Ukitaka furaha ya kupendwa, uwe na hela, toka na vitoto vya miaka 20-23

Kurahisisha tu ni kuhakikisha mchepuko anakuwa ni, Umri wako Gawanya kwa Mbili plus
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Hujafafanua lakini, usije kuniponza ndugu. Binafsi huwa siumwi chochote labda vimafua tu.

Na wanasema sisi siku ugonjwa ukitutaitisha hasa uzeeni ndio tunakatika kabisa.
Hahahah sasa we unataka kufanya fujo kweli! Sharti ni moja ufanye na O mwenzio ukijichanganya na akina A sijui AB huko tusilaumiane!πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Uzeeni kwa kweli sina hakika ila naona kwetu wazee wana approach 70’s bila major issues! Kuanzia babu mpaka washua! Uzuri wa O haina tatizo la heart attack au failure za moyo! Ikitokea ishu serious basi ni cancer au stroke
 
Cheers 🍻 tukutane 70's πŸ˜‚πŸ˜‚, hapana bana siburuzi hahah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…