simba lakini
Yule ni mwekezaji kama makampuni ya Betting.......anajua kabisa anakwapua pesa kwa mtu maskini lakini anapromote hadi kwenye tv ili maskini wengi azidi kukwapua walicho nacho.
 
Eti mshabiki wa simba hii akili Gani mwenzio kawekeza pesa yake hapo we umekaa unajua anaipenda simba kutoka moyoni fuatilia hiyo familia yao kilamtu anajifanya yeye simba muhindi na mpira wapi na wapi
"Kila mtu anajifanya Simba" leta proofs kuelezea kwa nini mo dewji na familia yao wanajifanya Simba na sio kiwa mashabiki halisi WA Simba, la sivyo unataka attention ya watu kukoment kwenye Uzi wako tu.
 
"Kila mtu anajifanya Simba" leta proofs kuelezea kwa nini mo dewji na familia yao wanajifanya Simba na sio kiwa mashabiki halisi WA Simba, la sivyo unataka attention ya watu kukoment kwenye Uzi wako tu.
Proof ya nini we huoni una macho Kila siku mtu anasema anapata hasara Endelea kuamini mo anaipenda simba moyoni Ili aendelee kuwavuna maana wajinga ndio waliwao
 
M
Yule ni mwekezaji kama makampuni ya Betting.......anajua kabisa anakwapua pesa kwa mtu maskini lakini anapromote hadi kwenye tv ili maskini wengi azidi kukwapua walicho nac

Yule ni mwekezaji kama makampuni ya Betting.......anajua kabisa anakwapua pesa kwa mtu maskini lakini anapromote hadi kwenye tv ili maskini wengi azidi kukwapua walicho nacho.
Mo dewji na familia Yao wameanza kushabikia simba kabla hata ya kuwekeza. Alafu Leo hii unasema ni wawekezaji TU wakati wameanza kuwekeza juzi TU.
 
Proof ya nini we huoni una macho Kila siku mtu anasema anapata hasara Endelea kuamini mo anaipenda simba moyoni Ili aendelee kuwavuna maana wajinga ndio waliwao
Kaanza kuwekeza juzi TU na alianza kuwa mshabiki Toka baba yake ajaanza kuwekeza simba
 
M



Mo dewji na familia Yao wameanza kushabikia simba kabla hata ya kuwekeza. Alafu Leo hii unasema ni wawekezaji TU wakati wameanza kuwekeza juzi TU.
We akili huna ndio maana nikasema mashabiki wa hizi timu zimepungua kichwani yaani muhindi ashabikie simba akili Gani hii we ushawahi kusikia India imeenda kombe la dunia au unaweza nitajia mhindi hata mmoja anaecheza vilabu vikubwa ulaya
 
Nimechunguza mashabiki wa hizi timu Simba na Yanga kichwani kama zimepungua Fulani hivi na wamepigwa na maisha sio poa.

Mfano Yanga ilipoingia fainali kwenye kombe la shirikisho Kuna jamaa alijirusha barabarani akakanyagwa na gari ubongo nje alaacha familia na watoto watatu wakiteseka kwenye umasikini wa Hali ya juu mkewe Sasa hivi anafanya kazi ambazo si rafiki Ili apate pesa ya kulea watoto.

Nadhani mmeona ujinga wa KUSHABIKIA Simba na Yanga na huyu ni mfano tu
Depression mbaya sana
 
Hujawasoma vizuri shabiki wa mpira.

Kuna Shabiki,
Kuna mshangiliaji,
Kuna shabiki mshangiliaji.

Shabiki- Huyu unaweza usijue yeye yupo upande gani. Goli likifungwa ametulia tu, akifungwa yeye ametulia tu. Mechi ikiisha anarudi nyumbani anatulia.

Mshangiliaji- Huyu unaweza ukamuuliza hata center forward wao hamjui. Wakati mwingine kama ni mechi za usiku, anasubiria kabisa muda wa mechi ufike. Mechi ikianza anaangalia kidogo anasinzia. Akisikia kelele anaamka kushangilia. Wakati mwingine mechi inaweza kuisha akaanza kukuuliza wametokaje, ile hali naye yumo ukumbini. (Wafuata mkumbo)

Shabiki mshangiliaji- Hawa ndio wanasumbuaga kwenye ukumbi. Kelele mwanzo mwisho. Wanaroho ndogo. Kujinyonga kwao ni kawaida.
Wanaridhika na matokeo hata kama goli ni la mkono wakati timu yake imecheza hovyo.
Wanasifu kila ujinga wa timu.
 
Mwanaume.unayejielewa kabisa unakaa unaangalia simba na yanga na kesho unaenda kubishana kijiweni?
1000211276.jpg
 
Back
Top Bottom