Wale mashabiki jina mzee sio sawa na sisi huku ukifungwa amani inapotea kabisaAkili wewe ndio huna. Unawapangia watu starehe za kufanya?
By the way waziri mkuu Majaliwa anashabikia Simba, wewe na yeye nani kapigwa na maisha??
Yule ni mwekezaji kama makampuni ya Betting.......anajua kabisa anakwapua pesa kwa mtu maskini lakini anapromote hadi kwenye tv ili maskini wengi azidi kukwapua walicho nacho.Mo dewji ni mshabiki WA Simba lakini
"Kila mtu anajifanya Simba" leta proofs kuelezea kwa nini mo dewji na familia yao wanajifanya Simba na sio kiwa mashabiki halisi WA Simba, la sivyo unataka attention ya watu kukoment kwenye Uzi wako tu.Eti mshabiki wa simba hii akili Gani mwenzio kawekeza pesa yake hapo we umekaa unajua anaipenda simba kutoka moyoni fuatilia hiyo familia yao kilamtu anajifanya yeye simba muhindi na mpira wapi na wapi
Proof ya nini we huoni una macho Kila siku mtu anasema anapata hasara Endelea kuamini mo anaipenda simba moyoni Ili aendelee kuwavuna maana wajinga ndio waliwao"Kila mtu anajifanya Simba" leta proofs kuelezea kwa nini mo dewji na familia yao wanajifanya Simba na sio kiwa mashabiki halisi WA Simba, la sivyo unataka attention ya watu kukoment kwenye Uzi wako tu.
Yule ni mwekezaji kama makampuni ya Betting.......anajua kabisa anakwapua pesa kwa mtu maskini lakini anapromote hadi kwenye tv ili maskini wengi azidi kukwapua walicho nac
Mo dewji na familia Yao wameanza kushabikia simba kabla hata ya kuwekeza. Alafu Leo hii unasema ni wawekezaji TU wakati wameanza kuwekeza juzi TU.Yule ni mwekezaji kama makampuni ya Betting.......anajua kabisa anakwapua pesa kwa mtu maskini lakini anapromote hadi kwenye tv ili maskini wengi azidi kukwapua walicho nacho.
Kaanza kuwekeza juzi TU na alianza kuwa mshabiki Toka baba yake ajaanza kuwekeza simbaProof ya nini we huoni una macho Kila siku mtu anasema anapata hasara Endelea kuamini mo anaipenda simba moyoni Ili aendelee kuwavuna maana wajinga ndio waliwao
We akili huna ndio maana nikasema mashabiki wa hizi timu zimepungua kichwani yaani muhindi ashabikie simba akili Gani hii we ushawahi kusikia India imeenda kombe la dunia au unaweza nitajia mhindi hata mmoja anaecheza vilabu vikubwa ulayaM
Mo dewji na familia Yao wameanza kushabikia simba kabla hata ya kuwekeza. Alafu Leo hii unasema ni wawekezaji TU wakati wameanza kuwekeza juzi TU.
Wewe dishi lako limeyumbaKaanza kuwekeza juzi TU na alianza kuwa mshabiki Toka baba yake ajaanza kuwekeza simba
Depression mbaya sanaNimechunguza mashabiki wa hizi timu Simba na Yanga kichwani kama zimepungua Fulani hivi na wamepigwa na maisha sio poa.
Mfano Yanga ilipoingia fainali kwenye kombe la shirikisho Kuna jamaa alijirusha barabarani akakanyagwa na gari ubongo nje alaacha familia na watoto watatu wakiteseka kwenye umasikini wa Hali ya juu mkewe Sasa hivi anafanya kazi ambazo si rafiki Ili apate pesa ya kulea watoto.
Nadhani mmeona ujinga wa KUSHABIKIA Simba na Yanga na huyu ni mfano tu
Endelea na hizi akili Hadi siku atakuja kukuambia kwamba na yeye alibeba zege Ili ujionz upo sawa naeKaanza kuwekeza juzi TU na alianza kuwa mshabiki Toka baba yake ajaanza kuwekeza simba
Nilishasema mashabiki wa hizi timu hawamiliki akili hivyo sikushangaiDepression mbaya sana
Hivi we unaakili timamu kweli kwahiyo kikwete na wewe ni sawa aisee kweli hii mijiitu imefungwa akiliKikwete ni yanga na ni rais mstaafu
Kama nsivokushangaaNilishasema mashabiki wa hizi timu hawamiliki akili hivyo sikushangai
Pole sana kisu kimegusa mfupaKama nsivokushangaa
Depression inaua
We Kweli hamnazoMarehemu manji alikuwa yanga kindakindaki
Umesema wanaoshabikia yanga na Simba ni maskini ndo nakupa mifano kuonesha hoja yako ni uchwara.Hivi we unaakili timamu kweli kwahiyo kikwete na wewe ni sawa aisee kweli hii mijiitu imefungwa akili
Mwanaume.unayejielewa kabisa unakaa unaangalia simba na yanga na kesho unaenda kubishana kijiweni?