Ukishabikia Simba na Yanga lazima kichwani ziwe zimepungua na umasikini lazima uwe rafiki yako

Ukishabikia Simba na Yanga lazima kichwani ziwe zimepungua na umasikini lazima uwe rafiki yako

Ni kweli ila sio asilimia 100.Tupo tunaoshabikia kwa kiasi na tunajielewa.Mfano wale mashabiki wa simba waliong'oa viti inaonekana ni mambumbumbu kupindukia, uwezo wa kuchanganua mambo ni zero.Mtu mstaraabu alie elimika hawezi kung'oa viti mazingira yale. (1) Mko nyumbani na mko wengi zaidi ya walioanzisha vurugu(2) Nyinyi ndio mmeshinda (3) uwanja ni mali yenu(umma) .
 
Ni kweli ila sio asilimia 100.Tupo tunaoshabikia kwa kiasi na tunajielewa.Mfano wale mashabiki wa simba waliong'oa viti inaonekana ni mambumbumbu kupindukia, uwezo wa kuchanganua mambo ni zero.Mtu mstaraabu alie elimika hawezi kung'oa viti mazingira yale. (1) Mko nyumbani na mko wengi zaidi ya walioanzisha vurugu(2) Nyinyi ndio mmeshinda (3) uwanja ni mali yenu(umma) .
Ismail Aden Rage alishasema, mashabiki ya Simba ni mbumbumbu!
 
Bwana żaka za Kazi MASHABIKI WA TIMU gani ni matajiri tuamie huko,?
Au unatafuta MASHABIKI WA kuamia Azam kwa nguvu
 
"Mfano Yanga ilipoingia fainali kwenye kombe la shirikisho Kuna jamaa alijirusha barabarani" Kwa hiyo na wewe ni miongoni mwa hao mapopoma. Basi wewe utakuwa ni popoma kuu kwa kuifuatilia Yanga. Ukiwa huna akili jaribu kuficha ujinga wako. Wewe ni popoma kuu.
 
Nimechunguza mashabiki wa hizi timu Simba na Yanga kichwani kama zimepungua Fulani hivi na wamepigwa na maisha sio poa.

Mfano Yanga ilipoingia fainali kwenye kombe la shirikisho Kuna jamaa alijirusha barabarani akakanyagwa na gari ubongo nje alaacha familia na watoto watatu wakiteseka kwenye umasikini wa Hali ya juu mkewe Sasa hivi anafanya kazi ambazo si rafiki Ili apate pesa ya kulea watoto.

Nadhani mmeona ujinga wa KUSHABIKIA Simba na Yanga na huyu ni mfano tu
Kumbuka hakuna degree ya ushabiki
 
Kuna watu wengi sana wanashabikia hizi team na wamekupita kila kitu kuanzia akili mpaka hela. Kwa hiyo kaa kwa kutulia acha kujikuta perfect
Kama kawaida mnaoendelea kujitokeza nilishasema mashabiki wa hizi timu kichwani zimepungua hivyo sikushangai
 
Back
Top Bottom