Ukija kwangu unakuja kununua Nyumba yangu mkuuNyumba hazina thamani,kiwanja ndo chenye thamani siku zote. Ndo maana wenye hela wananunua hyo unayo ita nyumba yenye thamani na kuipigq chini na kunyanyua ghorofa. Wekeza kwenye viwanja,ila siyo nyumba ya kupangisha..vinginevyo jenga lodge za biashara
Bond,hyo milioni 75 kila mwezi unapata 750,000. Halafu kajisomee kitu kinaitwa compound interest ili uweze kuelewa.Mkuu twende sawa kidogo
Twende na hesabu rahisi za makaratasini kama za mamotivesheni spika 😂
Nyumba imegharimu 75M
Kodi kwa mwezi 500,000
Kodi kwa mwaka 6,000,000
Baada ya 10yrs nitakua nimepata 60,000,000 na nyumba yangu ya 75M itakua labda ime double price
Nipe mchanganuo wako kwa 75M baada ya miaka 10 mkuu
Nipe mchanganuo wake basi kwa 75M mkuuNimeshachanganua hapo kwa miaka hiyo 10 nitakuwa na zaidi ya milion 250 ambayo wewe huwezi kuifikia kwa wakati huo
Unadhani nyumba iliyo jengwa songea vijijini kwa gharama ya mil 50 na iliyo jengwa madale huko Dar kwa mil 50,muda wa kuuza zitauzwa bei sawa?? Jibu ni hapana,hivyo kumbe kinacho thaminika ni kiwanja.Ukija kwangu unakuja kununua Nyumba yangu mkuu
Hiyo habari ya unafanya nini baada ya kununua hainihusu
Mkuu tunaongelea nyumba ya biashara kodi kuanzia 250,000Unadhani nyumba iliyo jengwa songea vijijini kwa gharama ya mil 50 na iliyo jengwa madale huko Dar kwa mil 50,muda wa kuuza zitauzwa bei sawa?? Jibu ni hapana,hivyo kumbe kinacho thaminika ni kiwanja.
Mkuu 750k kwenye 75M ni asilimia ngapi hiyo?Bond,hyo milioni 75 kila mwezi unapata 750,000. Halafu kajisomee kitu kinaitwa compound interest ili uweze kuelewa.
Mkuu ni UTT amis,mimi binafsi ni shuhuda wa hilo,ni kitu ninacho kifanya..siyo story. Kwenye mfuko wa LIQUID FUND. Hyo ni asilimia 12 na pointMkuu 750k kwenye 75M ni asilimia ngapi hiyo?
Ni nani hao wanaotoa gawio kwa asilimia hizo mkuu
Mbona zipo juu sana?
umeanza kufunguka akili?Mkuu 750k kwenye 75M ni asilimia ngapi hiyo?
Ni nani hao wanaotoa gawio kwa asilimia hizo mkuu
Mbona zipo juu sana?
Jamaa anajua tunatania labda.😃umeanza kufunguka akili?
Mwaka wa kwanza utakuwa. Utakuwa naNipe mchanganuo wake basi kwa 75M mkuu
Hapa najifunza pia
Akasome kuhusu maajabu ya compound interest ama kwa kiswahili huitwa faida jumuishi.Mwaka wa kwanza utakuwa. Utakuwa na
1. 750,000x12 +75M = 84M
2. 840,000x12 +84M = 94M
3. 940,000x12 +94M =105.28M
4. 1,055,000X12 +105.28m =117M
5 . 1,170,000x12 +117 = 131M
Hiyo hapo ndani ya miaka 5 kwenye return ya 12% per year
Hapo Ni kwa 12% Kama Ni 15% mkwanja unaweza kukunja zaidi ya milion 11 kwa mwakaBond,hyo milioni 75 kila mwezi unapata 750,000. Halafu kajisomee kitu kinaitwa compound interest ili uweze kuelewa.
Kabisa mkuu.Hapo Ni kwa 12% Kama Ni 15% mkwanja unaweza kukunja zaidi ya milion 11 kwa mwaka
Hizi kitu wahindi na wachache wenye ngozi yetu waliojua mapema....wamefaidi sana sana...Hapo Ni kwa 12% Kama Ni 15% mkwanja unaweza kukunja zaidi ya milion 11 kwa mwaka
Ngoja tukuwekee na picha uelewe vizuri nguvu ya compound interest ama faida jumuishi. Initial capital ni milioni 75 kwa muda wa miaka 10 kwa interest ya 12%Nipe mchanganuo wake basi kwa 75M mkuu
Hapa najifunza pia
Dah Yani unakuta mtu kwa Mwaka anakula 100M ,,Hizi kitu wahindi na wachache wenye ngozi yetu waliojua mapema....wamefaidi sana sana...
Imagine mtu anaweka B au b kadhaa kwenye bonds za BoT, tena miaka hiyooo!
Ishu si nyumba ya million 100 ila ishu ni unaijengea wapi. Kama una kiwanja Ada Estate, Masaki, Oysterbay, Upanga, Mbezi Beach inaweza kuwa investment nzuri ila kwa jengo hilo kulipeleka Kiluvya, Vikindu, Chanika, Chamazi na maeneo ya huko ni hasara tupu.Mfano umepata 100M. Swali la kujiuliza, Kati ya kujenga nyumba ya kupangisha na kununua bonds, kipi bora? Kwangu mimi, likely nitaweka bonds. Maana nyumba ya million Mia moja, utaijenga maeneo ya kawaida sana (not high end plots or locations). Hiyo nyumba itakupa rent ya million kwa mwezi? Highly unlikely! Ila ukinunua bonds zenye returns around 15.49% kwa mwaka, you are guranteed returns ya 15M kila mwaka kwa miaka 20! Na baada ya huo mda unapewa pesa yako. Nadhani pia wengi wetu ni kukosa elimu sahihi ya pesa na uoga wa “kesho itakuwaje”.
Nyumba ya million Mia moja ni nyumba yavkawaida sana na rent zake ndo hizo..unaweza stretch maybe mpaka laki saba. Hapo hujaweka maintenance.
Kwa mtu anayetafuta na asiye taka biashara za kuumiza kichwa, bonds ni better option, kwa mtizamo wangu.
Ila Bond hazinaga hasara 🤣 kwa mtu ambaye fisadi ambaye ameweza kumiliki hata 3 billions anaweza kuishi vizuri sana kwa magawio tu ya Bonds za kila mwisho wa mwaka. Imagine ule 15% ya 3B yani.Na ikishuka hata kwa sh 200 ana los ya mil 15 katika hyo mil 60. Ungeweka na hyo point pia
Ukiigawa kwa mwezi hio hela mtu ni kama unalipwa 8.3M kila mweziDah Yani unakuta mtu kwa Mwaka anakula 100M ,,