Ukisikia kujilipua ndo huku. Ml 60 hisa za CRDB bank, liwalo na liwe!

Ukija kwangu unakuja kununua Nyumba yangu mkuu
Hiyo habari ya unafanya nini baada ya kununua hainihusu
 
Bond,hyo milioni 75 kila mwezi unapata 750,000. Halafu kajisomee kitu kinaitwa compound interest ili uweze kuelewa.
 
Nipe mchanganuo wake basi kwa 75M mkuu

Hapa najifunza pia
Mwaka wa kwanza utakuwa. Utakuwa na
1. 750,000x12 +75M = 84M
2. 840,000x12 +84M = 94M
3. 940,000x12 +94M =105.28M
4. 1,055,000X12 +105.28m =117M
5 . 1,170,000x12 +117 = 131M

Estimation kwenye miaka mitano ya mwisho utakuwa na ongezeko la milioni 70M ukijumlisha na 131 itaingia kwenye 200M
Hiyo hapo ndani ya miaka 5 kwenye return ya 12% per year
 
Mwaka wa kwanza utakuwa. Utakuwa na
1. 750,000x12 +75M = 84M
2. 840,000x12 +84M = 94M
3. 940,000x12 +94M =105.28M
4. 1,055,000X12 +105.28m =117M
5 . 1,170,000x12 +117 = 131M

Hiyo hapo ndani ya miaka 5 kwenye return ya 12% per year
Akasome kuhusu maajabu ya compound interest ama kwa kiswahili huitwa faida jumuishi.
 
Ishu si nyumba ya million 100 ila ishu ni unaijengea wapi. Kama una kiwanja Ada Estate, Masaki, Oysterbay, Upanga, Mbezi Beach inaweza kuwa investment nzuri ila kwa jengo hilo kulipeleka Kiluvya, Vikindu, Chanika, Chamazi na maeneo ya huko ni hasara tupu.
 
Na ikishuka hata kwa sh 200 ana los ya mil 15 katika hyo mil 60. Ungeweka na hyo point pia
Ila Bond hazinaga hasara 🤣 kwa mtu ambaye fisadi ambaye ameweza kumiliki hata 3 billions anaweza kuishi vizuri sana kwa magawio tu ya Bonds za kila mwisho wa mwaka. Imagine ule 15% ya 3B yani.

Kila mwaka wa hesabu unapofungwa mzigo unaingia wa maana kabisa kitu kama 450M. We umechill tu huna pressure na mtu ni GYM na kula matunda tu. Gari yako moja ya 150M kama Ford au Range Rover unatembelea bila pressure kabisa na mtaji wa biashara ndogo ndogo hukosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…