Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Sahihi hiyo barabara huwa inajengwa tu miaka yote, Itakuwa kuna namna mkandarasi na watu wake wanafaidika na huo ucheleweshwaji,Barabara ya kwenda Julius Nyerere airport (kakipande kadogo) sijui ina miaka mingapi haiishi. Na ile ndio reception ya nchi yetu. Wageni wote wakitua tu wanapita hapo. Viongozi wote wa nchi including Rais anapita hapo mara kwa mara. Sijui kile kipande kinashindikana nini?! Kwa kweli tunatia aibu!