Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Tupo hapa mkuu, Jioni tunasukumiza ubwabwa wa Krismasi na mechi ya Dodoma Jiji FC vs Yanga SC! Muda ni saa 10 jioni!Hujitambui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo hapa mkuu, Jioni tunasukumiza ubwabwa wa Krismasi na mechi ya Dodoma Jiji FC vs Yanga SC! Muda ni saa 10 jioni!Hujitambui
Ismail Aden Rage alishasema, mashabiki ya Simba ni mbumbumbu!Ni kweli ila sio asilimia 100.Tupo tunaoshabikia kwa kiasi na tunajielewa.Mfano wale mashabiki wa simba waliong'oa viti inaonekana ni mambumbumbu kupindukia, uwezo wa kuchanganua mambo ni zero.Mtu mstaraabu alie elimika hawezi kung'oa viti mazingira yale. (1) Mko nyumbani na mko wengi zaidi ya walioanzisha vurugu(2) Nyinyi ndio mmeshinda (3) uwanja ni mali yenu(umma) .
DuhHuyo ashabikii yanga Bali anawapupbaza wajinga kama wewe ilo muendelee kunichangia yanga mapato na yeye apate kula au hujui huyo analishwa mpaka kifo chake yeye na familia yake
Kumbuka hakuna degree ya ushabikiNimechunguza mashabiki wa hizi timu Simba na Yanga kichwani kama zimepungua Fulani hivi na wamepigwa na maisha sio poa.
Mfano Yanga ilipoingia fainali kwenye kombe la shirikisho Kuna jamaa alijirusha barabarani akakanyagwa na gari ubongo nje alaacha familia na watoto watatu wakiteseka kwenye umasikini wa Hali ya juu mkewe Sasa hivi anafanya kazi ambazo si rafiki Ili apate pesa ya kulea watoto.
Nadhani mmeona ujinga wa KUSHABIKIA Simba na Yanga na huyu ni mfano tu
Ndio maana nikasema mashabiki wa izo timu ni machiziKumbuka hakuna degree ya ushabiki
Kuna watu wengi sana wanashabikia hizi team na wamekupita kila kitu kuanzia akili mpaka hela. Kwa hiyo kaa kwa kutulia acha kujikuta perfectNdio maana nikasema mashabiki wa izo timu ni machizi
Kama kawaida mnaoendelea kujitokeza nilishasema mashabiki wa hizi timu kichwani zimepungua hivyo sikushangaiKuna watu wengi sana wanashabikia hizi team na wamekupita kila kitu kuanzia akili mpaka hela. Kwa hiyo kaa kwa kutulia acha kujikuta perfect
Sisi kama zimepungua we ndo hazipo kabisa. Tulikuwa na watu kama wewe na saizi tuko nao tunashabikia suala la mda tu kaa kwa kutuliaKama kawaida mnaoendelea kujitokeza nilishasema mashabiki wa hizi timu kichwani zimepungua hivyo sikushangai
Man kama majukumu yanakubana automatic huwezi kudeal na hayo mambo. Sasa mtu mda wote yupo free hakuna namna zaidi ya kushabikia mpiraMIMI PIA NIMEWAAMBIA SANA VIJANA HILO SUALA.
ILA NILIWAAMBIA KUSHABIKIA SANAAAA
Endelea kuchanganyikiwa na simba na yangaSisi kama zimepungua we ndo hazipo kabisa. Tulikuwa na watu kama wewe na saizi tuko nao tunashabikia suala la mda tu kaa kwa kutulia
Hahahah hapa kuna wanaume kweli?
We suala la mda tu tutaanza kujadili kati ya ateba na dube nani garasa, Uwezi kimbia hichi kikombe labla uame nchiEndelea kuchanganyikiwa na simba na yanga
Fan base ya mwiko nyuma hiyoHahahah hapa kuna wanaume kweli?