Kuna mji wa nanilii huko domUkisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Huu ndio unafiki wa kitanzania. Samia akiondoka ikulu utakuja kumponda kama unavyomponda JPM muda huu.Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
How Sasa ,yule mjinga hiyo legacy yake will perish kabisa baada ya 2025.But man,
At least he showed us how the country can be governed...
Hizo barabara wilayani na taa za mitaa uliziona lakini
Ndio maana Mhusika Mkuu (Mobutu Seseko) wa hiyo kadhia ya kumtesa naye alikufa kifo cha mateso na aibu. Duniani tunapita tuzingatie sana utu wa kila mtu, maana Mungu ana makusudi na kila mwanadamu aliyepo Duniani.Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Wapiga dili hao na vyeti feki. Usijibizane nao.But man,
At least he showed us how the country can be governed...
Hizo barabara wilayani na taa za mitaa uliziona lakini
Mbona JK zilimshinda.? Terminal 3 yenyewe ilimfia mikononi mwanaume akaja kuimaliza. JK alimlipa mkandarasi hela yote watu wakapiga mradi ukasimama. Kazi za mwanaume hazikuwahi kusimama hata usiku mmoja. Kisha unatuletea habari za kutukatikia viuno wanaume.World bank fund, DMDP project, wajinga kama wewe mpo wengi msiyojuwa lolote.
Ni Kikwete administration ndio hizo project zilikuwa raised, na utekelezaji ndio ukaangukia kipindi cha dikteta uchwara.
Na wewe dr ulimboka angekua ndugu yako ungeimba haya mapambio unayoimba?Kama ben saa nane angekuwa ndugu yako usingeandika haya. Ubinafsi na ujima kama marehem muuaji vinakusumbua. Ila roho yako inakuhukum kuwa kuua kwa vile ni kubaya!
Bora lingekausha hazina lakin watu wakabaki na uhai wao.
"..injustice for one is injustice for all"
Wakimjua kuna shida gani? au inaondoa ukweli kuwa alikuwa mtawala wa ovyo?I don't need to, kata ticket na visa ingia Senegal, Ghana, Nigeria, Gambia na Cameroon utakuja na majibu.
Unataka kutwambia nini hapa? Kwamba ni sawa kwa viongozi kutoona shida za wananchi kwa kuwa wao haziwagusi? Wasihangaikie kushusha bei kwa kuwa wao wanazimudu?Pointless, kwani wewe ulitekwa na Magufuli?
Kwa nini manchuria Nji yenu CHADEMA mnaabudu ya wenzenu? London kuna Tanganyika Street, Liverpool kuna Chunya Street. Nairobi Moscow, Algiers, Cairo, Harare, Accra, kuna Nyerere Street. Lumumba Street hazifiki 20 dunia nzima. Hilo la kwanza. La pili ni legacy ya Magufuli huwezi kuofuta. Askofu wake Miwemugizi ambaye ni kada wa CHADEMA majuzi alisema huwezi kuifuta kwa sababu ipo inaonekana kwa macho. Nyerere pia anasifiwa na watu wa South Africa kwa vitu viwili: Wimbo wa Taifa na Bendera ya Taifa vyote wameiga kwa Nyerere. Chuki ya Nchi yenu inawapeleka hadi kwa Shetani: tumepewa picha za Zitto na Bobby Wine wakifadhiliwa na mashoga, yaani wako tayari kuuza roho zao kwa Shetani mradi tu wapate kutawala na mashoga,wapate njia ya kupitishia mambo yao. Utakatifu wa Nyerere (au mtu yeyote yule) si wa kushabikiwa, Mungu atautoa atakapoona inafaa. Cha ajabu mnaokoteza nyaraka kama wajinga vile, mnajidanganya hii Nji ina wenyewe.Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Wewe ni mchaga?Ila alikuwa na roho mbaya sikuwahi kuona akaweka chuki Kwa wachaga utadhani wachaga walikuwa na visa naye mpaka Mimi nikajuuliza huyu broo wachaga wamemkosea Nini
Wewe ni sexless.....Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Huyu huwezi kumlinganisha na nyumbu wala mwanaufipa yeyote.Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Umepaniki na matusi yako ya kizamani mno Mkuu! Lete mapya!Pumbavu mwenyewe na ukoo wako wote. Chadema inahusika wapi hapa badala ya kumjibu mleta hoja.[emoji304][emoji304] mkubwa wewe
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Wanamjua kwa mazuri siyo mabaya. Kila mtu ana maoni yake juu ya utawala wake na maoni yote yaheshimiwe.Wakimjua kuna shida gani? au inaondoa ukweli kuwa alikuwa mtawala wa ovyo?